Rais Samia arejea nchini akitokea Afrika Kusini kuhudhuria uapisho wa Rais Cyril Ramaphosa

Kunasafari ya kwenda Nairobi,kuna mradi wa NSSF wa kuzinduliwa,umeanzisha na makamba.

Chuo kikuu cha Nairobi nacho kina mzigo wake,wa kumvalisha Ile Kofi.

Itakuwa kofia ya Sita
 
kwani kuna mahali alikuwa akiwindwa huko angani?,
Kama wewe una mawazo ya kishetani na humuamini Mungu wala uwepo wa Mungu basi huwezi ukaelewa kwanini wanadamu wenye hofu ya Mungu humshukuru Mungu kila baada ya kufika salama kutoka safarini.
 
mchapakazi hodari na asie choka, kipenzi na fahari ya waTanzania..

God bless you Rais, comrade Dr Samia Suluhu Hassan...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…