Mungo Park
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 2,115
- 1,834
Uwaziri si suala la majaribio.. Tufanye 'vetting' za hali ya juu ili kupata Mawaziri 'vichwa' siyo wa majaribio..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahaaa! sawa, kumbe kina lukuvi na kabudi walimkosea sana, akawaondoa nafasi zao na kuwapooza ikulu sio.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ili kupunguza mzigo wa kazi, huwa anawaambia Wasaidizi wake kufanya maamuzi kwenye masuala yaliyo ndani ya uwezo wao. Amesema huenda ni uoga, lakini wanapeleka maamuzi kufanywa ngazi ya juu
Ameeleza hayo katika mahojiano maalum na Jambo Tanzania (TBC) akifafanua, "Nawaambia anayekosea maamuzi nitamrekebisha, sitamfukuza. Nitakurekebisha mara ya kwanza, ya pili na ya tatu. Mara ya nne unaendelea kukosea nitajua huwezi kwenye hiyo nafasi"
Mpaka kosa la nne!?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ili kupunguza mzigo wa kazi, huwa anawaambia Wasaidizi wake kufanya maamuzi kwenye masuala yaliyo ndani ya uwezo wao. Amesema huenda ni uoga, lakini wanapeleka maamuzi kufanywa ngazi ya juu
Ameeleza hayo katika mahojiano maalum na Jambo Tanzania (TBC) akifafanua, "Nawaambia anayekosea maamuzi nitamrekebisha, sitamfukuza. Nitakurekebisha mara ya kwanza, ya pili na ya tatu. Mara ya nne unaendelea kukosea nitajua huwezi kwenye hiyo nafasi"
Huu urais wa kuteuliwa na Katiba ni upuuzi mtupu.Mpaka kosa la nne!?
Nafanya kosa la kwanza kusudi kwa kupiga urefu wa kamba tshs bilion10...naitwa narekebishwa[emoji848]
Kosa la pili bilioni 5,la tatu bilioni 10,la nne b20..kisha naonekana siwezi hii nafasi...
45 billions,Easy naenda kuwa mfanyabiashara...WHAT A LAISSEZ-FAIRE LEADERSHIP!
Marais wakiwa Waislamu Wanakuwa na utu Sana na ubinadamu, nakumbuka magufuli alimfukuza mtu mbele ya hadhila ya wananchi,yule mtumishi akaizirai hapohapo, au Kama alivyomfukuza NAPE NNAUYE! mpaka Leo uwezi kujua kosa la Nape lilikuwa nini Zaid ya roho yake mbaya tuRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ili kupunguza mzigo wa kazi, huwa anawaambia Wasaidizi wake kufanya maamuzi kwenye masuala yaliyo ndani ya uwezo wao. Amesema huenda ni uoga, lakini wanapeleka maamuzi kufanywa ngazi ya juu
Ameeleza hayo katika mahojiano maalum na Jambo Tanzania (TBC) akifafanua, "Nawaambia anayekosea maamuzi nitamrekebisha, sitamfukuza. Nitakurekebisha mara ya kwanza, ya pili na ya tatu. Mara ya nne unaendelea kukosea nitajua huwezi kwenye hiyo nafasi"
We umejuaje Kama Ni mikataba ya hovyo!Ndiyo maana January sahivi anaingia mikataba ya hovyo kupiga pesa kumbe hakuna adhabu yoyote
Ndio maana kwa sasa nchi inaendeshwa kwa rimoti na yule mbembeaji wa kule Jamaica.Yeye mwenyewe huyo mama uwezo wa kua rais wa nchi hana.
Rudi shuleSijaelewa, hatawafukuza au wakikosea Mara nne ndio atawafukuza?
Hama Nchi!wazee, hivi wanaomsifiaga huyu mtu wanapata nguvu wapi? yani anavuruga mpaka inakera sasa
Hila msukuma mwenzenu hayati ndio alikuwa anajua kuongea?!Huyu mama kila akiongea anaharibu, anaonesha hawezi hata kuongea bila kujiuliza anachoongea kitaleta muonekano/mtazamo gani kwa jamii
kisa umesema wewe mlemavu wa fikra na matendo?Hama Nchi!
Ubinadamu unaujua wewe? Unaropoka tu kwa udini wako!Marais wakiwa Waislamu Wanakuwa na utu Sana na ubinadamu, nakumbuka magufuli alimfukuza mtu mbele ya hadhila ya wananchi,yule mtumishi akaizirai hapohapo, au Kama alivyomfukuza NAPE NNAUYE! mpaka Leo uwezi kujua kosa la Nape lilikuwa nini Zaid ya roho yake mbaya tu
Nashindwaga kuelewa mama kwa nini kila akiongea huwa anajipinga mwenyewe na kukoseakosea.Huyu mama kila akiongea anaharibu, anaonesha hawezi hata kujiuliza kama anachoongea kitaleta muonekano/mtazamo gani kwa jamii, she is so unfit in that position.
Kwa kauli yake hii na ile ya kula kwa urefu wa kamba zao sioni tena kama taifa tuna muelekeo wa kueleweka, naona wazi kabisa tunaongozwa na mtu asiejua anatupeleka wapi.
Alikunywa k.vant akiwa kazini mara 4Kwaiyo Waitara nae akitaka kuwa Rais! Au naye alikosea mara nne?