Exactly tukemee kwa nguvu zote hawatofanikiwa lakini japo ndio ajendaHawa wana agenda ya kuiongeza madhabahu za majini Tz
Wanajimegea nchi tu.Mmm mbona Saudis wanashinda Dqr ? Kuna nini ??
Saudis wana ramani ya madini ypote Tanzania ....kuna mbuga imetolewa Tanapa ili iwe pori wapewe wao.....wachimbe dhahabu khaaaWanajimegea nchi tu.
Utafika wakati tutauliza ..unagombea urais dini yako ni ipi
Shida kubwa hatuna upinzani imara, ulikuwa wakati sahihi kuidondosha ccmSaudis wana ramani ya madini ypote Tanzania ....kuna mbuga imetolewa Tanapa ili iwe pori wapewe wao.....wachimbe dhahabu khaaa
Hawa wakibongo ni wanamgbo wehu tuNa shekh kavaa kanzu inagusa chini kabisa, Ila Huku Bongo kuna Wana wanavaa ,nguo zinaishia kwenye ugoko [emoji23]
Mbona mnawa leble vibaya sana waislam, je hawawezi kuwa na jema hata moja!Hawa wana agenda ya kuiongeza madhabahu za majini Tz
Huyo m Sunni. Wa ugoko ni wa Shia wa Iran.Na shekh kavaa kanzu inagusa chini kabisa, Ila Huku Bongo kuna Wana wanavaa ,nguo zinaishia kwenye ugoko [emoji23]
APA kariakoo wabongo wengi Tu, wananyoa vibara, kufuga mandevu, na kanzu kuishia kwenye ugoko, wanajinasibu Wao ndio Al Sunna😂.Huyo m Sunni. Wa ugoko ni wa Shia wa Iran.
History inawahukumu Wao ni washenziMbona mnawa leble vibaya sana waislam, je hawawezi kuwa na jema hata moja!
😐History inawahukumu Wao ni washenzi
Ndio mkuu wote Muslim and Christian, ni washenzi
yaani magalatia ni majinga sana.Wagalatia basi wataanza kuweweseka kama baadhi hapo juu..
Waislam kawaida huwa hawapendi hata faida ya ziada. Ukienda Benki unaweza kukopa fedha kwa kutumia mfumo wa Islamic Banking ambao hauna riba. Watu hawawajui waislamu ndiyo maana maneno ni mengi. Given time, watawafahamu tu na nina uhakika watatwapenda sanaMbona mnawa leble vibaya sana waislam, je hawawezi kuwa na jema hata moja!