peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
NDO UKWELI ULIVYO. UTAENDELEA KUGANGAMAA MAKALIO TU.Nakusamehe bure kabisa maana hujuwi ulitendalo.Mungu akusamehe sana.
Kama wewe una mawazo ya kishetani na humuamini Mungu wala uwepo wa Mungu basi huwezi ukaelewa kwanini wanadamu wenye hofu ya Mungu humshukuru Mungu kila baada ya kufika salama kutoka safarini.kwani kuna mahali alikuwa akiwindwa huko angani?,
Ubarikiwe sana na Mungu.NDO UKWELI ULIVYO. UTAENDELEA KUGANGAMAA MAKALIO TU.
ephen_ njoo umchukue Lukasi wako huku maana tayari keshaanza kububujikwa na machozi. Afadhali mkabubujishane machozi huko bedroom kwenu!Hapana hiyo kazi wapo wenye kuweza kuifanya vizuri na kwa ufanisi mzuri mpaka watu wakabubujikwa na machozi ya furaha.
Wivu na chuki zako binafsi vitakuuwa mwaka huu.Kunasafari ya kwenda Nairobi,kuna mradi wa NSSF wa kuzinduliwa,umeanzisha na makamba.
Chuo kikuu cha Nairobi nacho kina mzigo wake,wa kumvalisha Ile Kofi.
Itakuwa kofia ya Sita
Ubarikiwe sana na Mungu.
Jibu ni ndio.Hujajibu swali langu,
Uwe ja adabu kwa Mheshimiwa Rais hata kama umekosa malezi mazuri ya wazazi wako.Huyu bibi utadhani alikula miguu ya kuku
Ulitaka awe mbeleMbona kama Nchimbi hapo nyuma?!
Hata JK mlimsifu,Leo ametufikisha hapaUwe ja adabu kwa Mheshimiwa Rais hata kama umekosa malezi mazuri ya wazazi wako.
Nakusamehe bure tu maana nilishatambua kuwa wewe huna akili nzuriNAWE PAMBANA PAMBANA UNAWEZA UKAONWA. ILA ACHA TU KUJIPENDEKEZA UMSIFU MUNGU. ACHANA NA WANADAMU. WEKA NAMBA YAKO YA SIMU DOGO.
Mbele Kuna Raha. nyuma kwa wengineUlitaka awe mbele
Nakusamehe bure tu maana nilishatambua kuwa wewe huna akili nzuri
Wewe nimeshasema kuwa kichwani kwako kuna shida na tatizo kubwa sana linalohitaji matibabu.NINGEKUWA SINA AKILI NZURI NGEKUWA KAMA WEWE. HATA VICHAA HUONA WENZAO NDO WANA MATATIZO
KAFULILA HAJAMBO?Wewe nimeshasema kuwa kichwani kwako kuna shida na tatizo kubwa sana linalohitaji matibabu.
mchapakazi hodari na asie choka, kipenzi na fahari ya waTanzania..Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,amerejea na kuwasili salama kabisa akiwa mwenye furaha, bashasha na tabasamu katika ardhi ya nchi yake usiku huu akitokea Afrika ya Kusini.
Ambako alikwenda kuhudhuria sherehe za uapisho wa Rais wa Taifa hilo Mheshimiwa Cyril Ramaphosa aliyechukua na kuapishwa kushika kiti cha Uraisi kwa Muhula wa pili.
Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema na Fadhila kwa kumsafirisha vyema Rais wetu na hatimaye kurejea na kufika salama kabisa Nchini akiwa mwenye afya njema na Tabasamu.
Tuendelee kumuombea Rais Wetu Mpendwa ili Mungu aendelee kumlinda,kumtetea na kumpigania wakati wote pamoja na kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.Rais Samia ndio nuru na tumaini letu watanzania,ndio nyota ya matumaini na muongoza njia wetu katika kuelekea nchi ya ahadi.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
View attachment 3020999
View attachment 3021001
---------
View attachment 3021005
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiondoka katika uwanja wa Ndege wa Waterkloof Pretoria nchini Afrika Kusini mara baada ya kuhudhuria hafla ya Uapisho wa Rais wa nchi hiyo Mhe. Cyril Ramaphosa iliofanyika Pretoria tarehe 19 Juni, 2024.