Mkuu kwasasa per diem ni Tsh 15,000- Tsh 30,000 ( Halmashauri ) per day.Nimekuambia kikaokazi unataka nini zaidi mkuu??
Katika Heading amesema ni tetesiMkuu kwasasa per diem ni Tsh 15,000- Tsh 30,000 ( Halmashauri ) per day.
Hiyo asilimia 23.3 yenyewe itawaongezea watumishi TAKE HOME ya estimately Tsh 42,000- Tsh 45,000 kulingana na mishahara ya mtu.
Sasa hizo per diem zinatoka wapi?
Rudia tena kusoma UZIMkuu kwasasa per diem ni Tsh 15,000- Tsh 30,000 ( Halmashauri ) per day.
Hiyo asilimia 23.3 yenyewe itawaongezea watumishi TAKE HOME ya estimately Tsh 42,000- Tsh 45,000 kulingana na mishahara ya mtu.
Sasa hizo per diem zinatoka wapi?
Acha watu wapate hela wameteseka sana wakati wa Jiwekutatokea mfumuko wa hatari wa bei, hizo hela wangezitumia kudhibiti bei ya mafuta, sio mnaenda kukopa hela etiu kudhibiti bei nya mafuta, huyu mama keshaanza kunipa wasiwasi
Tetesi nyingi bongo, siyo TETESI ni Umbeya uliombatana na uzushi na chuki.Katika Heading amesema ni tetesi
Ndio ila sio kujaza hela mtaani kiholela hivi, wakati tuna mfumuko wa beiAcha watu wapate hela wameteseka sana wakati wa Jiwe
Kiholela vipi mkuu wakati mzunguko wa pesa utaongezeka na mamalishe watapata wateja maana saivi vijana wanajipilishaNdio ila sio kujaza hela mtaani kiholela hivi, wakati tuna mfumuko wa bei
Tayari zimeshashika kasi mkuu.Safari za mchongo zitashika kasi! Shamba la Bibi!
Unajua anaingiza bei gani kwa mwezi kupitia biashara zake? au ndo mambo ya cheap propaganda 🤣 🤣 🤣Unahisi unawazidi? Au unaongelea TGS kuna watu wanaanza kazi wanakuzunguka mara4 usikariri huijui mashirika ya Umma na Taasisi za umma mnajuaga walimu na manesi tu
Unajua pureView Zeiss anaingiza bei gani kwa mwezi kupitia biashara zake? au ndo mambo ya cheap propaganda 🤣 🤣 🤣Unahisi unawazidi? Au unaongelea TGS kuna watu wanaanza kazi wanakuzunguka mara4 usikariri huijui mashirika ya Umma na Taasisi za umma mnajuaga walimu na manesi tu
Huenda anafanya biashara, mtumishi pia anafanyabiashara ya akili yake na mshahara na haya mengineyo ni faida tu ya akili yake.Unajua anaingiza bei gani kwa mwezi kupitia biashara zake? au ndo mambo ya cheap propaganda 🤣 🤣 🤣
Ingekuwa hvyo ungeona watumishi wa serikali kwenye list of billionaires duniani 🤣 🤣 .Huenda anafanya biashara, mtumishi pia anafanyabiashara ya akili yake na mshahara na haya mengineyo ni faida tu ya akili yake.
sasa biashara piga hesabu ya NET PROFIT halafu linganisha na kipato cha mfanyakazi ndio utaelewa
Kwani lengo ni kuuondoa umasikini au ni kujaribu kulipana viwango ambavyo angalau kidogo vinaendana na wakati??.Kwa hali huo umasikini haiwezi kuisha
Tufanye umeshinda maana naona unaleta mabishano yasiyo na faidaIngekuwa hvyo ungeona watumishi wa serikali kwenye list of billionaires duniani 🤣 🤣 .