Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
Daah wachina barna wanatusimika sana! Basi hapo maza anajikuta ileee,kumbe anaenda kupigwa! DaahHaya mapokezi kutoka China si ya kawaida. Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China. Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote; huku Waarabu, huku Marekani, huku China. Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.
View attachment 2405345
Yajayo yanafurahisha, mapokezi hayo sio bure.Haya mapokezi kutoka China si ya kawaida. Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China. Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote; huku Waarabu, huku Marekani, huku China. Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.
View attachment 2405345
Kule US alipokelewa na dada wa taifa MangeKimambiSema Samia hajaamini, maana kule USA alifika hakuna aliyekuwa na time naye China kaona gep kama dem anadanga halafu mabwana wanamchunia basi atakuwa easy ball. Sasa China ni kubatua tu.
Mimi bado nashangaa watu wanaoamini wachina watatoka huko kuja kuwaletea wao Maendeleo. Hizi akili sijui zio likizo? Kabisa mtu yupo fukayosi bagamoyo anasubiri mchina aje kumletea Maendeleo?Hakuna asiyetaka maendeleo unasema china wana win win situation umesahau walichofanya huko kwingine?
Sisi tunajulikana siku zote tunaingia mikataba ya ya chief mangungu, tunapewa vioo wanachukua almasi
Kazi gani wewe kilaza umeiona hapo zaidi ya kutembeza bakuli.wachawi lazima wataharisha damu mwaka huu.
maana nchi sasa inaongozwa vilivyo na kwa viwango vya kimataifa.
waliofikiria eti hawezi sasa wanugua ugonjwa wa moyo.....maana dawa ya wanafiki na wazandaki ni kuchapa kazi kwa bidii na maarifa kama anavyo fanya Rais wetu Mpendwa Mama Samia.
tutaenda na Mama hadi 2030.
Walimu vwametuharibia jukwaa,MTU anazungumzia mapokezi yenye ukakasi ww unasifia tu huo pia ni ushamba.Safi sana mama Samia Rais wetu amri jeshi mkuu Mungu akutangulie na akujalie afya na maisha marefu. Uliletwa kuwa rais na Mungu kwa maksud mahsus.
Hahah, dah hadi hurumaKule US alipokelewa na dada wa taifa MangeKimambi
Mtu akishakua mwalimu tu hata uwezo wake wakufikiri huwa unaondoka anakua kama kuku.Walimu vwametuharibia jukwaa,MTU anazungumzia mapokezi yenye ukakasi ww unasifia tu huo pia ni ushamba.
Ndio imenitoa sasa hv mi ni level nyingine bloanguIle ajira ya kuuza duka la simu uliyokua unaifukuzia ulifanikiwa kuipata mkuu?
Hakunakitukama hichomamayukovizuri kulikoyule mshambawa buingichatoHaya mapokezi kutoka China si ya kawaida. Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China. Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote; huku Waarabu, huku Marekani, huku China. Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.
View attachment 2405345
yang kingHaya mapokezi kutoka China si ya kawaida. Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China. Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote; huku Waarabu, huku Marekani, huku China. Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.
View attachment 2405345
lakini sisi sisi tulivyo wasahaulifu ukifika wakati wa uchaguzi tutapewa kanga na jezi za mpira tutasahau yote aya tuliowahi kufanyiwaAibu viongozi wetu wanatukosea sana.
Nadhani haya mawazo haya ndo yanatufanya tunaogopa hata kufungua mipaka ya EA.
Dubai imeendelea kwa Sababu ilifungua mipaka ya Dunia Nzima
Dubai ilikuwa Soko la kila mtu.
Baadae waliweza kupokea wageni mpk 1000.000 kwa siku.
Kukubalika na Mataifa Tajiri ni Fursa kubwa ya kufanya watu wa Nchi yako kuwa Tajiri pia..
Tatizo ni Akili za watu wenyewe!
Mataifa Mengi Tajiri wakishaona kwamba Nchi inakubalika na wengi basi wanapafanya hapo mahali kuwa nyumbani...tizama Kigali,Tizama Nairobi.
Suala ni Political Stability na Economic Broadway ya Nchi.
Na panapokuwa na wateja wengi inakuwa Rahisi ku bargain...
Tufunguke...
Mfano:
Nitakupa Biashara hii au Mradi huu lakini nataka niuze pamba tani kadhaa
Au Kahawa tani Kadhaa
Au Nyama Tani Kadhaa.
Hiyo ni Milango mizuri sana ya kukuza Uchumi..
Binafsi nampongeza Sana Mh Rais SSH!
Hachoki Mama wawatu!
God Bless you your Excellency!
Walimu vwametuharibia jukwaa,MTU anazungumzia mapokezi yenye ukakasi ww unasifia tu huo pia ni ushamba.