Rais Samia apokea ripoti ya CAG, deni bado ni himilivu. Mafao yazidi mapato ya mifuko ya hifadhi

Tanzania we iba utafukuzwa uondoke na ulichoiba ndio maana watu hawaachi kuiba. Mtu ndani ya mwaka anaiba pesa ambayo inazidi jumla ya mshahara wake toka anaanza kazi mpaka kustaafu 🀣
 
Tabzania we iba utafukuzwa uondoke na ulichoiba ndio maana watu hawaachi kuiba. Mtu ndani ya mwaka anaiba pesa ambayo inazidi jumla ya mshahara wake toka anaanza kazi mpaka kustaafu 🀣
Huu utaratibu inabidi ubadilishwe.

Pia ishu ya wafanyakazi hewa ni mambo ya afisa utumishi na mkaguzi wa ndani.

Natarajia Sehemu yeyote ikibainika hivi sio tuu hao wafukizwe bali washtakiwe kwa uhujumu uchumi.
 
Huu utaratibu inabidi ubadilishwe.

Pia ishu ya wafanyakazi hewa ni mambo ya afisa utumishi na mkaguzi wa ndani.

Natarajia Sehemu yeyote ikibainika hivi sio tuu hao wafukizwe bali washtakiwe kwa uhujumu uchumi.
Kabisa mkuu... Ubaya ni kwamba hawadeal na tatizo yale yale ya madudu ya bandari kila siku yanajirudia
 
Akifanya hivyo ataambiwa haheshimu sijui haki za binadam sijui anakurupuka sijui ana roho mbaya sijui Katili n.k

Acha afanye kwa kadri yake mijitu haina jema
Huu utaratibu inabidi ubadilishwe.

Pia ishu ya wafanyakazi hewa ni mambo ya afisa utumishi na mkaguzi wa ndani.

Natarajia Sehemu yeyote ikibainika hivi sio tuu hao wafukizwe bali washtakiwe kwa uhujumu uchumi.
 
Samia ambae anahimiza ufisadi katika Taifa atajifukuza lini?πŸ’πŸ’πŸ’
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…