Rais Samia anavuna alichopanda, hana budi kuvumilia

Rais Samia anavuna alichopanda, hana budi kuvumilia

Tatizo ni kwamba, hawa CCM walishamuhukumu Mdude badala ya mahakama, wao wakamkuta na hatia na kumfunga gerezani, sasa ile hukumu iliyotolewa na mahakama kumkuta Mdude hana hatia wao hawakuielewa.

Wameendelea kukomaa kaachiwa kwa "huruma ya mama" matokeo yake sasa wanataka kila alieachiwa na mahakama kwa makosa ya kubambikiwa aendelee kumsujudia Rais kwa huruma yake, akili zao zimelemaa.
Absolutely, YES...

Hakuna matusi wala uchafu kwenye kauli za Mdude. Wana ishu zao hawa...

Wanasiasa watawala hawapendi lugha anayotumia Mdude kuwasema na kuwakosoa. Na MDOMO au MANENO yana nguvu kubwa sana kubadilisha mambo/hali kisiasa kuliko risasi au polisi au jeshi au UWT...!

Kwa hiyo harakati hizi ni kwa ajili kuona Mdude na wengine wenye ujasiri wa kutumia midomo yao kukosoa watawala kwa lugha Kali, wanaacha na kukoma mara moja...

Lakini hawataweza kama ambavyo watawala waliopita hawakuweza...!!!
 
Jamii forums imeingiliwa na watu wa ajabu kweli kweli! Hivi Mdude alitolewa na Mama au alishinda?

Hao Mashekh wa uamsho Kama wlikuwa na kosa, kwanini hawakufunguliwa mashtaka kwa miaka 8?

Mleta mada wewe ni wa hovyo Sana. Samahani lakini.

scene iliopo nyuma iskilize tu, haswa haya mashehe, achana n huyu wa kumnyoa mbowe maaana ni fundi simu
 
Yeye pia ni mtu mzima, za kuambiwa achanganye na zake.
 
Habari zenu ndugu zangu,

Wakuu wenzangu, wakati Rais Samia anaingia madarakani wengi tulimshauri aache kufanya maamuzi kwa kufuata mashinikizo ya watu ndani ya mitandao ya kijamii. Kama ilivyo kawaida ya ushauri ni mshauriwa kufuata au kuacha kufuata anachoshauriwa.

Raisi akaamua kupuuza ushauri wetu kwa kuanza timua timua ya viongozi wote waliokuwa wanashutumiwa na wapinzani humu mitandaoni bila kujali uchapaji wao wa kazi. Lakini raisi hakuishia hapo katika kutaka kuwafurahisha wapinzani na wanaolalamika mitandaoni, Rais akauonesha umma wa Watanzania na dunia kwa ujumla kwamba kuna watu walikuwa wameonewa na kukamatwa bila makosa yoyote chini ya utawala wa awamu ya tano na hata ya nne pia. Akaamua kutengeneza mazingira ambayo yamewasaidia wengi kutoka ndani ya vifungo vyao walivyokuwa wamefungwa kutokana na kesi mbalimbali.

Kati ya wafungwa hao walioachiwa kutokana na mipango au jitihada za mama ni wale mashehe wa uamsho, na yule muhindi ambao walikamatwa wakati wa utawala wa JK. Pia yupo kijana anaeitwa Mdude ambae alikamatwa wakati wa utawala wa JPM. Wote waliokamatwa wameonesha shukran zao kwa raisi kutokana na jitihada alizofanya mpaka kuachiwa kwao, lakini huyu Mdude yeye ameonekana kutoshukuru kwa lolote, anachofanya yeye ni kutafuta njia ya kumchafua raisi kana kwamba haoni jitihada zake katika kuachiwa kwake.

Je, Mdude hafahamu kwamba bila mama kuweka jitihada zake na huruma wake mpaka leo angekuwa bado ananyea debe kama alivyokuwa ananyea wakati wa utawala uliyopita? Hata hivyo simlaumu Mdude bali hii itumike kama fundisho kwa mama. Asiwe anafanya mambo kwa kufuata mashinikizo ya mitandao, bila shaka Rais Samia ashapata jibu kwamba ni kwanini watu aina ya kina Mdude waliwekwa ndani na hawakuachiwa hivi hivi. Wakati mungine mtu unaweza kuwa sio katili, lakini watu wakakufanya ukawa katili.

Rais Samia sasa inambidi avumilie maana ni kama vile kinyago amekichonga mwenyewe afu leo kinamtafuna pia ajue siku zote shukrani ya punda ni mateke.

Asanteni.
Two wrongs don't make a right. Rais asisamehe watu kwa vile baadhi yao wanaweza kumtukana? Magufuli was a dictator na hatutaki Tanzania irudi huko. Kama mnam-miss sana mfufueni 🤣
 
Je, Mdude hafahamu kwamba bila mama kuweka jitihada zake na huruma wake mpaka leo angekuwa bado ananyea debe kama alivyokuwa ananyea wakati wa utawala uliyopita? Hata hivyo simlaumu Mdude bali hii itumike kama fundisho kwa mama. Asiwe anafanya mambo kwa kufuata mashinikizo ya mitandao, bila shaka Rais Samia ashapata jibu kwamba ni kwanini watu aina ya kina Mdude waliwekwa ndani na hawakuachiwa hivi hivi.
Ume-personalise governance, kisha ukasema uongo. Mdude wa Chadema ameshinda kesi mahakamani, hakusamehewa na Rais SSH. Ukisimamia hoja yako (uongo), tafsiri yake ni kuwa Rais SSH aliingilia uhuru wa mahakama kufanya maamuzi ya kumuachia Mdude. Jambo hili siyo kweli. Tafadhali jielimishe kabla ya kuandika kwa umma.
 
Mama kama unasoma huku mtandaoni,. Tunakuomba usiwachekee hawo watu wanaojiita wapinzani hawakawii kumwaga damu za watanzania ,. Tunakupenda sana ila hichi kikundi cha chadema wanataka kukudhalilisha mama wakazie
Kama ni mechi basi mama kaanza kutoa boko kipindi cha kwanza.
 
Habari zenu ndugu zangu,

Wakuu wenzangu, wakati Rais Samia anaingia madarakani wengi tulimshauri aache kufanya maamuzi kwa kufuata mashinikizo ya watu ndani ya mitandao ya kijamii. Kama ilivyo kawaida ya ushauri ni mshauriwa kufuata au kuacha kufuata anachoshauriwa.

Raisi akaamua kupuuza ushauri wetu kwa kuanza timua timua ya viongozi wote waliokuwa wanashutumiwa na wapinzani humu mitandaoni bila kujali uchapaji wao wa kazi. Lakini raisi hakuishia hapo katika kutaka kuwafurahisha wapinzani na wanaolalamika mitandaoni, Rais akauonesha umma wa Watanzania na dunia kwa ujumla kwamba kuna watu walikuwa wameonewa na kukamatwa bila makosa yoyote chini ya utawala wa awamu ya tano na hata ya nne pia. Akaamua kutengeneza mazingira ambayo yamewasaidia wengi kutoka ndani ya vifungo vyao walivyokuwa wamefungwa kutokana na kesi mbalimbali.

Kati ya wafungwa hao walioachiwa kutokana na mipango au jitihada za mama ni wale mashehe wa uamsho, na yule muhindi ambao walikamatwa wakati wa utawala wa JK. Pia yupo kijana anaeitwa Mdude ambae alikamatwa wakati wa utawala wa JPM. Wote waliokamatwa wameonesha shukran zao kwa raisi kutokana na jitihada alizofanya mpaka kuachiwa kwao, lakini huyu Mdude yeye ameonekana kutoshukuru kwa lolote, anachofanya yeye ni kutafuta njia ya kumchafua raisi kana kwamba haoni jitihada zake katika kuachiwa kwake.

Je, Mdude hafahamu kwamba bila mama kuweka jitihada zake na huruma wake mpaka leo angekuwa bado ananyea debe kama alivyokuwa ananyea wakati wa utawala uliyopita? Hata hivyo simlaumu Mdude bali hii itumike kama fundisho kwa mama. Asiwe anafanya mambo kwa kufuata mashinikizo ya mitandao, bila shaka Rais Samia ashapata jibu kwamba ni kwanini watu aina ya kina Mdude waliwekwa ndani na hawakuachiwa hivi hivi. Wakati mungine mtu unaweza kuwa sio katili, lakini watu wakakufanya ukawa katili.

Rais Samia sasa inambidi avumilie maana ni kama vile kinyago amekichonga mwenyewe afu leo kinamtafuna pia ajue siku zote shukrani ya punda ni mateke.

Asanteni.

Hutaki mama afanye maamuzi kupitia mitandao, lakini ww pia unatumia mitandao hiyo hiyo kutaka mama afuate utakacho! Hii ndio akili ya kukimbizia mwenge. Hili suala la Mdude naona umelinzishia nyuzi kibao, na kote huko umepewa ukweli wako. Achana na hili jambo liko nje ya uwezo wako. Zile zama zenu za watu wasiojulikana zimepita na dhalimu, sasa hivi tafuta kazi ya halali boss.
 
Watu walioko karibu na mama wamtafutie series moja inaitwa TYRANT. Viongozi wanaokuja kutawala baada ya utawala unaosemekana kuwa wa kimabavu wana mengi ya kujifunza kupitia ile series.
 
Kama ni tatizo la kisaikolojia au akili kwanini vitisho na kejeli hizi hakumwambia Mbowe, Lisu, Sugu au kiongozi yoyote wa Chadema. Yeye amezielekeza kwa raisi ambae utawala wake umesimamia sheria kikamilifu mpk yeye kutoka jela katika mazingira ambayo hata yeye Mdude hakuyategemea? Raisi huyu huyu anaetolewa maneno ya kashfa na vitisho na Mdude ndio aliembadilisha mwanasheria mkuu wa serikali ambae amefanya mchakato kuhakikisha watu wenye kesi kama za kina Mdude wanaachiwa huru. Leo hii Mdude badala ya kushukuru kwa usimamiaji wa sheria uliochagizwa na mama, eti anakuja na vitisho visivyokuwa na maana. Hivi mtu anawezaje kukulaumu ww kwa kosa lililofanywa na ndugu au rafiki yako?

Naona una msongo wa mawazo mpaka unaandika na uongo wa kijinga. Umeshapanick ww.
 
Habari zenu ndugu zangu,

Wakuu wenzangu, wakati Rais Samia anaingia madarakani wengi tulimshauri aache kufanya maamuzi kwa kufuata mashinikizo ya watu ndani ya mitandao ya kijamii. Kama ilivyo kawaida ya ushauri ni mshauriwa kufuata au kuacha kufuata anachoshauriwa.

Raisi akaamua kupuuza ushauri wetu kwa kuanza timua timua ya viongozi wote waliokuwa wanashutumiwa na wapinzani humu mitandaoni bila kujali uchapaji wao wa kazi. Lakini raisi hakuishia hapo katika kutaka kuwafurahisha wapinzani na wanaolalamika mitandaoni, Rais akauonesha umma wa Watanzania na dunia kwa ujumla kwamba kuna watu walikuwa wameonewa na kukamatwa bila makosa yoyote chini ya utawala wa awamu ya tano na hata ya nne pia. Akaamua kutengeneza mazingira ambayo yamewasaidia wengi kutoka ndani ya vifungo vyao walivyokuwa wamefungwa kutokana na kesi mbalimbali.

Kati ya wafungwa hao walioachiwa kutokana na mipango au jitihada za mama ni wale mashehe wa uamsho, na yule muhindi ambao walikamatwa wakati wa utawala wa JK. Pia yupo kijana anaeitwa Mdude ambae alikamatwa wakati wa utawala wa JPM. Wote waliokamatwa wameonesha shukran zao kwa raisi kutokana na jitihada alizofanya mpaka kuachiwa kwao, lakini huyu Mdude yeye ameonekana kutoshukuru kwa lolote, anachofanya yeye ni kutafuta njia ya kumchafua raisi kana kwamba haoni jitihada zake katika kuachiwa kwake.

Je, Mdude hafahamu kwamba bila mama kuweka jitihada zake na huruma wake mpaka leo angekuwa bado ananyea debe kama alivyokuwa ananyea wakati wa utawala uliyopita? Hata hivyo simlaumu Mdude bali hii itumike kama fundisho kwa mama. Asiwe anafanya mambo kwa kufuata mashinikizo ya mitandao, bila shaka Rais Samia ashapata jibu kwamba ni kwanini watu aina ya kina Mdude waliwekwa ndani na hawakuachiwa hivi hivi. Wakati mungine mtu unaweza kuwa sio katili, lakini watu wakakufanya ukawa katili.

Rais Samia sasa inambidi avumilie maana ni kama vile kinyago amekichonga mwenyewe afu leo kinamtafuna pia ajue siku zote shukrani ya punda ni mateke.

Asanteni.
We ni kichaa, mdude aliachiwa na mama au na mahakama?
 
Habari zenu ndugu zangu,

Wakuu wenzangu, wakati Rais Samia anaingia madarakani wengi tulimshauri aache kufanya maamuzi kwa kufuata mashinikizo ya watu ndani ya mitandao ya kijamii. Kama ilivyo kawaida ya ushauri ni mshauriwa kufuata au kuacha kufuata anachoshauriwa.

Raisi akaamua kupuuza ushauri wetu kwa kuanza timua timua ya viongozi wote waliokuwa wanashutumiwa na wapinzani humu mitandaoni bila kujali uchapaji wao wa kazi. Lakini raisi hakuishia hapo katika kutaka kuwafurahisha wapinzani na wanaolalamika mitandaoni, Rais akauonesha umma wa Watanzania na dunia kwa ujumla kwamba kuna watu walikuwa wameonewa na kukamatwa bila makosa yoyote chini ya utawala wa awamu ya tano na hata ya nne pia. Akaamua kutengeneza mazingira ambayo yamewasaidia wengi kutoka ndani ya vifungo vyao walivyokuwa wamefungwa kutokana na kesi mbalimbali.

Kati ya wafungwa hao walioachiwa kutokana na mipango au jitihada za mama ni wale mashehe wa uamsho, na yule muhindi ambao walikamatwa wakati wa utawala wa JK. Pia yupo kijana anaeitwa Mdude ambae alikamatwa wakati wa utawala wa JPM. Wote waliokamatwa wameonesha shukran zao kwa raisi kutokana na jitihada alizofanya mpaka kuachiwa kwao, lakini huyu Mdude yeye ameonekana kutoshukuru kwa lolote, anachofanya yeye ni kutafuta njia ya kumchafua raisi kana kwamba haoni jitihada zake katika kuachiwa kwake.

Je, Mdude hafahamu kwamba bila mama kuweka jitihada zake na huruma wake mpaka leo angekuwa bado ananyea debe kama alivyokuwa ananyea wakati wa utawala uliyopita? Hata hivyo simlaumu Mdude bali hii itumike kama fundisho kwa mama. Asiwe anafanya mambo kwa kufuata mashinikizo ya mitandao, bila shaka Rais Samia ashapata jibu kwamba ni kwanini watu aina ya kina Mdude waliwekwa ndani na hawakuachiwa hivi hivi. Wakati mungine mtu unaweza kuwa sio katili, lakini watu wakakufanya ukawa katili.

Rais Samia sasa inambidi avumilie maana ni kama vile kinyago amekichonga mwenyewe afu leo kinamtafuna pia ajue siku zote shukrani ya punda ni mateke.

Asanteni.
We huwezi kuwa mwansiasa kamwe.huijui siasa wewe hainaga adui Wa kudumu.
 
Kweli mkuu, just imagine mtu kama Mdude badala ya kumshukuru raisi kwa kusimamia haki hadi yeye akatoka eti anaanza kumtengenezea na yeye beef mwisho wa siku mama kama walivyo binadam wengine uzalendo utamshinda na kuanza kutumia madaraka yake kumwadhibu yeye Mdude na wengine wa aina yake.

JK alikuwa mvumilivu na mwenye huruma lkn watu walimlazimisha kutumia madaraka yake matokeo yake watu wakaanza kulalamika sijui kina Mwangosi wameng'olewa kucha, sijui aliuwa watu katika bomu la soweto kule Arusha nk.

Hizi Id za wakati wa kampeni zilianzishwa na ccm kundi la kina Polepole na Bashiru, ili kupambana na kuchafua mijadala kipindi cha dhalimu. Id hizi zilikuwa za wanufaika wa utawala wa yule kiongozi muovu,kwa sasa mlichokuwa mnapata kipindi kile hamkipati baada ya dhalimu mwenzenu kwenda motoni. Mnachofanya sasa ni kucheza na akili ya mama ili kumchanganya afanye kama dhalimu.

Mlilipwa kwa kutegemea uovu, msitegemee huyo mama kurudi kwenye uovu ili awape ulaji tena. Kama ni kuteka watu na kuwaua mmefanya sana, na kama miradi yenu haikuwa imekamilika ndio basi tena. Sasa hivi nyie na lile genge lenu la watu waovu akina Polepole, Bashiru, Makonda nk mmekuwa wapole maana hamna njia ya kuwapatia tena vipato haramu. Polepole na kile kipindi chake cha kusaka sifa na ulaji, kimefutika baada ya utawala wa mtu muovu kuisha ghafla.
 
Habari zenu ndugu zangu,

Wakuu wenzangu, wakati Rais Samia anaingia madarakani wengi tulimshauri aache kufanya maamuzi kwa kufuata mashinikizo ya watu ndani ya mitandao ya kijamii. Kama ilivyo kawaida ya ushauri ni mshauriwa kufuata au kuacha kufuata anachoshauriwa.

Raisi akaamua kupuuza ushauri wetu kwa kuanza timua timua ya viongozi wote waliokuwa wanashutumiwa na wapinzani humu mitandaoni bila kujali uchapaji wao wa kazi. Lakini raisi hakuishia hapo katika kutaka kuwafurahisha wapinzani na wanaolalamika mitandaoni, Rais akauonesha umma wa Watanzania na dunia kwa ujumla kwamba kuna watu walikuwa wameonewa na kukamatwa bila makosa yoyote chini ya utawala wa awamu ya tano na hata ya nne pia. Akaamua kutengeneza mazingira ambayo yamewasaidia wengi kutoka ndani ya vifungo vyao walivyokuwa wamefungwa kutokana na kesi mbalimbali.

Kati ya wafungwa hao walioachiwa kutokana na mipango au jitihada za mama ni wale mashehe wa uamsho, na yule muhindi ambao walikamatwa wakati wa utawala wa JK. Pia yupo kijana anaeitwa Mdude ambae alikamatwa wakati wa utawala wa JPM. Wote waliokamatwa wameonesha shukran zao kwa raisi kutokana na jitihada alizofanya mpaka kuachiwa kwao, lakini huyu Mdude yeye ameonekana kutoshukuru kwa lolote, anachofanya yeye ni kutafuta njia ya kumchafua raisi kana kwamba haoni jitihada zake katika kuachiwa kwake.

Je, Mdude hafahamu kwamba bila mama kuweka jitihada zake na huruma wake mpaka leo angekuwa bado ananyea debe kama alivyokuwa ananyea wakati wa utawala uliyopita? Hata hivyo simlaumu Mdude bali hii itumike kama fundisho kwa mama. Asiwe anafanya mambo kwa kufuata mashinikizo ya mitandao, bila shaka Rais Samia ashapata jibu kwamba ni kwanini watu aina ya kina Mdude waliwekwa ndani na hawakuachiwa hivi hivi. Wakati mungine mtu unaweza kuwa sio katili, lakini watu wakakufanya ukawa katili.

Rais Samia sasa inambidi avumilie maana ni kama vile kinyago amekichonga mwenyewe afu leo kinamtafuna pia ajue siku zote shukrani ya punda ni mateke.

Asanteni.

Hivyo kumbe Mdude alishikiliwa na JPM na kaachiliwa na Samia?

Eleweni kuea wananchi tumeamka. Hatutaki kuendelea kubambikiziwa kesi, hatutaki dhuluma, hatutaki kubebeshwa mizigo ya kodi ya wengine, tunataka mihimili ya utawala iliyo na huru kamili, tunataka usawa, tunataka uwajibikaji, tunataka mawazo yetu kusikilizwa nk.

Haya majibu ya matakwa hayo ni katiba mpya. Mwambieni mama wananchi wanataka katiba yao kuondokana na adha kama hizo.
 
Kwa hiyo tuseme huyu Mama (Samia Suluhu) anafanya yale yale ya Mwendazake John P. Magufuli?

Kwamba, mahakama haikuzingatia sheria katika kutoa hukumu ya Mdude Chadema isipokuwa ilifuata maagizo ya Rais na kwa hiyo alitoka kwa "hisani ya Rais Samia Suluhu?"

Kumbe ndo maana mnamwandama hivi kiasi cha kutaka kumfanya kuwa mtumwa wa "hisani ya Rais Samoa" siyo?

Tukisema kuwa Rais Samia aweza kuwa Magufuli wa kike msishangae na ndiyo maana Mdude Chadema anasema "...wembe uliomnyoa Magufuli ndiyo huohuo utamnyoa na huyu mama!"

Kiukweli, kama mambo ndo yako hivi, basi Mimi naunga mkono hoja, wembe uleule uliomnyoa yule basi umnyoe na huyu.

sio kila wakati dola lazima ikwambie kila kitu..

Ni ngumu dola kukwambia kwanini Uamsho walikuwa jela...sia ajabu ukifunuliwa leo kwa siri ukaonyeshwa harakati zao ungeweza kuandamana na kutaka adhabu kali dhidi yao...
 
We huwezi kuwa mwansiasa kamwe.huijui siasa wewe hainaga adui Wa kudumu.
Inawezekana ww ukawa na upeo wa kisiasa zaidi ya Lisu ambae aliifanya siasa ni uadui mkubwa mpaka akaamua kushirikiana na wazungu katika swala la madini, lakini pia baada ya kuona swala la madini halina madhara kwa nchi akaamua kuwaomba hao hao wazungu watunyime misaada na kutuwekea vikwazo bila kujali kwamba vile vikwazo vingewaumiza zaidi raia wa chini wakiwemo ndugu zake, rafiki zake na wanachama wake.
 
Back
Top Bottom