Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Ni bahati kubwa sana kwa watanzania kuongozwa na kiongozi mchapa kazi na mzalendo wa kweli na dhati kama Alivyo Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.kwa hakika hii ni zawadi kutoka kwa Mungu Mwenyewe.mchapakazi hodari na asie choka, kipenzi na fahari ya waTanzania..
God bless you Rais, comrade Dr Samia Suluhu Hassan...