The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ndio mpaka upate na haupo kwa taarifa yako.Nikipata upenyo napiga hakuna namna, kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba ake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mpaka upate na haupo kwa taarifa yako.Nikipata upenyo napiga hakuna namna, kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba ake
January bado 3Amesema mpaka mara nne au mimi sijaelewa [emoji23]
January bado 3
Aibu kubwa sn kwa taifaKweli tumepata Rais zamu hii
Kweli kabisa.Sasa wataanza Lula kwa urefu wa kamba zaoHuyu mama kila akiongea anaharibu, anaonesha hawezi hata kuongea bila kujiuliza kama anachoongea kitaleta muonekano/mtazamo gani kwa jamii
Huyu mama apunguze kuropoka
YaanHuyu mama apunguze kuropoka
Wa wasafi au wanywajiLabda Rais wa wasafi
Ndugai hakuwa mtumishi wa RaisHata Ndugai naye alielewa hivi hivi kama mnavyoshadidia ila one mistake instantly you are given axe
January anatafta pesa ya uchaguzi ccm hawana eneo zuri lakupatia pesa Kama tanesco pale ndokina mikataba ya hovyo kabisa usishangaeNdiyo maana January sahivi anaingia mikataba ya hovyo kupiga pesa kumbe hakuna adhabu yoyote
Pesa zitapigwa balaaJanuary anatafta pesa ya uchaguzi ccm hawana eneo zuri lakupatia pesa Kama tanesco pale ndokina mikataba ya hovyo kabisa usishangae
wanabembelezwaWaliopata uteuzi awamu hii wataenjoy sana!
Utakuta una cheti cha kubumba ndo maana unataka kurekebishwa,Huo ndio uongozi bora!!kufukuza fukuza watu sio tija bali kuwarekebisha!!
Kufanya kazi na mama rahawanabembelezwa
Nafasi ni chache makada wa chama ni wengi.Kwaiyo Waitara nae akitaka kuwa Rais! Au naye alikosea mara nne?