The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Maza naye haijui katiba. Kuna watanzania wengi tu wanaoijua katiba kuliko Maza na wanasiasa. Wala mwananchi wa kawaida hatakiwi kuijua katiba. Hakuna a nchi ambayo wananchi wake wanaoijua katiba. Watu wanajua haki zao na Watanzania wengi hawajui haki zao. Hii ndiyo sababu kubwa ambayo wenye mamlaka anaitumia kunyanyada raia.Kitabu chenu kitakatifu wewe na nani!
Hiyo katiba nani anaijua zaidi ya wanasiasa na wanasheria?
Vyeti feki,,akiri huna ndo maana ulinunua majina[emoji16]Rais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
Akiri = AkiliVyeti feki,,akiri huna ndo maana ulinunua majina[emoji16]
Jiandae kurudisha mishahara hewa unayochukua.Rais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
Kosa lake ni lipi?Duh! Una tabia ya fisi ya kuvizia mkono wa binadamu udondoke ili apate mlo! Haiyumkini wewe ni moja wa wasiomtakia mema huyo rais na unasali sala zote ili aanguke.
Rais amekosea na Kama kweli ni muungwana anatakiwa kusema poleni watanzania kwa kauli yangu.
Hivi angekuwa nchi za wanaojitambua sidhani Kama Leo angekuwa kwenye ofisi ya umma na huenda angeshtakiwa.
Ng'ombeAkiri = Akili
Hahaa samia kanilipa mafao yangu namshukuru sana.kwaniaba ya watanzania wenzangu wote tuliodhulumiwa na yule dhalimu nduli.Jiandae kurudisha mishahara hewa unayochukua.
🤣🤣🤣🤣 jifunze kuandika we msukuma sasa akiri ndio nini?Ng'ombe
Yeye ni binadamu kwanza kabla ya urais wake. Na hakuna binadamu asiyekosea kupitia kinywa chake. Ana hisia Kama binadamu wengine na huenda wakati wa hotuba yake hisia zake zilipaa juu zaidi Hadi kufikia hatua Ile ya kuita Katiba kitabu na mengine aliyoyaongea. Anatakiwa aseme kuwa alipitiwa Kama binadamu na aombe radhi. Umeelewa?Kosa lake ni lipi?
Jiandae kuhamia burnd.....Hahaa samia kanilipa mafao yangu namshukuru sana.kwaniaba ya watanzania wenzangu wote tuliodhulumiwa na yule dhalimu nduli.
Rais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
Ni mtazamo wakoMbona wewe ndo umeonyesha uliojaa kichwani mwako boss
🤣🤣🤣 CCM imempitisha kwa asilimia 100%Jiandae kuhamia burnd.....
Maana HATOGOMBEA 2025.
Hebu kama kweli unaakili timamu nijibu hii katiba ni kitabu au siyo kitabu? Halafu niambie kosa la Mh rais ni nini?Yeye ni binadamu kwanza kabla ya urais wake. Na hakuna binadamu asiyekosea kupitia kinywa chake. Ana hisia Kama binadamu wengine na huenda wakati wa hotuba yake hisia zake zilipaa juu zaidi Hadi kufikia hatua Ile ya kuita Katiba kitabu na mengine aliyoyaongea. Anatakiwa aseme kuwa alipitiwa Kama binadamu na aombe radhi. Umeelewa?
Nchi inaongozwa hovyo sana, na machawa hata mkipewa kinyesi na mabwana zenu lazima mtakulaDah watu kama nyie hata mzoga wa jibwa koko una nafuu. HAMJIELEWI. Haujui kuwa Katiba ndio mpango wote wa maisha yako ya hapa duniani.
Hata huyo mama mwenyewe kama si kufuatwa kwa katiba leo hii angekuwa Rais? Si watu wangepindua meza wakamuweka mtu mwingingine tu.
Lakini walijiuliza katiba inasemaje kuhusu Rais akifa, wakakuta Makamu wake ndiye anayerithi, alikua anajisema mwenyewe, haijui katiba. Km yeye haijui chawa ndo wataijua sasa??
Rais apoteze muda kumjibu mjinga mmoja kama wewe uliona wapi tena ningekua mimi ningekuwa nawatukana tu kama marehemu magufuli maana kumbe hamna maana.
🤣🤣🤣🤣 sasa mbona hamna hoja mnatukana tu?Nchi inaongozwa hovyo sana, na machawa hata mkipewa kinyesi na mabwana zenu lazima mtakula
Rais Samia kashafanya mambo mengi sana tena mengi mno. Lakini hili la kukashifu katiba ya nchi is beyond the red line.
Katiba ndiyo kitabu chetu kitakatifu kwa watanzania amabacho kinatuunganisha wote...
Ile Dhihaka haivumiliki hata kidogo ni dharau iliyopita kiwango kwa katiba yetu, Kama ana busara natarajia kumwona akiitolea ufafanuzi kauli yake.
Amesema uchawa ni adhabu kama kubeba gonna la msumari. Kama nimekosea nipo tayari kusahihishwa tafadhaliHahaha kwa kiswahili ndo unasemaje hapo?
🤣🤣🤣🤣🤣Amesema uchawa ni adhabu kama kubeba gonna la msumari. Kama nimekosea nipo tayari kusahihishwa tafadhali