Rais Samia arusha dongo kwa Lissu, asema kashfa na matusi kwenye mikutano ya hadhara ni kwasababu ya kuzungumzwa hakuna

Yeye si alisema ana kifua na kwamba kazi ya kujibu watafanya chawa?mbona anakereka?atulie tu

Kama kuna wanaotoa matusi mahakama zipo,wapelekwe tuone.
Hivi wale wanaojiita Chawa wa Mama waliishia wapi? Au kwa kuwa hawakupewa mgao wa Dipii ndio wamesusa.
 

Laiti angetoa mfano wa hayo "matusi" angeeleweka.

Aya ya mwisho anakiri kuwa siyo matusi bali hoja za kitaifa KATIBA na BANDARI. Mwungwana angetoa majibu
 
Samia kasema utawala wake unafuata sheria na katiba ya 77.

Polisi wanafanya kazi hadi jumapili na dhamana wanatoa na si ilivyokuwa kwa mtangulizi wake.
Hawa wanaharakati muda mwingine wanataka kukutoa kwenye reli uharibikiwe mtangulizi wa samia alikua sahihi kwa baadhi ya hawa wanasiasa wa upinzani.
 
Hawa wanaharakati muda mwingine wanataka kukutoa kwenye reli uharibikiwe mtangulizi wa samia alikua sahihi kwa baadhi ya hawa wanasiasa wa upinzani.
Infact ni Wahafidhina ndani ya CCM ndio wanataka kumharibia.
 
Tunachosema ni kwamba bandari haiuzwi
 
Hii nchi kwa maneno matupu na makaratasi sisiemu haiwez kung'oka the only way is hard way mpaka kenge atokwe damu sikion ndipo atajua tupo sirious,ni upumbavu kutueleza kuleta katiba mpya hadi wananchi wapewe Elimu,wkt ule wanatuletea katiba ya samwel sitta wapi walitupa elimu?? Mambo wanayopitisha bungeni wananchi wameshrikishwa...ujinga mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…