Rais Samia aongeza Saa 24 kwenye uokoaji Kariakoo

Rais Samia aongeza Saa 24 kwenye uokoaji Kariakoo

Tanzania nchi yangu.....
Kuna wakati nadhani sijui ni Magomeni quarters au wapi NHC walikuwa wanatoa watu kwa nguvu ili wavunje nyumba. Mzee MMOJA mstaafu na mkazi wa hapo akamwita mwandishi wa ITV karibu akamwambia najuta sana kuwa Tanzania, nilipata nafasi ya kuhamia nje nikakataa ila Sasa najuta......... Muda sana umepita....

Sasa kweli hii ni kitu hata ya kutoa tamko..... Jengo lisachiwe watu waokolewe wote. Na Leo asubuhi nimesikia hao waokoaji wamesikia sauti zinaomba msaada humo. Kwahiyo yakiisha hayo 24 waachwe wachanganywe na kifusi?????

Hivi mshawahi sikia sera ya USA kuwa no man will be left behind??.... Yaani iwe vitani au Hawa tourists au hata Hawa expatriate iwe amekufa iwe Yuko hai atarudishwa nyumbani....

Huko Chile mnakumbuka miners walikwama zaidi ya miezi miwili na waliokolewa...... Siku 69 mwaka 2010... Sasa sisi tuna law of limitation kwenye suala kama hili.
Wazungu wamebarikiwa sn, ingekuwa wazanzibar wenzake wapo huko chini angeishia masaa 96? zoezi linatakiwa liende mpk hata wiki 2 hata kama ni maiti tuzione
 
Nadhani kwenye hili hekima itumike tu, (time frame is uncalled for), nafahamu Tanzania tunatumia sheria ya, Law of limitations, ndiyo maana nimependekeza busara zitumike kwa kuangalia mazingira halisi ya janga
 
Akili za kukariri hizi, kuna watu luluki wametoka hai hapo au hata TRA, Brela wana list ya biashara zilizomo humo.

Mpaka sasa serikali ingekuwa walau na idadi ya calculated guess ya watu waliotakiwa kuwe mule ndani. Wangeongea na wafanya biashara waliotoka wazima wangekuwa na picha bado nani ajapatikana, alikuwa floor ipi, then upate picha ya wateja wanaokuwa mule mida ile ya asubuhi etc kuhusu kupata rough estimate unadhani kuna miili mingapi bado.

Kufanya maamuzi tu ya kukisia mtu mwenyewe hata nchini hayupo, yaani mpaka sasa hatujasikia hata wakitoa rough estimate ya watu wanaodhani walikuwa ndani, inakwambia jinsi walikvyokuwa hawajajiandaa na mambo kama haya.
 
Wakuu,

Wajuvi wa masuala haya, kwahivyo, bila kujali hali ilivyo muda wa uokoaji ikitokea janga kama hili huwa ni masaa 72 pekee?

Kwa jinsi ile ajali ilivyotokea watakauwa waokoaji watakuwa wamefika maeneo yote? Naona kama kuna watu wataachwa huko wajifie!

=====

View attachment 3155882View attachment 3155883
Jengo Moja tu uokoaji unafanyika kwa zaidi ya siku ya tatu hadi leo hii, Je, endapo kama lingetokea tetemeko la Ardhi na kusababisha labda majengo mia Moja kuporomoka hivi tungeweza kweli kufanya uokoaji hata wa mtu mmoja???
Ama kweli Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini Bw. Pieter Botha alikuwa mkweli kabisa pale aliposema kuwa "Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."
 
Badala ya kupunguza yale maloba na mizigo ambayo ilikuwa aina shida yeyote.......kazi kuongeza uzito tu.........lakini wenye vidigirii ndio wanajiona wanajua wakati yale maloba yanazidi kuongeza uzito............PUNGUZENI MALOBA HAYO NA MIZIGO MINGINE GHOROFA LIWE JEPESI MFANYEKAZI CHAP CHAP........ujuaji mwiiiiiingiiiii kisa nina digirii .........digirii inaongeza damu kwani
Tuna viongozi wa hovyo sn
 
Akili za kukariri hizi, kuna watu luluki wametoka hai hapo au hata TRA, Brela wana list ya biashara zilizomo humo.

Mpaka sasa serikali ingekuwa walau na idadi ya calculated guess ya watu waliotakiwa kuwe mule ndani. Wangeongea na wafanya biashara waliotoka wazima wangekuwa na picha bado ajapatikana, alikuwa floor ipi, then upate picha ya wateja wanaokuwa mule mida ya ile ya asubuhi etc kuhusu kupata rough estimate unadhani kuna miili mingapi bado.

Kufanya maamuzi tu ya kukisia mtu mwenyewe hata nchini hayupo, yaani mpaka ujasikia hata wakitoa estimate ya watu wanaodhani walikuwa ndani.
Hapa tulipigwa haswa kwa huyu maza ni aibu tupu
 
Wakuu,

Wajuvi wa masuala haya, kwahivyo, bila kujali hali ilivyo muda wa uokoaji ikitokea janga kama hili huwa ni masaa 72 pekee?

Kwa jinsi ile ajali ilivyotokea watakauwa waokoaji watakuwa wamefika maeneo yote? Naona kama kuna watu wataachwa huko wajifie!

=====

View attachment 3155882View attachment 3155883

Jamani naona hii habari sijailewa vizuri.

Ninavyoelewa shughuli ya uokoaji hapashwi kuwa na muda maalamu bali hali halisi ndiyo uwa kigezo cha kuendelea na kuokoa au kuacha.
Mwenye kuelewa zaidi atujuze
 
Wakuu,

Wajuvi wa masuala haya, kwahivyo, bila kujali hali ilivyo muda wa uokoaji ikitokea janga kama hili huwa ni masaa 72 pekee?

Kwa jinsi ile ajali ilivyotokea watakauwa waokoaji watakuwa wamefika maeneo yote? Naona kama kuna watu wataachwa huko wajifie!

=====

View attachment 3155882View attachment 3155883
Yaani walio field wenyewe hawakuona umuhimu wa kuongeza siku?
 
Akili za kukariri hizi, kuna watu luluki wametoka hai hapo au hata TRA, Brela wana list ya biashara zilizomo humo.

Mpaka sasa serikali ingekuwa walau na idadi ya calculated guess ya watu waliotakiwa kuwe mule ndani. Wangeongea na wafanya biashara waliotoka wazima wangekuwa na picha bado nani ajapatikana, alikuwa floor ipi, then upate picha ya wateja wanaokuwa mule mida ile ya asubuhi etc kuhusu kupata rough estimate unadhani kuna miili mingapi bado.

Kufanya maamuzi tu ya kukisia mtu mwenyewe hata nchini hayupo, yaani mpaka sasa hatujasikia hata wakitoa rough estimate ya watu wanaodhani walikuwa ndani, inakwambia jinsi walikvyokuwa hawajajiandaa na mambo kama haya.
Kumbe pia kuna jambo la kujifunza kwa hapo baadae kwenye magorofa kuwe na entrance counter, mashine ya kuhesabu idadi ya walio ingia na kutoka inayoweza kuzirusha taarifa maana na yenyewe pia inaweza ikafukiwa na kifusi
 
Mheshimiwa Rais.

Tumeona agizo lako la kumtaka waziri mkuu aongeze muda wa uokozi kwa masaa 24 zaidi. Pamoja na nia yako njema hata hivyo sijajua ni vigezo gani umetumia vya kuongeza masaa 24 peke yake.

Kwa kawaida binadamu anaweza kukaa bila kula kwa zaidi ya siku hata 7 (hususan wanawake). Sasa tukiangalia tangu ajali itokee, hadi leo hazijazidi hata siku 4. Kwa hiyo huenda kuna watu wako hai chini ya kifusi. Ukiongeza masaa 24 pekee kisha ukasitisha zoezi, huenda wakafa watu wengi ambao hawatapatikana ndani ya hizo saa 24 ila pengine wangepatikana kama siku za uokozi zngeongezeka.

Kwa hiyo nakusihi, Zoezi la Uokozi lindelee kwa siku angalau 10 ili tuwe na uhakika kuwa Sayansi ya Uhai imezingatiwa hata tukisitisha zoezi.

Natanguliza salam

Ni mimi Missile of the Nation
 
Back
Top Bottom