Rais Samia apokelewa Kifalme China

Rais Samia apokelewa Kifalme China

Haya mapokezi kutoka China si ya kawaida. Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China. Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote; huku Waarabu, huku Marekani, huku China. Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.

View attachment 2405345
Daah wachina barna wanatusimika sana! Basi hapo maza anajikuta ileee,kumbe anaenda kupigwa! Daah
 
Haya mapokezi kutoka China si ya kawaida. Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China. Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote; huku Waarabu, huku Marekani, huku China. Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.

View attachment 2405345
Yajayo yanafurahisha, mapokezi hayo sio bure.
 

Attachments

  • Screenshot_20221103_114447.png
    Screenshot_20221103_114447.png
    27.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221103_114540.png
    Screenshot_20221103_114540.png
    34.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221103_114413.png
    Screenshot_20221103_114413.png
    109.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221103_114558.png
    Screenshot_20221103_114558.png
    22.5 KB · Views: 2
Kule uarabuni walimuweka kwenye jengo refu duaniani, matokeo yake tukayaona Loliondo
 
Sema Samia hajaamini, maana kule USA alifika hakuna aliyekuwa na time naye China kaona gep kama dem anadanga halafu mabwana wanamchunia basi atakuwa easy ball. Sasa China ni kubatua tu.
Kule US alipokelewa na dada wa taifa MangeKimambi
 
Hakuna asiyetaka maendeleo unasema china wana win win situation umesahau walichofanya huko kwingine?
Sisi tunajulikana siku zote tunaingia mikataba ya ya chief mangungu, tunapewa vioo wanachukua almasi
Mimi bado nashangaa watu wanaoamini wachina watatoka huko kuja kuwaletea wao Maendeleo. Hizi akili sijui zio likizo? Kabisa mtu yupo fukayosi bagamoyo anasubiri mchina aje kumletea Maendeleo?
 
wachawi lazima wataharisha damu mwaka huu.
maana nchi sasa inaongozwa vilivyo na kwa viwango vya kimataifa.

waliofikiria eti hawezi sasa wanugua ugonjwa wa moyo.....maana dawa ya wanafiki na wazandaki ni kuchapa kazi kwa bidii na maarifa kama anavyo fanya Rais wetu Mpendwa Mama Samia.

tutaenda na Mama hadi 2030.
Kazi gani wewe kilaza umeiona hapo zaidi ya kutembeza bakuli.

#MaendeleoHayanaChama
 
Safi sana mama Samia Rais wetu amri jeshi mkuu Mungu akutangulie na akujalie afya na maisha marefu. Uliletwa kuwa rais na Mungu kwa maksud mahsus.
Walimu vwametuharibia jukwaa,MTU anazungumzia mapokezi yenye ukakasi ww unasifia tu huo pia ni ushamba.
 
Walimu vwametuharibia jukwaa,MTU anazungumzia mapokezi yenye ukakasi ww unasifia tu huo pia ni ushamba.
Mtu akishakua mwalimu tu hata uwezo wake wakufikiri huwa unaondoka anakua kama kuku.

#MaendeleoHayanaChama
 
Haya mapokezi kutoka China si ya kawaida. Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China. Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote; huku Waarabu, huku Marekani, huku China. Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.

View attachment 2405345
Hakunakitukama hichomamayukovizuri kulikoyule mshambawa buingichato
 
Ching yang kung! Nchi huuzwa hivyo!
Haya mapokezi kutoka China si ya kawaida. Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China. Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote; huku Waarabu, huku Marekani, huku China. Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.

View attachment 2405345
yang king
 
Nadhani haya mawazo haya ndo yanatufanya tunaogopa hata kufungua mipaka ya EA.

Dubai imeendelea kwa Sababu ilifungua mipaka ya Dunia Nzima

Dubai ilikuwa Soko la kila mtu.

Baadae waliweza kupokea wageni mpk 1000.000 kwa siku.

Kukubalika na Mataifa Tajiri ni Fursa kubwa ya kufanya watu wa Nchi yako kuwa Tajiri pia..
Tatizo ni Akili za watu wenyewe!

Mataifa Mengi Tajiri wakishaona kwamba Nchi inakubalika na wengi basi wanapafanya hapo mahali kuwa nyumbani...tizama Kigali,Tizama Nairobi.

Suala ni Political Stability na Economic Broadway ya Nchi.

Na panapokuwa na wateja wengi inakuwa Rahisi ku bargain...

Tufunguke...

Mfano:

Nitakupa Biashara hii au Mradi huu lakini nataka niuze pamba tani kadhaa

Au Kahawa tani Kadhaa

Au Nyama Tani Kadhaa.

Hiyo ni Milango mizuri sana ya kukuza Uchumi..

Binafsi nampongeza Sana Mh Rais SSH!

Hachoki Mama wawatu!

God Bless you your Excellency!

Watanzania bado hatujawa tayari kuifanya relationship na wachina au mataifa ya ulaya na USA in a mutual benefits,hapa tumepigwa na kitu kizito kichwani.
 
Walimu vwametuharibia jukwaa,MTU anazungumzia mapokezi yenye ukakasi ww unasifia tu huo pia ni ushamba.

Waalimu Tena wameingiaje hapa?!

Matokeo ya kudharau elimu ndiyo hayo tuyaonayo kwa viongozi wetu.
Hivi Kwanini viongozi wa kiafrika wanakosa self confidence!??!

Kuna haja ya kuiangalia upya hii elimu inayotuzalishia wataalamu mbalimbali ndani ya nchi yetu!
 
Back
Top Bottom