Rais Samia anatakiwa kujitokeza hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kuikashifu Katiba

Rais Samia anatakiwa kujitokeza hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kuikashifu Katiba

Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.

Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...

Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.

View attachment 2748113
Kwani umetumwa na nani kusema hivyo. Ungejisemea wewe 0amoja na waliokutuma ingependeza sana.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.

Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...

Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.

View attachment 2748113
Hakuna neno alilolitamka kwa bahati mbaya! Alikusudia! Lengo ni kutupoteza pia kwenye mjadala wa bandari. Na ninaona wengi wameingia box. Mkija kushtuka waarabu wametapakaa mzizima.
 
Rais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
Unawaza kwa kutumia kiungo gani?
312fcaa231602ee9ac31405b186ec10b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.

Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...

Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.

View attachment 2748113
Nenda kafanye kazi kaka wanao wale ugali,mwache Mama afanye kazi yake.
 
Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.

Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...

Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.

View attachment 2748113
Hakika
 
Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.

Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...

Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.

View attachment 2748113
Ujinga huo
 
Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.

Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...

Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.

View attachment 2748113
Kitabu cha kusadikika
 
Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.

Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...

Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.

View attachment 2748113
Hicho si ndiyo rais amesema ni kitabu tu kama kilivyo kitabu cha Adili na Nduguze? Kwani Katiba ina uwezo wa kumfanya kitu gani rais?
 
Rais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
Duh! Una tabia ya fisi ya kuvizia mkono wa binadamu udondoke ili apate mlo! Haiyumkini wewe ni moja wa wasiomtakia mema huyo rais na unasali sala zote ili aanguke.
Rais amekosea na Kama kweli ni muungwana anatakiwa kusema poleni watanzania kwa kauli yangu.
Hivi angekuwa nchi za wanaojitambua sidhani Kama Leo angekuwa kwenye ofisi ya umma na huenda angeshtakiwa.
 
Kitabu chenu kitakatifu wewe na nani? Mbona unatujumuisha na sisi ambao hicho kwetu si kitakatifu? Unajua maana ya utakatifu lakini?
Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.

Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...

Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.

View attachment 2748113
 
Back
Top Bottom