Rais Samia anayepingwa kwa uzanzibari wake ndiye amefanya makubwa kuliko hao Marais wa Tanganyika

UKIWA NA AKILI TIMAMU HUWEZI KUANDIKA UJINGA NA UPUUZI KAMA HUU ILI TU UNAANDIKA
Hakuna aliyempinga samia kwa uzanzibari wake hakuna
Je siyo kweli kwamba SAMIA NI MZANZIBAR?
JE SIYO KWELI KWAMBA BANDAR ZA BARA ZIMEUUZWA NA ZA ZANZIBAR HAZIJAUZWA? KWANN?
JE SIYO KWELI KWAMBA WAMASAI WAMEONDOLEWA NGORONGORO ILI KUPISHA WAWEKEZAJI

kuhoji na kujibu haya siyo uchochezi dharau wala ubaguzi .labda uwe kasuku
 
Hauo yote uliyoorodhesha ni kazi na majukumu yake kama rais
 
MASIKINI TANGANYIKA YETU
 
Huoni kwamba wewe ndio hamnazo? Unaweza thibitisha kwamba Bandari zimeuzwa? Kwamba ubinafsishaji ni uuzaji? Kwamba baada ya kuuzwa Sasa Tanzania hatupati chochote huko bandarini na kwamba Mapato Tunayopata kwenye Bandari hatupati tena au yamepungua?

Pili unakumbuka Chadema mara ya kwanza walianza na uzushi gani kuhusu Bandari?

Acha upumbavu na ujinga.Tangu lini Watanzania wakatambuana Kwa ukabila na maeneo wanahotoka?
 
ulisha ishi visiwani? unajua wabara kule wanaitwaje?
mimi nikisema wewe ni mkerewe nimekubagua?
 
ulisha ishi visiwani? unajua wabara kule wanaitwaje?
mimi nikisema wewe ni mkerewe nimekubagua?
Kuendekeza mambo ya abaguzi ni ajenda za Chadema na ACT Wazalendo.

Siku mkishika Dola kama itatokea ndio gawaneni ila chini ya CCM,never.

Nimekuuliza kuhusu hoja ya Bandari leta majibu.
 
hao ni makafiri og maana hata waarabu wanawashangaa imekuaje wamepikea kwa kasi kiasi hiko wakati wenzak walikuja kwa biashara
 
Mbu mbu mbu sana wewe!
 
We ni kenge, kama wengine, hakuna jipya analofanya, ni mwizi kama wezi wengine
 
Chawa
 
Kabla ya kukujibu hayo nataka kuuliza swali,
Huyo unayemsema unafahamu mpaka sasa yupo katika kipindi cha hayati Magufuli?
Unataka kusema hiyo mipango alitakiwa atekeleze kipindi hiki alichokufa?
Au haujui alikuwa na muda?
Huo muda mnaosema samia, samia ndio muda wa matekelezo ya Magufuli.
 
Mkuu kanyaga shingo bado anapumua umbwa hii
 
Kuwa kipindi Cha hayati Magufuli ndio unapata pesa?

Pili hii ni awamu ya 6 sio ya 5.

Amekaa miaka 5 plus,Kwa nini hakufanya hayo? Mbona Samia ameweza miaka 3 plus?

Mipango sio matumizi
 
Tabu mnaongelea makaratasi lakini ukija huku mtaani mambo hayako hivyo,mnandanganya Samia kwa takwimu za uongo,nenda kwenye duka lolote la pembejeo uliza bei ya mbolea aina ya Yurea inauzwa sh ngapi?kwanza kukupa hiyo bei wanakutizama usoni kwanza au utumie mtu wanayemfahamu la sivyo unaabiwa mbolea amna,mnadanganywa na Bashe na BBRM kumbe utapeli mtupu, Subiri mwakani uone njaa,Kama uzalishaji umeongezeka mbona bei ya mchele ahishuki?juzi hapa mmetoka kupokea mchele wa msaada kutoka America.Hizo takwimu danganya machawa wenziwe.
 
Nchii ina watu wapumbavu sana
 
Kugawa aridhi ya watanganyika kwa Waarabu ndio mambo makubwa?Masai wako wanateseka huko kisa Waarabu, Mpaka bandari ambapo Serikali ya awamu ya 5 ,ilikopa mabillrion kwa ajili ya uboreshaji nayo kagawa kwa Mwarabu kwa kisingizio cha uwekezaji,uku kwa miaka 3 tu ameongeza deni mala dufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…