Rais Samia anawezaje kujenga SGR kilometa 1,063 kwa TZS 10.1T na SG kwa TZS 6.55T?

Inflation cancels out pay rises
 

..labda wawe wanakopa kwa siri kama utawala uliopita.

..lakini itakuja kugundulika wakati wa kulipa, na wakati huo itakuwa ni tatizo la kiongozi mwingine.
 
Namsa
Namsapoti kwa mengi, ila treatment ya vyama vya upinzani bado sijamuelewa.
 
Mbolea 1 bag ya urea ni 80000 mpunga gunia moja ni 36000 mpka 50000 je hiko kicheko anacho yye
 
Asante sana kwa kutufahamisha,tusioyajuwa.Endelea kutufahamisha.
 
Huyu ndio Rais,anayetufaa wananchi wote,kuanzia matajiri,wenye kipato cha kati,maskini,wanyonge.Uongozi wake,haubagui mwananchi ni Rais wa wote.
 
Acha bangi Dogo kuandika propaganda ni kaxi rahisi,
 
Umetufinguwa macho,mleta uzi.Tumepata kiongozi msomi,lazima maendeleo yawepo.
 
Wewe ni mpuuzi kweli, value retention fee iko palepale licha ya tamko, kashusha asilimia 1 paye,ongezeko ni 2500 bila kuangalia mshahara wa mtu.Umepandishwa daraja vitu vimepanda,mitozo kibao hadi kwenye luku huku unashangilia kama zuzu, hii nchi imejaa majitu manafiki na yenye phd za kujipendekeza
 
Umewezaje kupoteza muda wako kujaza utopolo kama huu
 
Mkuu pumzika kidogo, Meza mate, Kunywa Maji.


Mimi niko relaxed sana ndio maana naweza kuisemea nchi yangu kinaganaga hivi,

Kama kunajambo hujaelewa niambie nifafanue,
 



Kama ulikatwa kimakosa nenda kalalamike HR wako, Over
 
Wewe mwenyewe umeandika mavi,


Kwanini tusiwe na ustaarabu,

Sema ni wapi ameongopa umkosoe sio,

Sisi wengine huyu mama ametunusuru na mengi tunampenda sana,




Asante sana kwa kunisaidia kufafanua jambo matusi hayatusaidii kwa lolote,
 
tarehe 20 mwezi wa 8 tozo ya kodi ya jengo inaanza kukatwa kwenye luku 😅

teechnicaly ni service charge iliyoondolewagwa baada ya kuonekana kuwa ni mzigo kwa wananchi

leo imetangazwa serikali imepata mkopo wa 2+ trillion from world bank

plus tozo za miamala bado hujasahau tozo za line za simu


endelea kuota
 
Unasemaje juu ya ongezeko la bei ya mbolea? Kuna kicheko kwa wakulima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…