Rais Samia anaweza kwenda Ivory Coast mwezi ujao

Rais Samia anaweza kwenda Ivory Coast mwezi ujao

Benki ya Maendeleo ya Afrika imemualika Rais Samia Suluhu kuhudhuria Jukwaa la Wawekezaji Afrika litakalotoa fursa ya kuwakutanisha na wawekezaji na kusaidia upatikanaji wa mitaji.

Mualiko huo umetolewa leo na Rais wa Benki hiyo, Dkt Adesina Akinumwi alipozungumza na Rais Samia kwa njia ya simu leo hii.

Benki hiyo pia imempongezea Rais Samia kwa jinsi anavyoimarisha sekta binafsi.
Huyu Mama mwacheni tuu!. Angalia Tanzania inavyo shine kimataifa!. Mama Nenda kokote utakako itwa ili kuiletea Neema nchi yetu Tanzania.

Every time, I hear something good ambacho Mama Samia amefanya, na revist baadhi ya mabandiko yangu kumhusu Samia, I was dam right!.




 
Ngoja nichangamkie fursa kwa kuwasiliana na Elon Musk nimshawishi ampigie simu Chief Han Gaya ili aone jinsi tunaweza kufaidika kwa safari za "angani".
Kweli uongozi mgumu! JK alikuwa akisafiri kwenda ng’ambo kuhemea watu wakasema sana. Amekuja Uncle JPM akasema hasafiri kwenda nje anainyoosha kwanza nchi, raia tukalalamika ooooh Rais haendi nje anaua diplomasia, Tanzania inapotea kwenye uso wa Ulimwengu, nk, nk!! Amekuja Mama amesema inabidi aifungue nchi kwa kuhimiza diplomasia ya uchumi na utangamano, tumeanza ooooh Mama anasafiri sana! Mama fanya unachoona kinawafaa Watanzania na siyo kinachowafurahisha Watanzania tuliopo hapa. Kahemee, tafuta pesa, jenga madarasa, nunua CT-Scan mwaga nchi nzima, nunua ambulance za maana achana na ambulance za baiskeli na pikipiki, mwaga mitambo ya kuchimba visima, lete wawekezaji, lete watalii, n.k, n.k
 
Benki ya Maendeleo ya Afrika imemualika Rais Samia Suluhu kuhudhuria Jukwaa la Wawekezaji Afrika litakalotoa fursa ya kuwakutanisha na wawekezaji na kusaidia upatikanaji wa mitaji.

Mualiko huo umetolewa leo na Rais wa Benki hiyo, Dkt Adesina Akinumwi alipozungumza na Rais Samia kwa njia ya simu leo hii.

Benki hiyo pia imempongezea Rais Samia kwa jinsi anavyoimarisha sekta binafsi.
Kuna siku ndege itadondoka Angani tutatumia tena katiba kumpata mpango kuwa Rais
 
  • Kicheko
Reactions: BRB
Mbona akiwa anasafiri sioni mumewe au akiwa kwenye ziara sioni, kama inavyokua viongozi wa kiume kutembea na wake zaoz
 
Back
Top Bottom