PumpkinsKitabu chenu kitakatifu wewe na nani!
Hiyo katiba nani anaijua zaidi ya wanasiasa na wanasheria?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PumpkinsKitabu chenu kitakatifu wewe na nani!
Hiyo katiba nani anaijua zaidi ya wanasiasa na wanasheria?
Kwani umetumwa na nani kusema hivyo. Ungejisemea wewe 0amoja na waliokutuma ingependeza sana.Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
View attachment 2748113
Hakuna neno alilolitamka kwa bahati mbaya! Alikusudia! Lengo ni kutupoteza pia kwenye mjadala wa bandari. Na ninaona wengi wameingia box. Mkija kushtuka waarabu wametapakaa mzizima.Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
View attachment 2748113
Kumbe katiba ni sawa na gazeti la udaku mkuu si ndiyoRais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
Hayo mmeyasema nyie wakuda.Kumbe katiba ni sawa na gazeti la udaku mkuu si ndiyo
Kumbe katiba haina deal
Ova
Unawaza kwa kutumia kiungo gani?Rais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
Nenda kafanye kazi kaka wanao wale ugali,mwache Mama afanye kazi yake.Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
View attachment 2748113
HakikaRais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
View attachment 2748113
Ujinga huoRais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
View attachment 2748113
Mi kazi yangu ni kuandika hapa JF. Unataka nifanye kazi gani tena?Nenda kafanye kazi kaka wanao wale ugali,mwache Mama afanye kazi yake.
Mguu
Kitabu cha kusadikikaRais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
View attachment 2748113
Hicho si ndiyo rais amesema ni kitabu tu kama kilivyo kitabu cha Adili na Nduguze? Kwani Katiba ina uwezo wa kumfanya kitu gani rais?Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
View attachment 2748113
Haya ni maajabu ya karneHicho si ndiyo rais amesema ni kitabu tu kama kilivyo kitabu cha Adili na Nduguze? Kwani Katiba ina uwezo wa kumfanya kitu gani rais?
upo sahihiKitabu chenu kitakatifu wewe na nani!
Hiyo katiba nani anaijua zaidi ya wanasiasa na wanasheria?
Duh! Una tabia ya fisi ya kuvizia mkono wa binadamu udondoke ili apate mlo! Haiyumkini wewe ni moja wa wasiomtakia mema huyo rais na unasali sala zote ili aanguke.Rais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
View attachment 2748113
Mkuu naona umeamua kunichagulia chama kabisaCCM mna staha?