Rais Samia angalia wajanja wasikuingize mjini

Rais Samia angalia wajanja wasikuingize mjini

Mwarabu anavyomtreat mzungu sio sawa na amavyo m treat mwafrica
Jambo la pili waarabu wako too tricky nimefanya nao kazi zaidi ya miaka 15 nawajua vizuri mambo yao hayajanyooka hasa ao waarabu wa Dubai huwa wana calculate risk kwao tuu sio kwako

Pia wakipata wanachokitaka hukimbia mail Mia na kukuacha solemba

Hivyo Rais asichukulie poa hili swala ni linahitaji umakini mkubwa
Sioni kama unayozungumza yana ukweli kwa kiasi kikubwa.Wewe itakuwa ni hao hao walioathirika wa historia.
Toa mfano wa huo ujanja ambao umeona uko kwa waarabu peke yao.
Miradi mingapi iliyofanywa na waarabu halafu wakatuacha solemba na mingapi imefanywa na wazungu.
Kwenye miradi mikubwa ndio kwanza tunasikia habari za waarabu miaka hii michache iliyopita huenda ni kutokana na wazungu kupoteza sifa kwa kuchanganya miradi yao na ufisadi na masharti yasiyohusika kama vile ushoga na pia wazungu kupata kipigo cha Mwenyezi Mungu.
Kwa maana hiyo kuwatolea mfano waarabu haiendani na ukweli wa matukio isipokuwa ni chuki.
 
Mwarabu siku zote anamwona Mwafrika kama mtumwa na anamdharau mikataba yake na nchi za kiafrika ni tofauti ma nchi za ulaya. Milele mwarabu anamwogopa Sana mzungu
 
Elimu walizo nazo Mawaziri wa Tz
FB_IMG_1686466493390.jpg
 
Uje na sababu haswa ni kwanini ashindwe kuwa kiongozi. Kasumba hizi za mtaani zitaishia kukupa maumivu ya moyo.
Nimefuatilia huu mjadala, watu wengi wanaonyesha Rais anazungukwa, Bado hawaamini moja kwa moja Kama Hilo suala analifahamu kiundani, ndio maana watu wengi wanapeleka lawama bungeni, kimsingi jinsia yake inamlinda watu kumshambulia moja kwa moja kupitia udhaifu wa huu mkataba, angekuwa mwanaume mishale ingempata moja kwa moja, kuanzia Sasa nakuendelea ninayoyaona kwa TULIA na namba moja napendekeza mwanamke asiwe kiongozi wa serikali.
 
Umeandika wivu mtupu. Wabunge wamepelekewa azimio na wamelifanyia kazi. Hayo mambo ya waarabu wa Dubai na wale waafrika ni maneno ya kike, ni kulia wivu, kulia chuki na kulia hasira.

Uwekezaji utakuja na kuzifaidisha pande mbili zote. Walioamua kujenga SGR waliona mbali kwamba ipo siku utafanyika uwekezaji mkubwa kulingana na mahitaji ya usafiri mzima wa reli.

Kama Kenya kapoteza fursa ya kiuchumi na anakwenda kuburuzwa na Tanzania hayo ni matatizo yenu ya ndani.
Mkuu umeandika kwa vijembe ila kelele zetu zinasaidia hao wabunge wengi njaa tupu mpaka kichwani ila yote kwa yote mambo yawekwe hadharani maana huu muungano una mashaka muda wowote tunaweza kawana Sasa tukiingia mkataba mbovu sisi tanganyika sindo itakula side yetu
 
Nimefuatilia huu mjadala, watu wengi wanaonyesha Rais anazungukwa, Bado hawaamini moja kwa moja Kama Hilo suala analifahamu kiundani, ndio maana watu wengi wanapeleka lawama bungeni, kimsingi jinsia yake inamlinda watu kumshambulia moja kwa moja kupitia udhaifu wa huu mkataba, angekuwa mwanaume mishale ingempata moja kwa moja, kuanzia Sasa nakuendelea ninayoyaona kwa TULIA na namba moja napendekeza mwanamke asiwe kiongozi wa serikali.
Alaumiwe JPM aliyemchukua kuwa makamu wake tangu 2015. Kwa taarifa yako Rais anao washauri wenye elimu na wazalendo pengine kuliko mimi na wewe, wanaishi kwa kazi hiyo maalum ya kumshauri Rais.

Usichukulie poa tu watu usiofahamu elimu zao, busara zao na hekima zao.
 
Mkuu umeandika kwa vijembe ila kelele zetu zinasaidia hao wabunge wengi njaa tupu mpaka kichwani ila yote kwa yote mambo yawekwe hadharani maana huu muungano una mashaka muda wowote tunaweza kawana Sasa tukiingia mkataba mbovu sisi tanganyika sindo itakula side yetu
Kama wewe ni mtanzania halisi inakubidi ujifunze kuwa mzalendo. Tanzania kuweza kuingia katika makubaliano na DP World ni faida kwetu sisi kuliko Kenya waliokosa hii biashara haswa na DRC pamoja na Rwanda.
 
Rais samia usisahau mwaka jana Rais wa Malawi Chakwera alibaki mdomo wazi baada ya kupigwa na kitu kizito wajanja walimuingiza mjini walimpoteza maboya yeye mwenyewe, waziri wa kiliimo na waziri wa fedha hivyo kuwa makini sana hili game ni game kama ma game mengine cheza kwa tahadhari.

Dp World anaweza kuiajiri TICC iliyofeli kama sub contract akaendelea kula cha juu. Akili za waarabu haziaminiki sometimes

Sekta ya bandari ndio sekta inayobeba uchumi mkubwa wa dunia pia ndio sekta yenye matapeli wakubwa mithili ya nyangumi wasio na huruma. Watu hao hutafuta upenyo wa dili moja tuu la matrilion kisha hupiga pakubwa na kupumzika

Sasa kwenye mkataba wa makubaliano uliyompa ridhaa Prof. Mbarawa ku sain kuna udhaifu ambao wachache tumegundua.
Kwanza Tanzania imekubali kuwa inferior kwa Dubai na wakati Tanzania ndio host region na owner wa rasilimali. Uo mkataba wa awali ulitakiwa uoneshe authority na muscles za Tanzania sababu DP World hana anachomiliki zaidi ya technology ambayo kimsingi sio yeye pekee kwenye hii dunian. Kitendo cha framework kuja bila time frame, requirements wala dissolution ni kuonesha waziri wako na timu yake walifeli kwenye bargaining power. Pia imeonesha sehemu kubwa imekubaliwa na waarabu wa Dubai na ni sehemu ndogo tuu ya huo mkataba ndio imekubaliwa na Tanzania

Unaweza ukawa msomi sana kama Prof. Mbarawa ila huna exposure.
Waliokushauri ulete azimio bungeni huenda wakawa wamekupoteza sababu kwa azimio hilo huwezi kurudi kunyume nyume lazima tuu ukubaliane na DP World sasa kama hukumalizana nao ndio umeingia chaka wataalamu wako watakuwa wamekupoteza na hutaweza kukubali kuwapa advantage wapinzani kwa kufuta azimio.

Angalizo. Waarabu wa Dubai wanawaona waarabu wa Africa sio waarabu bali ni waafrica. Na kwa asili Mwarabu akipata hapokei simu

Sasa ukianza kupiga simu Dubai hawapokei usishangae

Sasa tega na tegua uo mtego kwa tahadhari. Mbarawa pekeyake atakuangusha ongeza timu kwenye hili swala Chukua vichwa hivi
Mwanasheria mkuu wa serikali
Prof kabudi
Chenge
Gwajima
Masaju
Pascal Mayala
Tulia - awe ana backup
Ccm 3
Tiss 3
Ofisi yako 3
Wachumi 2 nje ya wizara
Ma engineer 3
Independent harbour operator consultants 2

Yaani na wewe uwe muuni
Ili wakileta za kuleta una cancel na io timu inakusafisha unabaki msafi bila doa
Usiamini vitu kwa urahisi lazima waarabu wajue uko serious na waone u serious huo kwenye process za mikataba
Ukiona wamekimbia jua walitaka kuiba
Too late samaki ameshameza chambo
 
Waarabu tunafanya nao kazi na biashara, tunawajua vizuri.. ni heri anagepewa Mchina hiyo bandari ila sio hawa wahuni.
 
Umeandika wivu mtupu. Wabunge wamepelekewa azimio na wamelifanyia kazi. Hayo mambo ya waarabu wa Dubai na wale waafrika ni maneno ya kike, ni kulia wivu, kulia chuki na kulia hasira.

Uwekezaji utakuja na kuzifaidisha pande mbili zote. Walioamua kujenga SGR waliona mbali kwamba ipo siku utafanyika uwekezaji mkubwa kulingana na mahitaji ya usafiri mzima wa reli.

Kama Kenya kapoteza fursa ya kiuchumi na anakwenda kuburuzwa na Tanzania hayo ni matatizo yenu ya ndani.
Hujaelewa kasome tena
 
Nimefuatilia huu mjadala, watu wengi wanaonyesha Rais anazungukwa, Bado hawaamini moja kwa moja Kama Hilo suala analifahamu kiundani, ndio maana watu wengi wanapeleka lawama bungeni...
Tatizo limeanza kwenye mkataba
 
Mwarabu siku zote anamwona Mwafrika kama mtumwa na anamdharau mikataba yake na nchi za kiafrika ni tofauti ma nchi za ulaya. Milele mwarabu anamwogopa Sana mzungu
Absolutely ndio maana kwa kusoma kilichoandikwa kwenye mikataba nikapata kujua nia na position yao
Wamejiweka superior na wakati Rasilimali ni zetu
 
Mnapoteza muda kutoa ushauri.

Akitoka kusoma huu ujumbe anaangusha bomu jingine.

She is just incompetent Thats all.
 
Rais samia usisahau mwaka jana Rais wa Malawi Chakwera alibaki mdomo wazi baada ya kupigwa na kitu kizito wajanja walimuingiza mjini walimpoteza maboya yeye mwenyewe, waziri wa kiliimo na waziri wa fedha hivyo kuwa makini sana hili game ni game kama ma game mengine cheza kwa tahadhari.

Dp World anaweza kuiajiri TICC iliyofeli kama sub contract akaendelea kula cha juu. Akili za waarabu haziaminiki sometimes

Sekta ya bandari ndio sekta inayobeba uchumi mkubwa wa dunia pia ndio sekta yenye matapeli wakubwa mithili ya nyangumi wasio na huruma. Watu hao hutafuta upenyo wa dili moja tuu la matrilion kisha hupiga pakubwa na kupumzika

Sasa kwenye mkataba wa makubaliano uliyompa ridhaa Prof. Mbarawa ku sain kuna udhaifu ambao wachache tumegundua.

Kwanza Tanzania imekubali kuwa inferior kwa Dubai na wakati Tanzania ndio host region na owner wa rasilimali. Uo mkataba wa awali ulitakiwa uoneshe authority na muscles za Tanzania sababu DP World hana anachomiliki zaidi ya technology ambayo kimsingi sio yeye pekee kwenye hii dunian.

Kitendo cha framework kuja bila time frame, requirements wala dissolution ni kuonesha waziri wako na timu yake walifeli kwenye bargaining power. Pia imeonesha sehemu kubwa imekubaliwa na waarabu wa Dubai na ni sehemu ndogo tuu ya huo mkataba ndio imekubaliwa na Tanzania

Unaweza ukawa msomi sana kama Prof. Mbarawa ila huna exposure.
Waliokushauri ulete azimio bungeni huenda wakawa wamekupoteza sababu kwa azimio hilo huwezi kurudi kunyume nyume lazima tuu ukubaliane na DP World sasa kama hukumalizana nao ndio umeingia chaka wataalamu wako watakuwa wamekupoteza na hutaweza kukubali kuwapa advantage wapinzani kwa kufuta azimio.

Angalizo. Waarabu wa Dubai wanawaona waarabu wa Africa sio waarabu bali ni waafrica. Na kwa asili Mwarabu akipata hapokei simu

Sasa ukianza kupiga simu Dubai hawapokei usishangae

Sasa tega na tegua uo mtego kwa tahadhari. Mbarawa peke yake atakuangusha ongeza timu kwenye hili swala Chukua vichwa hivi.

Mwanasheria mkuu wa serikali
Prof kabudi
Chenge
Gwajima
Masaju
Pascal Mayala
Tulia - awe ana backup
Ccm 3
Tiss 3
Ofisi yako 3
Wachumi 2 nje ya wizara
Ma engineer 3
Independent harbour operator consultants 2

Yaani na wewe uwe muuni
Ili wakileta za kuleta una cancel na io timu inakusafisha unabaki msafi bila doa
Usiamini vitu kwa urahisi lazima waarabu wajue uko serious na waone u serious huo kwenye process za mikataba
Ukiona wamekimbia jua walitaka kuiba
Umeanza vizuri ila hapo ulipomtaja nyangumi chenge ndio umezingua hyo fisadi kwenye nchi zinafuata sheria angekuwa ameshanyongwa licha ya kuwa bado yupo bungeni mpaka sasa.
 
Back
Top Bottom