Rais Samia angekuwa mkali kwa wazembe, wezi na mafisadi nchi yetu ingefika mbali sana kimaendeleo

Rais Samia angekuwa mkali kwa wazembe, wezi na mafisadi nchi yetu ingefika mbali sana kimaendeleo

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Watu wanasema kama rais Samia anaweza kuonesha ukali kwa viongozi wa vyama vya upinzani na watu wenye mawazo kinzani na yeye kumbe anaweza kuwa mkali kwa wazembe na mafisadi waliopo nchini ambao ndio kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi hii.

Nchi yetu hupoteza matrilioni kutokana na uzembe wa wafanyakazi wa serikali. Ingekuwa jambo la maana kama wazembe hawa watasakwa kwa gharama zozote zile.
 
Hana uwezo huo, adui yake yeye anaamini ni yule anaemtishia Umungu wake pekee.
 
nchi inamengi mno!, sitaki kumlaumu moja kwa moja maana muda mwengine mifumo ukute haimpi usalama rais kufanya hivyo!.
 
Back
Top Bottom