Labda Rais wa wasafiKwaiyo Waitara nae akitaka kuwa Rais! Au naye alikosea mara nne?
Ni muda wa kupiga pesaWaliopata uteuzi awamu hii wataenjoy sana!
Mpigie simu umuulize au yupo humu?Kwaiyo Waitara nae akitaka kuwa Rais! Au naye alikosea mara nne?
Sijaelewa, hatawafukuza au wakikosea Mara nne ndio atawafukuza?
Alishasema kila mtu ale kwa urefu wa kamba akehaya viwavi habari ndiyo hiyo, ukikwapua sehemu A unarekebiswa then unapelekwa sehemu B, Mungu akupe nini ndugu - gunia la misumari ujitwishe nalo au?
Sio kweli mbona anafukuza sana tu, sema wale anaowapenda ndio anarekebisha.Huo ndio uongozi bora!!kufukuza fukuza watu sio tija bali kuwarekebisha!!