Rais Samia apokea ripoti ya CAG, deni bado ni himilivu. Mafao yazidi mapato ya mifuko ya hifadhi

Makubaliana ni kwamba lazima wawe na hati safi ili wote wale keki ya nchi. Ripoti ya CAG ni ya mchongo. Mark my words
most likely, hata expertise ya kufanya huo ukaguzi I doubt kama anayo
 
Rais kaagiza MSD ifumuliwe yote
HR system ya msd hovyo hawana ubunifu wanaishi kimazoea, kapandishwa jamaa kutoka umeneja bodi mikopo kapewa ukurugenzi pale msd kafika kaa relax na anamajibu ya hovyo hovyo kwa wafanyakazi wafanyakazi wanavunjika moyo kuliko walivyokuwa, hana ubunifu anategemea kila kitu toka surbodinates wake ambayo ndio hawa hawa waliokuwa wabovu, kuna vikundi ndio vinapeana majukumu hao hao kila kukicha, wanadharau watu wao ambao ni professional kuwatumia, wanaishi kwa kuangaliana ukanda na umaslahi
 
Nimeamini kile kichambo kwa Ndugai kilikuwa na maana kubwa sana

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ujue Hii Ripoti Inamvua Sana Nguo Hangaya.
.
Kwenye Mabaya anasema Mimi Sikuwa Sehemu ya serikali.
.
Kwenye mazuri Utakuta anajisifu na yeye alishiriki.
.
Just imagine within 3 months umekopa Seven Tii, ikifika 2025 atakuwa amekopa Ngapi?
 
Huyu mama ni mweupe kichwani kiasi kwamba ukimsikiliza unataman hata uende ukampe nakoz
Leo anasema Kwamba Wakati Wa Ummy Ticha Alidhibiti Upotevu wa Mapato kwenye Halmashauri Zote.
.
So anataka kusema aliyopo Sasa(Bashungwa) ameshindwa Kudhibiti Upotevu wa Mapato?.
.
Anaemsifia Alidhibiti Upotevu wa Mapato kwenye Halmashauri Zote aliteuliwa na Jpm Ila ambae ameshindwa Kudhibiti Upotevu wa Mapato kwenye Halmashauri Zote aliteuliwa na Yeye.
.
So Nani Dhaifu Kati Yake na Mtangulizi Wake?
 
Kwanini Ikulu haikaguliwi?
 
Wote ni dhaifu sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…