Rais Samia apokea ripoti ya CAG, deni bado ni himilivu. Mafao yazidi mapato ya mifuko ya hifadhi

Rais Samia apokea ripoti ya CAG, deni bado ni himilivu. Mafao yazidi mapato ya mifuko ya hifadhi

CAG: Upande wa vyama vya siasa, ADC hati mbaya, Chauma hati mbaya, TLP hati mbaya, UMD hati mbaya, CUF hati yenye shaka, UDP hati yenye shaka, SAU hati yenye shaka, Demokrasia makini hati yenye shaka, AFP tulishindwa kutoa maoni.
Ndio maana hivi vyama vinataka mchakato wa katiba uanze 2029
 
Ujue Hii Ripoti Inamvua Sana Nguo Hangaya.
.
Kwenye Mabaya anasema Mimi Sikuwa Sehemu ya serikali.
.
Kwenye mazuri Utakuta anajisifu na yeye alishiriki.
.
Just imagine within 3 months umekopa Seven Tii, ikifika 2025 atakuwa amekopa Ngapi?
Lazima kwasababu kashaacha kukusanya Kodi kwaiyl lazima akope na ategemee wahisani ili aweze kuendesha serikali kwa matumizi ya kawaida ndiyo maana juzi maji yamemfika shingoni akasema hawezi kuajiri kila mwaka, Mkuu wa Magereza alimuomba atoe kibali cha ajira Magereza waajiri ata lasaba C kama kuajiri wasomi pesa hakuna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
=>Kwa miaka mitatu mfululizo, mafao ya pensheni ya mfuko wa hifadhi ya jamii wa sekta ya umma yalizidi mapato yatokanayo na michango kwa mwaka husika.

=> Kwa mwaka 2020/21 mafao yalizidi kwa bilioni 767, 2019/20 yalizidi kwa bilioni 232 na mwaka 2018/2019 yalizidi kwa bilioni 307.
Hapa pana kituko kwa hiyo CAG alitakaje? Michango ya Pension za walioko kazini ndio pekee zitumike kulipa wastaafu?
Hii hoja ya kitoto

Mapato ya Shirika la Pension ni kama ifuatavyo moja ni michango pili mapato yatokanayo na vitega uchumi hayo Mapato ya vitega uchumi kama vile interest inazopata kwa kukopesha Serikali na Mapato mengine ya vitega uchumi CAG hakujumlisha? Alitakiwa ajumlishe kwanza ndio alete hoja .Hii hoja iko very shallow
 
I see! kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ni majanga. Ndiko mahali serikali inakopa pesa na kutorejesha, na uwekezaji unaofanyika unatumia pesa nyingi kiasi kwamba wastaafu wanakosa kulipwa mafao yao kwa wakati wengine wanafariki bila kulipwa mafao yao. Huyu mstaafu mnyonge atakimbilia wapi?
 


Ngoja nikatafute ile post yangu ya siku ya teuzi. It’s exactly what I said will happen akipata report ya CAG.

Walishajua CAG anakuja na nini akawahi kumtoa shosti wake baada ya kubaini wizara aiwezi na ndio alieachia madudu yote. Wakatafuta mtu wa kumtupia zigo la lawama na atakaeweza mfokea mbele ya camera siku atakayopekea hiyo report.

These people are predictable, kwanini ni rahisi kujua what the will do next. Tabia za wanafiki zinafanana ukishazijua awe tajiri au maskini mtaani their personality traits are the same.
1. Wanapenda kujifanya watu wazuri mbele ya umma and likeable
2. Wazuri kwenye ku shift blame
3. Wanaamika kirahisi wanapotunga uongo
 
Hangaya ndani ya miezi 3 akakopa tililioni 7

Alafu kuna mipumabvu inasema eti Magu alikopa sana

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Nadhani tatizo halikuwa kukopa, tatizo lilikuwa ni uwazi basi! Unakopa huku wananchi unawaambia serikali inatumia fedha zake za ndani kwenye miradi mikubwa. Ukikopa ukasema na sababu za kukopa zikaeleweka, nadhani hakutakuwa na kelele kubwa.
 
Deni la taifa linapaishwa na nini mbona hata kipindi cha JK halikuwa likipanda kwa speed hii au kuna mpango wa kuuza nchi kupitia hili deni
 
Huu mradi wa bwawa ipo siku utayeyuka kama barafu juani maana waliopo sasa niwale hawakuupenda sababu dili ya ile gesi yao
 
Back
Top Bottom