Rais Samia: Anayekosea maamuzi nitamrekebisha, sitamfukuza

Rais Samia: Anayekosea maamuzi nitamrekebisha, sitamfukuza

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
1643273496088.png

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ili kupunguza mzigo wa kazi, huwa anawaambia Wasaidizi wake kufanya maamuzi kwenye masuala yaliyo ndani ya uwezo wao. Amesema huenda ni uoga, lakini wanapeleka maamuzi kufanywa ngazi ya juu

Ameeleza hayo katika mahojiano maalum na Jambo Tanzania (TBC) akifafanua, "Nawaambia anayekosea maamuzi nitamrekebisha, sitamfukuza. Nitakurekebisha mara ya kwanza, ya pili na ya tatu. Mara ya nne unaendelea kukosea nitajua huwezi kwenye hiyo nafasi"
 
Inategema na damage anayosababisha mtu, uamuzi unaweza kuchukuliwa hata kwenye kosa la kwanza.
 
Back
Top Bottom