Rais Samia anavuna alichopanda, hana budi kuvumilia

Ama kweli "usitukane mamba kabla haujavuka mto". Waliopanga kumpa mwendawazimu wembe amnyoe adui yao, ndio hao hao leo wanalalamika kunyolewa wao!!
 
Too low.
 
tunataka katiba mpya
 
Wakati mungine mtu unaweza kuwa sio katili, lakini watu wakakufanya ukawa katili

(Hapa nimekuelewa sana) Na ndio wengi walikua hawamuelewi Magu. Hawa wanaojiita wapinzani wanahitaji style ya magu ili mambo yaende.
Uongozi unataka ngozi ngumu kama una ngozi nyepesi haukufai
 
Sauti ya watu sauti ya Mungu usipowqsikiliza ni lazima uanguke
 
Mtu matured na civilized anyimwi usingizi na kelele za watu wasio na dola.
Wapiga kelele wapo duniani nzima.
 
Andiko lako linatupa ujumbe kwamba wanaofungwa jela na tawala hizi za kiimla ni kwamba kimsingi sio wakosaji mbele ya sheria ila ni kutaka kuwakomoa na pia kufanya uwe mfano kusudi wengine waogope. Ndivyo nilivyo kuelewa.
 
Mtu matured na civilized anyimwi usingizi na kelele za watu wasio na dola.
Wapiga kelele wapo duniani nzima.
Wewe unafikiri akina Gaddafi, Saddam, Mobutu, Amin, Bokassa, Doe, Mugabe, Siad Barre wao hawakuwa na dola.!!

Mkiwa mnakuja humu, msiwe mnalewa kwanza viroba, jua dunia hii inakotoka. Hata Magufuli alikuwa na dola lakini leo kabaki tu kwenye hadithi kama ya sungura alivyomdanganya tembo akakanyaga moto.
 
Viroba vipo kwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…