Ni kodi za watanzania ndizo zinazojenga!
Anaendelea utekelezaji wa ilani ya Mwenyekiti wa CHAMA Tawala aliemrithi na huyo alikuwa mwanzilishi wa speed iliopo!!
Achana na hayo kazia hii Hapa;-
"Mzee Warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato ukamilike"