Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Ww inaonekana ni hasara kwa wazazi wako ....hivi watu wako madarakani miaka 60 uje ulinganishe na watu wanaopambana kuingia madarakani huku wakipitia changamoto kali ...Hawa viongozi wa CCM hata ukiwatazama tu Unaona kabisa dhamira yao ya dhati Katika kulitumikia Taifa hili,
Tofauti kabisa na Wapinzani wao wawapo kwenye Vikao vyao utawaona ni watu wa mashaka mengine na Njaa Kali
View attachment 2400668
Angalieni hii tofauti, HAKIKA CCM ipo Sana madarakani
Mpitishe na Yasin Lema wa huko Hai Kilimanjaro akawe mjumbe wa Kamatu ya siasa ya Mkoa ili ampitishe saashisha mafue 2025.View attachment 2400660
View attachment 2400661
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Ijumaa tarehe 28 Oktoba , 2022.
View attachment 2400662
View attachment 2400663
View attachment 2400664
View attachment 2400666
#CCMImara
#KaziIendelee
Saashi ndio nani? Na anamatatizo gani?Mpitishe na Yasin Lema wa huko Hai Kilimanjaro akawe mjumbe wa Kamatu ya siasa ya Mkoa ili ampitishe saashisha mafue 2025.
Wahuni tu hawa wanajulikanaHawa viongozi wa CCM hata ukiwatazama tu Unaona kabisa dhamira yao ya dhati Katika kulitumikia Taifa hili,
Tofauti kabisa na Wapinzani wao wawapo kwenye Vikao vyao utawaona ni watu wa mashaka mengine na Njaa Kali
View attachment 2400668
Angalieni hii tofauti, HAKIKA CCM ipo Sana madarakani
CCM ndio inaleta maji? 😁
Wanapata wapi nguvu za kucheka wakati wananchi wanalia hawana huduma ya maji?
CCM ndio inaleta maji? 😁
Aah kumbe akina wasira bado wapo ndo maana nchi inayumba kama nyumba ya makutiView attachment 2400660
View attachment 2400661
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Ijumaa tarehe 28 Oktoba , 2022.
View attachment 2400662
View attachment 2400663
View attachment 2400664
View attachment 2400666
#CCMImara
#KaziIendelee
CHADEMA JENGENI KWANZA OFISI KAMA WENZENU WA ACT SIO KUTAFUNA TU RUZUKUHapana,ni serikali ya CHADEMA.
Hawa ni watu wenye roho mbaya tu Ndio maana miili yao inanyauka tuHawa viongozi wa CCM hata ukiwatazama tu Unaona kabisa dhamira yao ya dhati Katika kulitumikia Taifa hili,
Tofauti kabisa na Wapinzani wao wawapo kwenye Vikao vyao utawaona ni watu wa mashaka mengine na Njaa Kali
View attachment 2400668
Angalieni hii tofauti, HAKIKA CCM ipo Sana madarakani
Alianzisha mwendazake sasa imekuwa kawaida hakuna anaejaliHapa mimi Nina tatizo au hii mada imekosewa why CC ya ccm ikutane state House?,ilitakiwa ikutane kwenye ofisi za ccm sio serikali, ndio maana ninaamini kuwa ccm inatumia fedha za serikali kuendesha chama chao, hii ni makosa makubwa pamoja na kuwa viongozi wengi wa ccm ni MUMPSIMUS!
CHADEMA JENGENI KWANZA OFISI KAMA WENZENU WA ACT SIO KUTAFUNA TU RUZUKU