Rais Samia anayo kiu ya kuipeleka mbele Tanzania kimaendeleo, tumpe muda tutafurahi na kushangilia

Rais Samia anayo kiu ya kuipeleka mbele Tanzania kimaendeleo, tumpe muda tutafurahi na kushangilia

Nazo zitatumika kwa mipango na mikakati mizuri, hatupaswi kuwa na chanzo kimoja pekee Cha mapato, Rasilimali zetu zipo zinaendelea kutumika kwa utaratibu maalumu na zinamchango mkubwa tu mpaka tulipo fika hapa Kama Taifa,

Nasi pia tunapaswa kuchangia kiasi toka katika vipato vyetu kuijenga nchi yetu

Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan katika juhudi za kuijenga nchi yetu

Una raslimali unakimbizana na tozo ya pesa za walalahoi! Majizi ya kura mnakwama wapi?
 
Una raslimali unakimbizana na tozo ya pesa za walalahoi! Majizi ya kura mnakwama wapi?
Kwani unafikiri uingereza waliokuwa wanatozana Kodi hawakuwa na Rasilimali Kama sisi, Hata hizo Rasilimali zinahitaji mtaji ,teknolojia na Rasilimali watu iliyo Bora, kuweza kuzivuna,
 
Kwani unafikiri uingereza waliokuwa wanatozana Kodi hawakuwa na Rasilimali Kama sisi, Hata hizo Rasilimali zinahitaji mtaji ,teknolojia na Rasilimali watu iliyo Bora, kuweza kuzivuna,

Ni hivi, chama cha wazee mmefikia mwisho wa kufikiri, ndio maana mnaongoza nchi kwa mabavu na sio kwa maarifa. Ni vyema muache kuendelea kushurutisha kukaa madarakani, vinginevyo machafuko yawatoe.
 
Ni hivi, chama cha wazee mmefikia mwisho wa kufikiri, ndio maana mnaongoza nchi kwa mabavu na sio kwa maarifa. Ni vyema muache kuendelea kushurutisha kukaa madarakani, vinginevyo machafuko yawatoe.
Nani alete machafuko wakati wananchi wengi wapo na mh Rais wetu mpendwa, yaani wananchi walete machafuko wakati wanaona hela inayopatikana inajenga na kuboresha huduma za kijamii, Kama Ni shule, zahanati na vituo vya Afya wanaviona na wanafurahi kuona kuwa tozo zao zimefanikisha hayo na wanajivunia kuona jasho lao limetumika vyema

Sasa wataanzaje kuleta machafuko badala ya kuilinda miradi yao iliyo katika maeneo yao na iliyowapunguzia kero, watanzania tupo na mama yetu na tunamuunga mkono mh Rais wetu
 
Nani alete machafuko wakati wananchi wengi wapo na mh Rais wetu mpendwa, yaani wananchi walete machafuko wakati wanaona hela inayopatikana inajenga na kuboresha huduma za kijamii, Kama Ni shule, zahanati na vituo vya Afya wanaviona na wanafurahi kuona kuwa tozo zao zimefanikisha hayo na wanajivunia kuona jasho lao limetumika vyema

Sasa wataanzaje kuleta machafuko badala ya kuilinda miradi yao iliyo katika maeneo yao na iliyowapunguzia kero, watanzania tupo na mama yetu na tunamuunga mkono mh Rais wetu

Nasema hivi, chama cha wazee mmefikia mwisho wa kufikiri, mmebaki kutumia nguvu kuliko maarifa, ni bora mkae pembeni kwa amani ili wenye akili tofauti wasogeze taifa mbele.
 
Nasema hivi, chama cha wazee mmefikia mwisho wa kufikiri, mmebaki kutumia nguvu kuliko maarifa, ni bora mkae pembeni kwa amani ili wenye akili tofauti wasogeze taifa mbele.
CCM ndio chama Bora kimfumo na kimuundo katika ukanda huu wa Afrika mashariki na Kati, kusini mwa jangwa la Sahara na Afrika yote kwa ujumla wake, Ni chama kinachokwenda na wakati, Ni chama kinachobadilika kulingana na Nahitaji ya wakati, nichama kinachogusa maisha ya wanyonge, Ni chama kinachotegemewa na watu wengi na kilichobeba matumaini ya makundi karibu yote,
 
Sijanunuliwa Bali huo ndio ukweli wenyewe kuwa Hakuna njia mteremko katika kuyapata maendeleo Kama Taifa, lazima tujifunge mikanda
Nani amesema mafanikio huja kwa mteremko?

Huoni bandiko lako limejaa ushabiki mtupu?
 
Ndugu zangu ukimsikiliza mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza, ukimuangalia namna anavyotenda utagundua kuwa amedhamiria na anayo kiu ya kuipekeka mbele nchi hii kimaendeleo.

Mh. Rais anayo kiu ya kuona kuwa, hakuna mama mjamzito anasafiri umbali mrefu kufuata kituo cha afya au zahanati. Anatamani na ana kiu ya kuona kuwa, mgonjwa akienda hospitali anapokelewa vizuri, anapata huduma nzuri na anapata dawa bila kuagizwa kwenda kutafuta maduka ya mitaani.

Mh. Rais anayo kiu ya kuona, hakuna mwanafunzi aliyemaliza darasa la Saba anakosa au kushindwa kwenda shule kwa wakati kwa kuwa madarasa hayatoshi. Anataka mwanafunzi aliyefaulu aendelee na masomo bila kikwazo chochote, anataka kuona hakuna mwanafunzi anayekaa chini kwa kukosa dawati, anataka kuona hakuna kijana anashindwa kupata elimu ya juu kwa kukosa mkopo.

Anataka na anayo kiu ya kuona watanzania wanapata maji safi na salama, anataka kuona huduma za umeme zinafika hadi vijijini ili kufungua fursa za ajira, anataka kuona ajira nyingi zinatengenezwa kwetu vijana na mikopo inatolewa kwa vijana.

Ndugu zangu ili hayo yote tuyafikie, ni lazima tupitie njia waliyopitia wenzetu. Njia hiyo siyo nyepesi, siyo tambalale, siyo fupi na wala siyo mteremko. Ni njia tutakayo pata maumivu kiasi, ni njia inayotutaka kuchangishana kutoka katika vipato vyetu, ili kuifikia Tanzania hiyo iliyo bora na yenye kutiririsha fursa mbalimbali.

Lazima tuvuje jasho, lazima tujitwishe mzigo wetu, lazima tuutimize wajibu wetu hata kama atajitokeza wakutusaidia basi atukute tupo njiani kuelekea kanani. Hivyo, tuendelee kumuunga mkono Mh. Rais katika juhudi za kuijenga nchi yetu.

Hakuna mbadala wa njia hii, tusipo pita njia hii tukubali kubaki hapa tulipo daima, tukubali kubaki tumekwama hapa, tukubali kuendelea na matatizo yetu na kulia lia kila siku. Kiongozi mwenye maono hawezi kukubali hilo, hivyo, lazima awajibike kuongoza njia. Mh Rais ameongoza njia ya kutupeleka waliko wenzetu, na hii ndio njia waliyo pitia nasi lazima tupitie, huwezi ukaacha kumpa dawa mtoto eti kwa kuwa ni chungu na analia wakati unajua ndio dawa ya ugonjwa wake. Hii ndio dawa ya kupata na kuyafikia maendeleo waliyopiga wenzetu, ni chungu lakini inaponya.
Hana uwezo huo ,why mnapenda mdanganya, mwambieni ukweli,
 
CCM ndio chama Bora kimfumo na kimuundo katika ukanda huu wa Afrika mashariki na Kati, kusini mwa jangwa la Sahara na Afrika yote kwa ujumla wake, Ni chama kinachokwenda na wakati, Ni chama kinachobadilika kulingana na Nahitaji ya wakati, nichama kinachogusa maisha ya wanyonge, Ni chama kinachotegemewa na watu wengi na kilichobeba matumaini ya makundi karibu yote,

Huo ujinga wa kutawaliwa na CCM kwa mabavu ndio unazidi kuifanya Kenya iwe juu yetu kiuchumi. Kenya hapo wanabadili vyama kila mara na wako juu. Hakuna huu ujinga mnaolazimisha sijui wa kimuundo na kimfumo, huku mkitegemea vyombo vya dola na tume ya uchaguzi kubaki madarakani.
 
Kusema mambo makubwa una maana gani?
Miradi ya maendeleo kila Kona, uwekezaji unaongezeka hivyo kusaidiaa katika utoaji wa ajira kwa vijana hapa nchini na hii imechagizwa diplomasia yetu kwa Sasa kuwa imara kutokanaa na juhudi za mh Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan, biashara kwa Sasa zinaenda vizuri na wafanyabiashara wanafanya kwa Uhuru na amani huku wakilipa mapato vizuri serikalini

Demokrasia kwa Sasa imeendelea kunawili kutokanaa na mh Rais wetu kufanya mazungumzo ya Mara kwa Mara na wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa, matunda take ndio hayo unayaona kwa Sasa kila mtu akihubiri habari za Aman mshikamano upendo na umoja
 
Miradi ya maendeleo kila Kona, uwekezaji unaongezeka hivyo kusaidiaa katika utoaji wa ajira kwa vijana hapa nchini na hii imechagizwa diplomasia yetu kwa Sasa kuwa imara kutokanaa na juhudi za mh Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan, biashara kwa Sasa zinaenda vizuri na wafanyabiashara wanafanya kwa Uhuru na amani huku wakilipa mapato vizuri serikalini

Demokrasia kwa Sasa imeendelea kunawili kutokanaa na mh Rais wetu kufanya mazungumzo ya Mara kwa Mara na wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa, matunda take ndio hayo unayaona kwa Sasa kila mtu akihubiri habari za Aman mshikamano upendo na umoja
Sasa mkuu kama hali ipo hivyo kama unavyoeleza inakuaje kunakuwa na kauli kutoka kwa viongozi kuwaambia wananchi kuhamia burundi?
 
Yaani wewe mwigulu kweli umeamua kubadili ID ili uje kutuambia huu ujinga? Kwani marais waliotangulia wao walikuwa wanaendeshaje nchi bila kuwaibia wananchi? A big shame on you, bastarf fool!
Mtalia Lia wewe ila Come 2025 mtakapokuta kila Kijiji na kitongoji kina umeme,kila kijiji kina maji,Kila kijiji kina Zahanati,Kila kata ina kituo Cha Afya,Kila kijiji kinapitika Kwa barabara,Kila kijiji kina shule nzuri na nyumba za watumishi ndipo mtakuja kujiona Kwamba mlikuwa wajinga tuu.
 
Ndugu zangu ukimsikiliza mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza, ukimuangalia namna anavyotenda utagundua kuwa amedhamiria na anayo kiu ya kuipekeka mbele nchi hii kimaendeleo.

Mh. Rais anayo kiu ya kuona kuwa, hakuna mama mjamzito anasafiri umbali mrefu kufuata kituo cha afya au zahanati. Anatamani na ana kiu ya kuona kuwa, mgonjwa akienda hospitali anapokelewa vizuri, anapata huduma nzuri na anapata dawa bila kuagizwa kwenda kutafuta maduka ya mitaani.

Mh. Rais anayo kiu ya kuona, hakuna mwanafunzi aliyemaliza darasa la Saba anakosa au kushindwa kwenda shule kwa wakati kwa kuwa madarasa hayatoshi. Anataka mwanafunzi aliyefaulu aendelee na masomo bila kikwazo chochote, anataka kuona hakuna mwanafunzi anayekaa chini kwa kukosa dawati, anataka kuona hakuna kijana anashindwa kupata elimu ya juu kwa kukosa mkopo.

Anataka na anayo kiu ya kuona watanzania wanapata maji safi na salama, anataka kuona huduma za umeme zinafika hadi vijijini ili kufungua fursa za ajira, anataka kuona ajira nyingi zinatengenezwa kwetu vijana na mikopo inatolewa kwa vijana.

Ndugu zangu ili hayo yote tuyafikie, ni lazima tupitie njia waliyopitia wenzetu. Njia hiyo siyo nyepesi, siyo tambalale, siyo fupi na wala siyo mteremko. Ni njia tutakayo pata maumivu kiasi, ni njia inayotutaka kuchangishana kutoka katika vipato vyetu, ili kuifikia Tanzania hiyo iliyo bora na yenye kutiririsha fursa mbalimbali.

Lazima tuvuje jasho, lazima tujitwishe mzigo wetu, lazima tuutimize wajibu wetu hata kama atajitokeza wakutusaidia basi atukute tupo njiani kuelekea kanani. Hivyo, tuendelee kumuunga mkono Mh. Rais katika juhudi za kuijenga nchi yetu.

Hakuna mbadala wa njia hii, tusipo pita njia hii tukubali kubaki hapa tulipo daima, tukubali kubaki tumekwama hapa, tukubali kuendelea na matatizo yetu na kulia lia kila siku. Kiongozi mwenye maono hawezi kukubali hilo, hivyo, lazima awajibike kuongoza njia. Mh Rais ameongoza njia ya kutupeleka waliko wenzetu, na hii ndio njia waliyo pitia nasi lazima tupitie, huwezi ukaacha kumpa dawa mtoto eti kwa kuwa ni chungu na analia wakati unajua ndio dawa ya ugonjwa wake. Hii ndio dawa ya kupata na kuyafikia maendeleo waliyopiga wenzetu, ni chungu lakini inapony
Asalii,asalii,asali,

Eteeee

Jana mtoto wa mmoja ya salama asali
Amelitukana jeshi la polisi


Asali imelambwa Hadi imemwagikaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂🦞🦞🦞🦞🦀🦀🦀🦀💱💱💱💱
 
Sasa mkuu kama hali ipo hivyo kama unavyoeleza inakuaje kunakuwa na kauli kutoka kwa viongozi kuwaambia wananchi kuhamia burundi?
Hizo Ni kauli kuonyesha kuwa sisi watanzania tunapaswa kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe na kwamba hatuna wakuja kutujengea nchi yetu, nakama Kuna anayezani Kuna nchi ambayo ipo kwa ajili ya kukaa tu Raha mstarehe huku wengine wakihenyeka Basi aende hata Burundi, lakini hata huko Burundi ukienda utakuta nao wanajenga nchi yao kwa Kodi zao

Hivyo suluhisho ni kuwa wazalendo na kuipenda nchi yetu na kujivunia, hakuna Raha katik maisha unapokuwa unamiliki kitu huku ukijuwa kimetokana na juhudi zako, kwanza kinakupa hata hamasa ya Kuendelea kupambana ili upate Zaid na zaidi

Tuendelee kuamini kuwa nchi hii kupitia mikono yetu ndioo itaendeleaa na kupiga hatua za kimaendeleo na siyo mikopo au misaada yenye kila aina ya mashariti, au umesahau kuwa tumewahi kunyimwa mkopo kisa Sera yetu ambayo ilisema mtoto wa kike akipata ujauzito hataweza kurudi tena katika shule ya serikali?
 
Ndugu zangu ukimsikiliza mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza, ukimuangalia namna anavyotenda utagundua kuwa amedhamiria na anayo kiu ya kuipekeka mbele nchi hii kimaendeleo.

Mh. Rais anayo kiu ya kuona kuwa, hakuna mama mjamzito anasafiri umbali mrefu kufuata kituo cha afya au zahanati. Anatamani na ana kiu ya kuona kuwa, mgonjwa akienda hospitali anapokelewa vizuri, anapata huduma nzuri na anapata dawa bila kuagizwa kwenda kutafuta maduka ya mitaani.

Mh. Rais anayo kiu ya kuona, hakuna mwanafunzi aliyemaliza darasa la Saba anakosa au kushindwa kwenda shule kwa wakati kwa kuwa madarasa hayatoshi. Anataka mwanafunzi aliyefaulu aendelee na masomo bila kikwazo chochote, anataka kuona hakuna mwanafunzi anayekaa chini kwa kukosa dawati, anataka kuona hakuna kijana anashindwa kupata elimu ya juu kwa kukosa mkopo.

Anataka na anayo kiu ya kuona watanzania wanapata maji safi na salama, anataka kuona huduma za umeme zinafika hadi vijijini ili kufungua fursa za ajira, anataka kuona ajira nyingi zinatengenezwa kwetu vijana na mikopo inatolewa kwa vijana.

Ndugu zangu ili hayo yote tuyafikie, ni lazima tupitie njia waliyopitia wenzetu. Njia hiyo siyo nyepesi, siyo tambalale, siyo fupi na wala siyo mteremko. Ni njia tutakayo pata maumivu kiasi, ni njia inayotutaka kuchangishana kutoka katika vipato vyetu, ili kuifikia Tanzania hiyo iliyo bora na yenye kutiririsha fursa mbalimbali.

Lazima tuvuje jasho, lazima tujitwishe mzigo wetu, lazima tuutimize wajibu wetu hata kama atajitokeza wakutusaidia basi atukute tupo njiani kuelekea kanani. Hivyo, tuendelee kumuunga mkono Mh. Rais katika juhudi za kuijenga nchi yetu.

Hakuna mbadala wa njia hii, tusipo pita njia hii tukubali kubaki hapa tulipo daima, tukubali kubaki tumekwama hapa, tukubali kuendelea na matatizo yetu na kulia lia kila siku. Kiongozi mwenye maono hawezi kukubali hilo, hivyo, lazima awajibike kuongoza njia. Mh Rais ameongoza njia ya kutupeleka waliko wenzetu, na hii ndio njia waliyo pitia nasi lazima tupitie, huwezi ukaacha kumpa dawa mtoto eti kwa kuwa ni chungu na analia wakati unajua ndio dawa ya ugonjwa wake. Hii ndio dawa ya kupata na kuyafikia maendeleo waliyopiga wenzetu, ni chungu lakini inaponya.
Wote isipokuwa Mwalimu walituahidi hivyo. Matokeo ni hapa tulipo.
 
Wote isipokuwa Mwalimu walituahidi hivyo. Matokeo ni hapa tulipo.
Changamoto zinaongezeka kwa kadiri miaka inavyokwenda maana hata watu nao tunaongezeka siku Hadi siku, ndio maana unaona mh Rais akiijenga nchi hii kwa ajili hata ya wale watakaozaliwa kesho
 
Back
Top Bottom