Rais Samia anawezaje kujenga zahanati 564, Vituo vya Afya 304 na Hospitali 68?

Rais Samia anawezaje kujenga zahanati 564, Vituo vya Afya 304 na Hospitali 68?

Awamu ya 5 ilijaa propaganda ya 6 nayo inaelekea kule kule .

Awamu ya 5 walisema walifanikiwa kujenga viwanda 100 kila mkoa ila statistically walipobanwa waoneshe ndio tukaletewa hadi sewing na milling machines kuwa ni viwanda.

Awamu hii inajinasibu kuwa imejenga zahanati na madarasa na asifiwaye ni Samia lakini ni majuzi Samia huyo huyo alipokea mkopo wa Covid Relief Fund ndio zikatumika hapo na hatujui riba ya mkopo huo ni kiasi gani.

Sio ajabu kuona lumumba buku saba inaendelea maana imekuwa kila mtawala anaajiri genge la kumsifia mtandaoni .

Ipo siku mtakuja kumsifia humu anaoga mara 5 kwa siku.
Hivi kweli tukae kimya,

Mtu anajenga Zahanati 500,

Mtu anajenga vituo vya afya 300

Mtu anajenga hospitali 70

Tukae kimya eti tukisema tunalipwa,


Shame on you,
 
Hikweli tukae kimya,

Mtu anajenga Zahanati 500,

Mtu anajenga vituo vya afya 300

Mtu anajenga hospitali 70

Tukae kimya eti tukisema tunalipwa,


Shame on you,
Samia analipwa mshahara kiasi gani.?

Tuanzie hapo kwanza.
 
Awamu ya 5 ilijaa propaganda ya 6 nayo inaelekea kule kule .

Awamu ya 5 walisema walifanikiwa kujenga viwanda 100 kila mkoa ila statistically walipobanwa waoneshe ndio tukaletewa hadi sewing na milling machines kuwa ni viwanda.

Awamu hii inajinasibu kuwa imejenga zahanati na madarasa na asifiwaye ni Samia lakini ni majuzi Samia huyo huyo alipokea mkopo wa Covid Relief Fund ndio zikatumika hapo na hatujui riba ya mkopo huo ni kiasi gani.

Sio ajabu kuona lumumba buku saba inaendelea maana imekuwa kila mtawala anaajiri genge la kumsifia mtandaoni .

Ipo siku mtakuja kumsifia humu anaoga mara 5 kwa siku.
Kumbuka hii ni awamu ya sita,
 
View attachment 2197392
===
Kunawakati huwa nikimsikia mtu anamsema vibaya huyu Mama natamani kumpiga na kitu kizito kichwani,basi ni vile sheria tu hairuhusu na Mungu hataki,

Hebu jiulize,tangu tupate Uhuru ni lini umewahi kuona jumla ya Zahanati mpya 564 zinajengwa kwa mpigo tena nchi nzima?

Hebu jiulize tena,tangu tupate Uhuru ni lini umewahi kuona vituo vipya vya Afya 304 vinajengwa kwa Mpigo nchi nzima?

Hebu jiulize zaidi, tangu tupate Uhuru ni lini tuliwahi kujenga hospitali 68 ikiwemo ile ya Mbagala kwa mpigo?

Hebu pitia kwa utulivu hii taarifa toka TAMISEMI, then umsikie mtu anamsema vibaya mama kama hujatamani kufanya ninayotamani Mimi.

=====
HUDUMA ZA AFYA YA MSINGI-TAMISEMI

27. Mheshimiwa Spika
, katika Mwaka wa Fedha 2021/22 Ofisi ya Rais - TAMISEMI iliidhinishiwa Shilingi bilioni 28.20 kupitia ruzuku ya Serikali Kuu.

Fedha hii ni kwaajili ukamilishaji wa ujenzi wa maboma 564 ya Zahanati katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Hadi kufikia Februari 2022, zimepokelewa Shilingi bilioni 23.32 sawa na asilimia 82.69 ya fedha zilizoidhinishwa.

28. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22 Shilingi bilioni 110.60 ziliidhinishwa kupitia ruzuku ya Serikali Kuu.

Fedha hii ni kwaajili ya kuendeleza na ujenzi wa Vituo vya Afya 304.

Kati ya hivyo, Vituo 52 vilianza kujengwa Mwaka wa Fedha 2019/20.

Jumla ya Vituo 252 vimeanza kujengwa Mwaka wa Fedha 2021/22.

Jumla ya Vituo 18 vimejengwa kwenye Halmashauri zenye Mapato madogo.

Vituo 234 vimejengwa katika Tarafa zisizo kuwa na Vituo vya Afya na Kata za Kimkakati kupitia tozo za miamala ya simu.

Hadi Februari, 2022 Shilingi bilioni 108.05 zimepokelewa sawa na asilimia 97.69 ya fedha zilizoidhinishwa na ujenzi unaendelea.

29. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22 Serikali ilitenga Shilingi bilioni 81.10.

Fedha hizi ni kwaajili ya kuendelea na ujenzi wa Hospitali 68 .

Hadi Februari, 2022 Shilingi bilioni 66.80 sawa na asilimia 82.36 zilikuwa zimepokelewa na ujenzi upo katika hatua mbalimbali.

NB, Hizi Zahanati 564,Vituo vya Afya 304 na Hospitali 68 vyote hivi vinajengwa na TAMISEMI tu achili mbali vile vinavyojengwa na Wizara ya Afya sijaviorodhesha hapa.
Kwa mujibu wa hotuba, kuna mistari inasema 'kuendeleza ujenzi' kuna mstari unasema 'ujenzi ulianza 2019/2020'

Ushauri wangu, tumpongeze mama kwa jitihada zake ila pia tuache kuchonganisha kwa kubadilisha maelezo
 
Kumbuka hii ni awamu ya sita,
Mkoloni alijenga reli, shule, hospitali, barabara,masoko n.k mbona haupongezi?

Kuna vitu havina haja ya kusifia hizo ni huduma na ni jukumu la serikali kuzitoa kutokana na kodi za wananchi.
 
Mtazame Samia kama taasisi sio as an entity,
Jibu swali , kwani wewe ulivyokuja kupiga hapa tarumbeta na vigelegele hukuja kusifia "taasisi" bali an individual

Sasa nijibu swali usihamishe mada.

Samia analipwa kiasi gani?
 
Yes ni njaa zetu,

Ni njaa zetu zinatufanya tufurahie Zahanati 564 kwa kuwa sasa tutapata matibabu kirahisi sana,

Ni njaa zetu ndio maana tunafurahia vituo 304 vya Afya kwani sasa tunauhakika wake zetu watajifungulia huku huku,

Ninjaa zetu ndio maana tunafurahia Ujenzi wa hospitali mpya 68 zitakazookoa Maisha yetu kwani hatuna uwezo wa kwenda kutibiwa nje ya nchi ,

Yes ni njaa tu hizi 🙏🙏🙏🙏
Hivyo, vituo vilijengwa lini? Sio kwamba vilianza kujengwa miaka mingi iliyopita na kukamilika kwenye awamu hii ya Mama?
 
Kuna watu wanateseka bila kuteswaa,

Huyu Mama ni mpango wa Mungu tukubali tukatae,

Mambo anayoyafanya yanatetemesha,
Katiba mpya huenda ikawafungua watanzania ufahamu hata kuelewa wajibu viongozi na serikali kwa wananchi.

Tutapata fursa ya kuona mihimili ikiwajibika na kuwajibishwa. Tutaelewa kuwa miradi ya maendeleo sio kwa hisani ya mtu bali kodi za wananchi na misaada ya wahisani.

Leo tumejivua ufahamu na kuona ajabu pale mtu anapotenda kulingana na wajibu wake.

Watanzania bado hatujafanikiwa kumuondoa adui UJINGA....bado anatuandama
 
View attachment 2197392
===
Kunawakati huwa nikimsikia mtu anamsema vibaya huyu Mama natamani kumpiga na kitu kizito kichwani,basi ni vile sheria tu hairuhusu na Mungu hataki,

Hebu jiulize,tangu tupate Uhuru ni lini umewahi kuona jumla ya Zahanati mpya 564 zinajengwa kwa mpigo tena nchi nzima?

Hebu jiulize tena,tangu tupate Uhuru ni lini umewahi kuona vituo vipya vya Afya 304 vinajengwa kwa Mpigo nchi nzima?

Hebu jiulize zaidi, tangu tupate Uhuru ni lini tuliwahi kujenga hospitali 68 ikiwemo ile ya Mbagala kwa mpigo?

Hebu pitia kwa utulivu hii taarifa toka TAMISEMI, then umsikie mtu anamsema vibaya mama kama hujatamani kufanya ninayotamani Mimi.

=====
HUDUMA ZA AFYA YA MSINGI-TAMISEMI

27. Mheshimiwa Spika
, katika Mwaka wa Fedha 2021/22 Ofisi ya Rais - TAMISEMI iliidhinishiwa Shilingi bilioni 28.20 kupitia ruzuku ya Serikali Kuu.

Fedha hii ni kwaajili ukamilishaji wa ujenzi wa maboma 564 ya Zahanati katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Hadi kufikia Februari 2022, zimepokelewa Shilingi bilioni 23.32 sawa na asilimia 82.69 ya fedha zilizoidhinishwa.

28. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22 Shilingi bilioni 110.60 ziliidhinishwa kupitia ruzuku ya Serikali Kuu.

Fedha hii ni kwaajili ya kuendeleza na ujenzi wa Vituo vya Afya 304.

Kati ya hivyo, Vituo 52 vilianza kujengwa Mwaka wa Fedha 2019/20.

Jumla ya Vituo 252 vimeanza kujengwa Mwaka wa Fedha 2021/22.

Jumla ya Vituo 18 vimejengwa kwenye Halmashauri zenye Mapato madogo.

Vituo 234 vimejengwa katika Tarafa zisizo kuwa na Vituo vya Afya na Kata za Kimkakati kupitia tozo za miamala ya simu.

Hadi Februari, 2022 Shilingi bilioni 108.05 zimepokelewa sawa na asilimia 97.69 ya fedha zilizoidhinishwa na ujenzi unaendelea.

29. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22 Serikali ilitenga Shilingi bilioni 81.10.

Fedha hizi ni kwaajili ya kuendelea na ujenzi wa Hospitali 68 .

Hadi Februari, 2022 Shilingi bilioni 66.80 sawa na asilimia 82.36 zilikuwa zimepokelewa na ujenzi upo katika hatua mbalimbali.

NB, Hizi Zahanati 564,Vituo vya Afya 304 na Hospitali 68 vyote hivi vinajengwa na TAMISEMI tu achili mbali vile vinavyojengwa na Wizara ya Afya sijaviorodhesha hapa.
Ulipiga kura 2020? Ulimchagua? Kama ulimpa kura yako, huna sababu ya kuuliza ni lazima tu ulisoma Ilani yake. Kama hukumchagua huna sababu ya kuuliza kazi yako subiri 2030.

Ssikiliza hii:
 
Kwa mujibu wa hotuba, kuna mistari inasema 'kuendeleza ujenzi' kuna mstari unasema 'ujenzi ulianza 2019/2020'

Ushauri wangu, tumpongeze mama kwa jitihada zake ila pia tuache kuchonganisha kwa kubadilisha maelezo
Wapi maelezo yamebadilishwa?
 
View attachment 2197392
===
Kunawakati huwa nikimsikia mtu anamsema vibaya huyu Mama natamani kumpiga na kitu kizito kichwani,basi ni vile sheria tu hairuhusu na Mungu hataki,

Hebu jiulize,tangu tupate Uhuru ni lini umewahi kuona jumla ya Zahanati mpya 564 zinajengwa kwa mpigo tena nchi nzima?

Hebu jiulize tena,tangu tupate Uhuru ni lini umewahi kuona vituo vipya vya Afya 304 vinajengwa kwa Mpigo nchi nzima?

Hebu jiulize zaidi, tangu tupate Uhuru ni lini tuliwahi kujenga hospitali 68 ikiwemo ile ya Mbagala kwa mpigo?

Hebu pitia kwa utulivu hii taarifa toka TAMISEMI, then umsikie mtu anamsema vibaya mama kama hujatamani kufanya ninayotamani Mimi.

=====
HUDUMA ZA AFYA YA MSINGI-TAMISEMI

27. Mheshimiwa Spika
, katika Mwaka wa Fedha 2021/22 Ofisi ya Rais - TAMISEMI iliidhinishiwa Shilingi bilioni 28.20 kupitia ruzuku ya Serikali Kuu.

Fedha hii ni kwaajili ukamilishaji wa ujenzi wa maboma 564 ya Zahanati katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Hadi kufikia Februari 2022, zimepokelewa Shilingi bilioni 23.32 sawa na asilimia 82.69 ya fedha zilizoidhinishwa.

28. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22 Shilingi bilioni 110.60 ziliidhinishwa kupitia ruzuku ya Serikali Kuu.

Fedha hii ni kwaajili ya kuendeleza na ujenzi wa Vituo vya Afya 304.

Kati ya hivyo, Vituo 52 vilianza kujengwa Mwaka wa Fedha 2019/20.

Jumla ya Vituo 252 vimeanza kujengwa Mwaka wa Fedha 2021/22.

Jumla ya Vituo 18 vimejengwa kwenye Halmashauri zenye Mapato madogo.

Vituo 234 vimejengwa katika Tarafa zisizo kuwa na Vituo vya Afya na Kata za Kimkakati kupitia tozo za miamala ya simu.

Hadi Februari, 2022 Shilingi bilioni 108.05 zimepokelewa sawa na asilimia 97.69 ya fedha zilizoidhinishwa na ujenzi unaendelea.

29. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22 Serikali ilitenga Shilingi bilioni 81.10.

Fedha hizi ni kwaajili ya kuendelea na ujenzi wa Hospitali 68 .

Hadi Februari, 2022 Shilingi bilioni 66.80 sawa na asilimia 82.36 zilikuwa zimepokelewa na ujenzi upo katika hatua mbalimbali.

NB, Hizi Zahanati 564,Vituo vya Afya 304 na Hospitali 68 vyote hivi vinajengwa na TAMISEMI tu achili mbali vile vinavyojengwa na Wizara ya Afya sijaviorodhesha hapa.
Kumsema Rais vibaya au vizuri kunategemea mtazamo na uwezo wa kifikra wa anayesema.
Hata hivyo, orodha ya yaliyofanyika uliyoiweka yahitaji kujadiliwa kwa fikra pana zaidi ukizingatia yafuatayo;
1. Kuanzia wakati wa uhuru hadi leo, idadi ya watu wakiwemo wataalamu na wasomi wameongezeka sana hiyo Kasi ya maendeleo lazima iwe kubwa kwa ulinganifu.
2. Uzalishaji umeongezeka hasa kwa sekta binafsi hivyo kodi na mapato mengine ya serikali kuongezeka sana kwa kulinganisha.
 
Mleta mada kwenye uzi wake

Kaandika fedha zimetengwa ili " Kukamilisha".

Halafu anaweka kichwa cha habari kuwa mkamilishaji wa mradi alioukuta ndio kajenga.

Yaani ni sawa na kukamilisha ujenzi wa daraja la Tanzanite.

Awamu hii haijajenga bali inakamilisha ujenzi.

Mleta mada muongo muongo tu
 
Hivi kweli tukae kimya,

Mtu anajenga Zahanati 500,

Mtu anajenga vituo vya afya 300

Mtu anajenga hospitali 70

Tukae kimya eti tukisema tunalipwa,


Shame on you,
Anakamilisha kazi iliyoanza awamu ya tano.

Hakuna kipya hapo.
 
Back
Top Bottom