Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaaahh it's because of ujinga na ulofa wa wahusika (wananchi)Najiuliza tuu, hivi Raila Odinga au William Ruto anaweza kusema hivyo hadharani kuikashifu katiba ya Kenya afu mpk sasa kusiwe kumewaka mtaanii? Kiufupi CCM ilishawaona waTz ni wasengewasenge tuu,
Wewe ndio waombe radhi wazee wako Kwa kuwa pumpkin headRais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
View attachment 2748113
Wewe ndio waombe radhi wazee wako Kwa kuwa pumpkin head
View: https://www.instagram.com/p/CxJI0OAN63n/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Nyie watu ndo maana serikali yenu inatandikwa nyndo hamna adabuWacha porojo wewe, unatuletea zelensky huyo.
Huyo comedian tu kama alivyo mwanawe, typical.
Hapo alishaona dah, watu wanampenda na kumkubali Mwinyi, kila pahali ruksa ruksa ruksa, mjamaa akaanza vijembe.
We nae Rais bongo? Hata kichaa anaweza kuwa rais ni suala la ccm tu wanachagua nani awe rais wa nchi basi, sasa hapo ndio utaona urais ni kitu cha maana bongo? Mwambie huyo Samia akagombee chama chengine halafu ccm wamsimamishe chizi uone nani ataingia Ikulu kati ya Samia au huyo chizi kutoka ccm.Kwenye wananchi wajinga wapo na werevu wapo .hawa wanaoleta kashfa na lugha zisizo na staha kwa Mh. Rais ndio wajinga wenyewe kama na wewe upo jitathmini.
Kama Zanzibar Kuna Katiba Mpya imewaondolea umaskini?Siku yingine usiniletee habari za TBC.
Huyo anayesema siyo isu kwao tayari wana katiba mpya
Ndio maana hawampendagi Jiwe Mwamba Magufuli, kwani alikuwa hawakopeshi.Rais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
Mkwanja "mzito" aliojizolea ndani ya kipindi kifupi sana tena bila kujali katiba husika ndio umemfanya kujisahau.Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote.