Rais Samia anayo kiu ya kuipeleka mbele Tanzania kimaendeleo, tumpe muda tutafurahi na kushangilia

Rais Samia anayo kiu ya kuipeleka mbele Tanzania kimaendeleo, tumpe muda tutafurahi na kushangilia

Attachments

  • Screenshot_20220820-205138.png
    Screenshot_20220820-205138.png
    124.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220820-205259.png
    Screenshot_20220820-205259.png
    47.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220820-092945.png
    Screenshot_20220820-092945.png
    110.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220819-171039.png
    Screenshot_20220819-171039.png
    136.3 KB · Views: 4
Hizo Ni kauli kuonyesha kuwa sisi watanzania tunapaswa kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe na kwamba hatuna wakuja kutujengea nchi yetu, nakama Kuna anayezani Kuna nchi ambayo ipo kwa ajili ya kukaa tu Raha mstarehe huku wengine wakihenyeka Basi aende hata Burundi, lakini hata huko Burundi ukienda utakuta nao wanajenga nchi yao kwa Kodi zao

Hivyo suluhisho ni kuwa wazalendo na kuipenda nchi yetu na kujivunia, hakuna Raha katik maisha unapokuwa unamiliki kitu huku ukijuwa kimetokana na juhudi zako, kwanza kinakupa hata hamasa ya Kuendelea kupambana ili upate Zaid na zaidi

Tuendelee kuamini kuwa nchi hii kupitia mikono yetu ndioo itaendeleaa na kupiga hatua za kimaendeleo na siyo mikopo au misaada yenye kila aina ya mashariti, au umesahau kuwa tumewahi kunyimwa mkopo kisa Sera yetu ambayo ilisema mtoto wa kike akipata ujauzito hataweza kurudi tena katika shule ya serikali?
Sasa nani kasema kuwa haya malalamiko ni kwamba watu wanataka kukaa tu? Kama watu wameka tu hizo tozo wangezipata vp? Wao ndio wanalipwa mishara mikubwa na bado wanapata huduma muhimu BUREEE kabisa ila wewe ukihoji tu mfano labda gharama kubwa za matibabu(wao wanatibiwa bure) unaambiwa kama hutaki uende burundi.
 
Sasa nani kasema kuwa haya malalamiko ni kwamba watu wanataka kukaa tu? Kama watu wameka tu hizo tozo wangezipata vp? Wao ndio wanalipwa mishara mikubwa na bado wanapata huduma muhimu BUREEE kabisa ila wewe ukihoji tu mfano labda gharama kubwa za matibabu(wao wanatibiwa bure) unaambiwa kama hutaki uende burundi.
Huduma za Afya zinaendelea kuboreshwa bajeti Hadi bajeti,siku Hadi siku, lakini pia gharama zinaendelea kupunguziwa pale inapoonekana panaatahili kufanywa hivyo, Sera mbalimbali na Sheria zinaendelea kurekebisha ili kuweka mazingira Bora na rafiki ya kila mtanzania kupata huduma na kuhudumiwa hata Kama anatoka familia ya chini, ndio maana unaona kwa Sasa mama mjamzito hatakiwi kutozwa fedha akienda kujifungua

Hii inasaidia wanawake wengi kwenda kujifungulia hospitali na kuepusha vifo vya mama na mtoto Kutokea kuliko Kama mama angejifungulia nyumbani kwake

Lakini pia huduma za kijamii zinazidi kusogezwa karibu zaidi na mwananchi ili kupunguza adha ya kusafiri na kutembea umbali mrefu kufuata huduma ziliko, Hali hii inasaidia hata kuokoa muda na pesa
 
Sasa nani kasema kuwa haya malalamiko ni kwamba watu wanataka kukaa tu? Kama watu wameka tu hizo tozo wangezipata vp? Wao ndio wanalipwa mishara mikubwa na bado wanapata huduma muhimu BUREEE kabisa ila wewe ukihoji tu mfano labda gharama kubwa za matibabu(wao wanatibiwa bure) unaambiwa kama hutaki uende burundi.
Kiongozi lazima awe na previllages
 
Nyie chawa Watanzania sio wajinga huwezi kuwa kiongozi wa taifa ambaye hata ukimuuliza falsafa gani ya Uchumi anayo tumia hajui kitu hata nyie chawa hamjui lolote na bado mna ndoto za maendeleo ya kutoka wapi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo falsafa ndiyo inakusanya Kodi, inajenga mabarabara, inajenga zahanati na inakuza uchumi. Fact kwamba wewe hujui Falsafa ya Samia siyo kwamba hana Falsafa.

Nenda tena ukasome maana ya meno FALSAFA
 
Huduma za Afya zinaendelea kuboreshwa bajeti Hadi bajeti,siku Hadi siku, lakini pia gharama zinaendelea kupunguziwa pale inapoonekana panaatahili kufanywa hivyo, Sera mbalimbali na Sheria zinaendelea kurekebisha ili kuweka mazingira Bora na rafiki ya kila mtanzania kupata huduma na kuhudumiwa hata Kama anatoka familia ya chini, ndio maana unaona kwa Sasa mama mjamzito hatakiwi kutozwa fedha akienda kujifungua

Hii inasaidia wanawake wengi kwenda kujifungulia hospitali na kuepusha vifo vya mama na mtoto Kutokea kuliko Kama mama angejifungulia nyumbani kwake

Lakini pia huduma za kijamii zinazidi kusogezwa karibu zaidi na mwananchi ili kupunguza adha ya kusafiri na kutembea umbali mrefu kufuata huduma ziliko, Hali hii inasaidia hata kuokoa muda na pesa
Mkuu unaongea kama vile shughuli za kimaendeleo zilikuwa zimesimama huko nyuma kwa sababu hakukuwa na huu utiriri wa tozo uliyokuwepo sasa, miaka yote hii ya utawala wa ccm bado tunazungumzia mambo yaleyale tu, hivi hayo uliyoyaeleza unadhani yalishindwa kufanyika awamu zilizopita kwa sababu gani hadi leo hii hizi tozo ndio mtete kuwa zinaenda kufanya hayo mambo?
 
Kiongozi lazima awe na previllages
Basi waache kauli za dharau kwamba kama hatutaki hizo tozo(zenye kulipia gharama za maisha yao ya kifahari) tuhamie burundi, na pia wakumbuke kuwa si kwamba ni spesho bali hatuwezi watu wote kuwa viongozi na waangalie hali halisi wapunguze gharama za kugharamia hayo maisha yao ya kifahali kutoka kwenye kodi zetu maana sio sisi ndio tunapitia ugumu ila wao hakuna kinachobadilika.
 
Kiongozi wa watu vs Mapaka👇😁😁😁

 
Mtalia Lia wewe ila Come 2025 mtakapokuta kila Kijiji na kitongoji kina umeme,kila kijiji kina maji,Kila kijiji kina Zahanati,Kila kata ina kituo Cha Afya,Kila kijiji kinapitika Kwa barabara,Kila kijiji kina shule nzuri na nyumba za watumishi ndipo mtakuja kujiona Kwamba mlikuwa wajinga tuu.
Ndio nini hiki umeandika wewe chawa?
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
 
Lucas mwashambwa kabla ya july 2022 ulikuwaga wapi unasona shule au naona umeibuka ghafla kila kitu unasifia. Au ni mwenezi wa shina sehemu.

Uwe unaandika wasifu wako na namba ya simu kama Taikon wa fasihi au robert heriel sijui
 
Back
Top Bottom