Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM Ikulu ya Chamwino Dodoma

Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM Ikulu ya Chamwino Dodoma

View attachment 2400660
View attachment 2400661

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Ijumaa tarehe 28 Oktoba , 2022.
View attachment 2400662
View attachment 2400663
View attachment 2400664
View attachment 2400666
#CCMImara
#KaziIendelee
Ndio mambo wanayoweza watu hawana Umeme na maji wala haiwahusu.....
Huyu mama atashinda kwa sababu tu System ndivyo ilivyo ila hatapigiwa kura kabisa....
JPM was the real deal.
 
Hawa viongozi wa CCM hata ukiwatazama tu Unaona kabisa dhamira yao ya dhati Katika kulitumikia Taifa hili,

Tofauti kabisa na Wapinzani wao wawapo kwenye Vikao vyao utawaona ni watu wa mashaka mengine na Njaa Kali

View attachment 2400668
Angalieni hii tofauti, HAKIKA CCM ipo Sana madarakani
CCM itapinduliwa ma CCM 2025.
 
Back
Top Bottom