Rais Samia anayo kiu ya kuipeleka mbele Tanzania kimaendeleo, tumpe muda tutafurahi na kushangilia

Rais Samia anayo kiu ya kuipeleka mbele Tanzania kimaendeleo, tumpe muda tutafurahi na kushangilia

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu ukimsikiliza mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza, ukimuangalia namna anavyotenda utagundua kuwa amedhamiria na anayo kiu ya kuipekeka mbele nchi hii kimaendeleo.

Mh. Rais anayo kiu ya kuona kuwa, hakuna mama mjamzito anasafiri umbali mrefu kufuata kituo cha afya au zahanati. Anatamani na ana kiu ya kuona kuwa, mgonjwa akienda hospitali anapokelewa vizuri, anapata huduma nzuri na anapata dawa bila kuagizwa kwenda kutafuta maduka ya mitaani.

Mh. Rais anayo kiu ya kuona, hakuna mwanafunzi aliyemaliza darasa la Saba anakosa au kushindwa kwenda shule kwa wakati kwa kuwa madarasa hayatoshi. Anataka mwanafunzi aliyefaulu aendelee na masomo bila kikwazo chochote, anataka kuona hakuna mwanafunzi anayekaa chini kwa kukosa dawati, anataka kuona hakuna kijana anashindwa kupata elimu ya juu kwa kukosa mkopo.

Anataka na anayo kiu ya kuona watanzania wanapata maji safi na salama, anataka kuona huduma za umeme zinafika hadi vijijini ili kufungua fursa za ajira, anataka kuona ajira nyingi zinatengenezwa kwetu vijana na mikopo inatolewa kwa vijana.

Ndugu zangu ili hayo yote tuyafikie, ni lazima tupitie njia waliyopitia wenzetu. Njia hiyo siyo nyepesi, siyo tambalale, siyo fupi na wala siyo mteremko. Ni njia tutakayo pata maumivu kiasi, ni njia inayotutaka kuchangishana kutoka katika vipato vyetu, ili kuifikia Tanzania hiyo iliyo bora na yenye kutiririsha fursa mbalimbali.

Lazima tuvuje jasho, lazima tujitwishe mzigo wetu, lazima tuutimize wajibu wetu hata kama atajitokeza wakutusaidia basi atukute tupo njiani kuelekea kanani. Hivyo, tuendelee kumuunga mkono Mh. Rais katika juhudi za kuijenga nchi yetu.

Hakuna mbadala wa njia hii, tusipo pita njia hii tukubali kubaki hapa tulipo daima, tukubali kubaki tumekwama hapa, tukubali kuendelea na matatizo yetu na kulia lia kila siku. Kiongozi mwenye maono hawezi kukubali hilo, hivyo, lazima awajibike kuongoza njia. Mh Rais ameongoza njia ya kutupeleka waliko wenzetu, na hii ndio njia waliyo pitia nasi lazima tupitie, huwezi ukaacha kumpa dawa mtoto eti kwa kuwa ni chungu na analia wakati unajua ndio dawa ya ugonjwa wake. Hii ndio dawa ya kupata na kuyafikia maendeleo waliyopiga wenzetu, ni chungu lakini inaponya.
 
Hawata kuelewa maana wanaona maendeleo kwao ni wengine walipe kodi wao wasilipe
 
Basi sawa!Tukishaamia Burundi tutayaona hayo maendeleo ya huko Tz kwa Luninga.Sijui iko nielewe veve.
 
Nyie chawa Watanzania sio wajinga huwezi kuwa kiongozi wa taifa ambaye hata ukimuuliza falsafa gani ya Uchumi anayo tumia hajui kitu hata nyie chawa hamjui lolote na bado mna ndoto za maendeleo ya kutoka wapi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
F4388A73-49EA-43C5-8C18-9DFB3CA325CF.jpeg
 
Ndugu zangu ukimsikiliza mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza, ukimuangalia namna anavyotenda utagundua kuwa Amedhamiria na Anayo kiu ya kuipekeka mbele nchi hii kimaendeleo,

Mh Rais Anayo kiu ya kuona kuwa Hakuna mama mjamzito anasafiri umbali mrefu kufuata kituo Cha Afya au zahanati, anatamani na ana kiu ya kuona kuwa mgonjwa akienda hospitali anapokelewa vizuri, anapata huduma nzuri na anapata dawa bila kuagizwa kwenda kutafuta maduka ya mitaani

Mh Rais Anayo kiu ya kuona hakuna mwanafunzi aliyemaliza darasa la Saba anakosa au kushindwa kwenda shule kwa wakati kwa kuwa madarasa hayatoshi, anataka mwanafunzi aliyefauli aendelee na masomo bila kikwazo chochote, anataka kuona hakuna mwanafunzi anayekaa chini kwa kukosa dawati, anataka kuona Hakuna kijana anashindwa kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo

Anataka na Anayo kiu ya kuona watanzania wanapata maji Safi na salama, anataka kuona huduma za umeme zinafika Hadi vijijini ili kufungua fursa za ajira, anataka kuona, ajira nyingi zinatengenezwa kwetu vijana na mikopo inatolewa kwa vijana

Ndugu zangu ili hayo yote tuyafikie Ni lazima tupitie njia waliyopitia wenzetu, Njia hiyo siyo nyepesi, siyo Tambalale, siyo fupi na Wala siyo mteremko, Ni njia tutakayo pata maumivu kiasi, Ni njia inayotutaka kuchangishana kutoka katika vipato vyetu ili kuifikia Tanzania hiyo iliyo Bora na yenye kutiririsha fursa mbalimbali

Lazima tuvuje jasho, lazima tujitwishe mzigo wetu, lazima tuutimize wajibu wetu hata Kama atajitokeza wakutusaidia Basi atukutage tupo njiani kuelekea kanani, hivyo Tuendelee kumuunga mkono mh Rais katika juhudi za kuijenga nchi yetu

Hakuna mbadala wa njia hii, tusipo pita njia hii tukubali kubaki hapa tulipo daima, tukubali kubaki tumetwama hapa, tukubali Kuendelea na matatizo yetu na kulia Lia kila siku, kiongozi mwenye maono hawezi kukubali Hilo , hivyo lazima awajibike kuongoza njia, Mh Rais ameongoza njia ya kutupeleka waliko wenzetu na hii ndio njia waliyo pitia nasi lazima tupitie, huwezi ukaacha kumpa dawa mtoto eti kwa kuwa ni chungu na analia wakati unajuwa ndio dawa ya ugonjwa wake, Hii ndio dawa ya kupata na kuyafikia maendeleo waliyopiga wenzetu, Ni chungu lakini inaponya
Ngombe
 
Maendeleo mdio kipaumbele cha Rais Samia Suluhu Hassan ndio maana anafanya mambo mengi ili tanzania iendelee
 
Ndugu zangu ukimsikiliza mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza, ukimuangalia namna anavyotenda utagundua kuwa Amedhamiria na Anayo kiu ya kuipekeka mbele nchi hii kimaendeleo,

Mh Rais Anayo kiu ya kuona kuwa Hakuna mama mjamzito anasafiri umbali mrefu kufuata kituo Cha Afya au zahanati, anatamani na ana kiu ya kuona kuwa mgonjwa akienda hospitali anapokelewa vizuri, anapata huduma nzuri na anapata dawa bila kuagizwa kwenda kutafuta maduka ya mitaani

Mh Rais Anayo kiu ya kuona hakuna mwanafunzi aliyemaliza darasa la Saba anakosa au kushindwa kwenda shule kwa wakati kwa kuwa madarasa hayatoshi, anataka mwanafunzi aliyefauli aendelee na masomo bila kikwazo chochote, anataka kuona hakuna mwanafunzi anayekaa chini kwa kukosa dawati, anataka kuona Hakuna kijana anashindwa kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo

Anataka na Anayo kiu ya kuona watanzania wanapata maji Safi na salama, anataka kuona huduma za umeme zinafika Hadi vijijini ili kufungua fursa za ajira, anataka kuona, ajira nyingi zinatengenezwa kwetu vijana na mikopo inatolewa kwa vijana

Ndugu zangu ili hayo yote tuyafikie Ni lazima tupitie njia waliyopitia wenzetu, Njia hiyo siyo nyepesi, siyo Tambalale, siyo fupi na Wala siyo mteremko, Ni njia tutakayo pata maumivu kiasi, Ni njia inayotutaka kuchangishana kutoka katika vipato vyetu ili kuifikia Tanzania hiyo iliyo Bora na yenye kutiririsha fursa mbalimbali

Lazima tuvuje jasho, lazima tujitwishe mzigo wetu, lazima tuutimize wajibu wetu hata Kama atajitokeza wakutusaidia Basi atukutage tupo njiani kuelekea kanani, hivyo Tuendelee kumuunga mkono mh Rais katika juhudi za kuijenga nchi yetu

Hakuna mbadala wa njia hii, tusipo pita njia hii tukubali kubaki hapa tulipo daima, tukubali kubaki tumetwama hapa, tukubali Kuendelea na matatizo yetu na kulia Lia kila siku, kiongozi mwenye maono hawezi kukubali Hilo , hivyo lazima awajibike kuongoza njia, Mh Rais ameongoza njia ya kutupeleka waliko wenzetu na hii ndio njia waliyo pitia nasi lazima tupitie, huwezi ukaacha kumpa dawa mtoto eti kwa kuwa ni chungu na analia wakati unajuwa ndio dawa ya ugonjwa wake, Hii ndio dawa ya kupata na kuyafikia maendeleo waliyopiga wenzetu, Ni chungu lakini inaponya
Kila mtu ana ndoto ya kuwa tajiri lakini sasa kufikia huo utajiri unafikaje ndio shida.
Kuwa na ndoto si kufika
 
Ndugu zangu ukimsikiliza mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza, ukimuangalia namna anavyotenda utagundua kuwa Amedhamiria na Anayo kiu ya kuipekeka mbele nchi hii kimaendeleo,

Mh Rais Anayo kiu ya kuona kuwa Hakuna mama mjamzito anasafiri umbali mrefu kufuata kituo Cha Afya au zahanati, anatamani na ana kiu ya kuona kuwa mgonjwa akienda hospitali anapokelewa vizuri, anapata huduma nzuri na anapata dawa bila kuagizwa kwenda kutafuta maduka ya mitaani

Mh Rais Anayo kiu ya kuona hakuna mwanafunzi aliyemaliza darasa la Saba anakosa au kushindwa kwenda shule kwa wakati kwa kuwa madarasa hayatoshi, anataka mwanafunzi aliyefauli aendelee na masomo bila kikwazo chochote, anataka kuona hakuna mwanafunzi anayekaa chini kwa kukosa dawati, anataka kuona Hakuna kijana anashindwa kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo

Anataka na Anayo kiu ya kuona watanzania wanapata maji Safi na salama, anataka kuona huduma za umeme zinafika Hadi vijijini ili kufungua fursa za ajira, anataka kuona, ajira nyingi zinatengenezwa kwetu vijana na mikopo inatolewa kwa vijana

Ndugu zangu ili hayo yote tuyafikie Ni lazima tupitie njia waliyopitia wenzetu, Njia hiyo siyo nyepesi, siyo Tambalale, siyo fupi na Wala siyo mteremko, Ni njia tutakayo pata maumivu kiasi, Ni njia inayotutaka kuchangishana kutoka katika vipato vyetu ili kuifikia Tanzania hiyo iliyo Bora na yenye kutiririsha fursa mbalimbali

Lazima tuvuje jasho, lazima tujitwishe mzigo wetu, lazima tuutimize wajibu wetu hata Kama atajitokeza wakutusaidia Basi atukutage tupo njiani kuelekea kanani, hivyo Tuendelee kumuunga mkono mh Rais katika juhudi za kuijenga nchi yetu

Hakuna mbadala wa njia hii, tusipo pita njia hii tukubali kubaki hapa tulipo daima, tukubali kubaki tumetwama hapa, tukubali Kuendelea na matatizo yetu na kulia Lia kila siku, kiongozi mwenye maono hawezi kukubali Hilo , hivyo lazima awajibike kuongoza njia, Mh Rais ameongoza njia ya kutupeleka waliko wenzetu na hii ndio njia waliyo pitia nasi lazima tupitie, huwezi ukaacha kumpa dawa mtoto eti kwa kuwa ni chungu na analia wakati unajuwa ndio dawa ya ugonjwa wake, Hii ndio dawa ya kupata na kuyafikia maendeleo waliyopiga wenzetu, Ni chungu lakini inaponya
naunga mkono hoja
P
 
Ndugu zangu ukimsikiliza mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza, ukimuangalia namna anavyotenda utagundua kuwa Amedhamiria na Anayo kiu ya kuipekeka mbele nchi hii kimaendeleo,

Mh Rais Anayo kiu ya kuona kuwa Hakuna mama mjamzito anasafiri umbali mrefu kufuata kituo Cha Afya au zahanati, anatamani na ana kiu ya kuona kuwa mgonjwa akienda hospitali anapokelewa vizuri, anapata huduma nzuri na anapata dawa bila kuagizwa kwenda kutafuta maduka ya mitaani

Mh Rais Anayo kiu ya kuona hakuna mwanafunzi aliyemaliza darasa la Saba anakosa au kushindwa kwenda shule kwa wakati kwa kuwa madarasa hayatoshi, anataka mwanafunzi aliyefauli aendelee na masomo bila kikwazo chochote, anataka kuona hakuna mwanafunzi anayekaa chini kwa kukosa dawati, anataka kuona Hakuna kijana anashindwa kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo

Anataka na Anayo kiu ya kuona watanzania wanapata maji Safi na salama, anataka kuona huduma za umeme zinafika Hadi vijijini ili kufungua fursa za ajira, anataka kuona, ajira nyingi zinatengenezwa kwetu vijana na mikopo inatolewa kwa vijana

Ndugu zangu ili hayo yote tuyafikie Ni lazima tupitie njia waliyopitia wenzetu, Njia hiyo siyo nyepesi, siyo Tambalale, siyo fupi na Wala siyo mteremko, Ni njia tutakayo pata maumivu kiasi, Ni njia inayotutaka kuchangishana kutoka katika vipato vyetu ili kuifikia Tanzania hiyo iliyo Bora na yenye kutiririsha fursa mbalimbali

Lazima tuvuje jasho, lazima tujitwishe mzigo wetu, lazima tuutimize wajibu wetu hata Kama atajitokeza wakutusaidia Basi atukutage tupo njiani kuelekea kanani, hivyo Tuendelee kumuunga mkono mh Rais katika juhudi za kuijenga nchi yetu

Hakuna mbadala wa njia hii, tusipo pita njia hii tukubali kubaki hapa tulipo daima, tukubali kubaki tumetwama hapa, tukubali Kuendelea na matatizo yetu na kulia Lia kila siku, kiongozi mwenye maono hawezi kukubali Hilo , hivyo lazima awajibike kuongoza njia, Mh Rais ameongoza njia ya kutupeleka waliko wenzetu na hii ndio njia waliyo pitia nasi lazima tupitie, huwezi ukaacha kumpa dawa mtoto eti kwa kuwa ni chungu na analia wakati unajuwa ndio dawa ya ugonjwa wake, Hii ndio dawa ya kupata na kuyafikia maendeleo waliyopiga wenzetu, Ni chungu lakini inaponya
Nasisitiza iwe kwa tozo au kwa njia nyingine vitakapoonekana mtasahau mambo ya tozo na kusema Hakika huyu aliona Mbali..

Mda utasema.
 
Ndugu zangu ukimsikiliza mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza, ukimuangalia namna anavyotenda utagundua kuwa Amedhamiria na Anayo kiu ya kuipekeka mbele nchi hii kimaendeleo,

Mh Rais Anayo kiu ya kuona kuwa Hakuna mama mjamzito anasafiri umbali mrefu kufuata kituo Cha Afya au zahanati, anatamani na ana kiu ya kuona kuwa mgonjwa akienda hospitali anapokelewa vizuri, anapata huduma nzuri na anapata dawa bila kuagizwa kwenda kutafuta maduka ya mitaani

Mh Rais Anayo kiu ya kuona hakuna mwanafunzi aliyemaliza darasa la Saba anakosa au kushindwa kwenda shule kwa wakati kwa kuwa madarasa hayatoshi, anataka mwanafunzi aliyefauli aendelee na masomo bila kikwazo chochote, anataka kuona hakuna mwanafunzi anayekaa chini kwa kukosa dawati, anataka kuona Hakuna kijana anashindwa kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo

Anataka na Anayo kiu ya kuona watanzania wanapata maji Safi na salama, anataka kuona huduma za umeme zinafika Hadi vijijini ili kufungua fursa za ajira, anataka kuona, ajira nyingi zinatengenezwa kwetu vijana na mikopo inatolewa kwa vijana

Ndugu zangu ili hayo yote tuyafikie Ni lazima tupitie njia waliyopitia wenzetu, Njia hiyo siyo nyepesi, siyo Tambalale, siyo fupi na Wala siyo mteremko, Ni njia tutakayo pata maumivu kiasi, Ni njia inayotutaka kuchangishana kutoka katika vipato vyetu ili kuifikia Tanzania hiyo iliyo Bora na yenye kutiririsha fursa mbalimbali

Lazima tuvuje jasho, lazima tujitwishe mzigo wetu, lazima tuutimize wajibu wetu hata Kama atajitokeza wakutusaidia Basi atukutage tupo njiani kuelekea kanani, hivyo Tuendelee kumuunga mkono mh Rais katika juhudi za kuijenga nchi yetu

Hakuna mbadala wa njia hii, tusipo pita njia hii tukubali kubaki hapa tulipo daima, tukubali kubaki tumetwama hapa, tukubali Kuendelea na matatizo yetu na kulia Lia kila siku, kiongozi mwenye maono hawezi kukubali Hilo , hivyo lazima awajibike kuongoza njia, Mh Rais ameongoza njia ya kutupeleka waliko wenzetu na hii ndio njia waliyo pitia nasi lazima tupitie, huwezi ukaacha kumpa dawa mtoto eti kwa kuwa ni chungu na analia wakati unajuwa ndio dawa ya ugonjwa wake, Hii ndio dawa ya kupata na kuyafikia maendeleo waliyopiga wenzetu, Ni chungu lakini inaponya
Yaani wewe mwigulu kweli umeamua kubadili ID ili uje kutuambia huu ujinga? Kwani marais waliotangulia wao walikuwa wanaendeshaje nchi bila kuwaibia wananchi? A big shame on you, bastarf fool!
 
Yaani huna tofauti na Dereva wa Basi anayewaaminisha abiria kuwa watasafiri raha mstarehe na kufika safari yao ya mbali kwa matumaini wakati anajua tairi za gari zimechoka na mafuta hayatoshi.
 
Yaani wewe mwigulu kweli umeamua kubadili ID ili uje kutuambia huu ujinga? Kwani marais waliotangulia wao walikuwa wanaendeshaje nchi bila kuwaibia wananchi? A big shame on you, bastarf fool!
Unataka Tuendelee kukopa kila kukicha hata kwa Mambo tunayoweza tukayafanya wenyewe, Nani atalipa madeni hayo, huo mzigo wa madeni unataka ajitwishe Nani kwa niaba yetu, halafu Nani kakwambia kuwa Mimi ni Mh mwigulu, Mimi ni kijana wa kitanzania niliyeridhishwa na utendaji kazi na maono ya mh Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan katika kuijenga nchi yetu
 
Yaani huna tofauti na Dereva wa Basi anayewaaminisha abiria kuwa watasafiri raha mstarehe na kufika safari yao ya mbali kwa matumaini wakati anajua tairi za gari zimechoka na mafuta hayatoshi.
Ndio maana mh Rais anatambua ya kuwa hatuwezi Kuendelea kwa kuitegemea mamikopo kwa kila kitu, tukope panapohitajika katika juhudi tulizozianza na Tuwe na Nidhamu na Fedha zetu kwa kila sent ipatikanayo itumike vizuri bila kuguswa na mchwa wenye tamaa
 
Umenunuliwa kwa kiasi gani cha pesa ili uje udanganye watu huku?
 
Unataka Tuendelee kukopa kila kukicha hata kwa Mambo tunayoweza tukayafanya wenyewe, Nani atalipa madeni hayo, huo mzigo wa madeni unataka ajitwishe Nani kwa niaba yetu, halafu Nani kakwambia kuwa Mimi ni Mh mwigulu, Mimi ni kijana wa kitanzania niliyeridhishwa na utendaji kazi na maono ya mh Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan katika kuijenga nchi yetu

Kwanini msitumie zile raslimali za taifa mnazosema tunazo hadi wazungu wanatuonea wivu?
 
Kwanini msitumie zile raslimali za taifa mnazosema tunazo hadi wazungu wanatuonea wivu?
Nazo zitatumika kwa mipango na mikakati mizuri, hatupaswi kuwa na chanzo kimoja pekee Cha mapato, Rasilimali zetu zipo zinaendelea kutumika kwa utaratibu maalumu na zinamchango mkubwa tu mpaka tulipo fika hapa Kama Taifa,

Nasi pia tunapaswa kuchangia kiasi toka katika vipato vyetu kuijenga nchi yetu

Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan katika juhudi za kuijenga nchi yetu
 
Back
Top Bottom