Rais Samia apokea ujumbe maalum toka kwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed

Rais Samia apokea ujumbe maalum toka kwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Shirikisho la Ethiopia Mhe. Demeke Mekonnen Ikulu Ndogo Tunguu Zanzibar, ambaye amewasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe. Abiy Ahmed uliowasilishwa na aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu Ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 24 April 2023.

FDB2F344-046E-46D1-852A-4BE80320085B.jpeg
 
Safi Sana mh Rais kwa Kuendelea kupokea wageni mbalimbali ambao kwa Sasa wanaiona Tanzania Kama Nchi ya ahadi ambayo kila mtu anatamani kufika,kila kiongozi kwa Sasa anatamani kuitembelea Tanzania na kuonana na mh Rais ili kujenga mahusiano mema ya kidiplomasia. Tanzania Ni Kama maji Sasa Usipoyanywa utayaoga tu
 
Back
Top Bottom