Rais Samia arejea nchini akitokea Afrika Kusini kuhudhuria uapisho wa Rais Cyril Ramaphosa

Lucas, mama amerudi?
 
Rais a-deligate power basiii atuma mabalozi au makamu wake ili wakati mwingine kupunguza gharama.
Hapo mamilioni yametokomea kisa Nini hasa? SA wanaoipinga Israel watatupa faida gani hasa? Labda unga😞
Tuko kwenye majanga ya Albino kuuwawa na WIZI mkubwa kupitia sukari badala atulie nyumbani anakimbilia kwenye masherehe!! Huyu mkuu wa kaya vipiii???
 
 
Lucas mbona swala la sukari hujaligusia mzalendo wetu.Ww uko busy na safari za mama ama ww sukari haikuhusu uzalendo sio kusifia tu na kukemea mabaya.
Ni kaliba ya misukule yote kung'ang'ana na walichopandikizwa na kufutiwa wasikumbuke kingine chochote cha maana
 
Marekani hata wewe ukiwa raisi mambo yanaenda tu, tofautisha Africa na Marekani viimeachana kwa mbali mno.
 
Ni kaliba ya misukule yote kung'ang'ana na walichopandikizwa na kufutiwa wasikumbuke kingine chochote cha maana
Nakukemea Kwa jina la YESU aliye hai.
Mungu akupe neema ya kujua hilo jina unalolitumia misawa na kumtangaza yule muovu anayeisumbua Dunia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…