Rais Samia apokea ujumbe maalum wa Rais wa DRC

Rais Samia apokea ujumbe maalum wa Rais wa DRC

Natumaini hili suala la watanzania kuhitajika kuwa na visa kuingiza DRC watalirekebisha, kwa kuwa ni eneo la Africa Mashariki sasa.
 
Tatizo lenu watoto wa siku hizi kusoma ni shida, na kuelewa ndiyo kabisa. Afadhali umechomoa mapema. Bye 👋
Nilitaka niwe mpole kwako ili nikupe funzo, lakini naona umekwishatambua kosa lako lilipo.

Basi, usirudie tena kurukia kujibu jambo ambalo hujalielewa linahusu nini.
 
Marais wenzake east africa wanasema samia hana siri, kenya walikuja kuomba kudhaminiwa mkopo wakadhaminiwa siku ya chadema ya wanawake rais akayaropoka, ajitahidi awe anatunza siri za majirani zetu
Huyu hataki yale mambo ya tunatumia fedha zetu za ndani kumbe tunahangaika na commercial loans
 
Na bidhaa kubwa kabisa Congo inayo-export kuja Tz Ni Vumbi la mkongo.
Tolu hana maajabu Wacongo wamekuja kwa ndugu zao Watanzania ili wakawasaidie kurudisha kunguni zilipotokea.
 
Back
Top Bottom