Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hivi wale wanaojiita Chawa wa Mama waliishia wapi? Au kwa kuwa hawakupewa mgao wa Dipii ndio wamesusa.Yeye si alisema ana kifua na kwamba kazi ya kujibu watafanya chawa?mbona anakereka?atulie tu
Kama kuna wanaotoa matusi mahakama zipo,wapelekwe tuone.
AiseeeeYeye Katukana Watanganyika kwa kunikabidhi bandari zote mimi. Akili kisoda.
Kweli ipo wazi atoke kiurahisi kabisaaaa2025 IKULU Iko wazi kwako mama
Ndio sheria iliyovunjwa?public order law
...
"Hatukutoa fursa ile watu wakavunje sheria, watu wakasimame kutukana, watu wakasimame kukashifu, watu wakasimame kuchambua dini za watu, lakini sishangangai kwanini haya yanatokea kwasabbu ya kuzungumzwa hakuna!.
"Tulianza oh na katiba, tukaenda ikakatika katikati... bandari, imeenda ah sasa imerudi tena katiba, inapokuwa hakuna na unalazimisha lazima ufanye jambo utazungumza yasiyokuwepo au yasiyo katika muelekeo huo." - Rais Samia
Nipo Kazimkazi napalilia majini.Unaumia ukiwa wapi?2025 IKULU nyeupe kwa MAMA
Mbaya zaidi mama abdul hana cha kuongea wala cha kufanya.
Na anadhihirisha yuko tayari kuendelea na mkataba mbovu wa bandari licha ya ushauri uliotolewa.
Hawa wanaharakati muda mwingine wanataka kukutoa kwenye reli uharibikiwe mtangulizi wa samia alikua sahihi kwa baadhi ya hawa wanasiasa wa upinzani.Samia kasema utawala wake unafuata sheria na katiba ya 77.
Polisi wanafanya kazi hadi jumapili na dhamana wanatoa na si ilivyokuwa kwa mtangulizi wake.
Infact ni Wahafidhina ndani ya CCM ndio wanataka kumharibia.Hawa wanaharakati muda mwingine wanataka kukutoa kwenye reli uharibikiwe mtangulizi wa samia alikua sahihi kwa baadhi ya hawa wanasiasa wa upinzani.
Hatutaki ndio igawiwe bureSio lazima mtake.
We endelea na yale maswali yako...
Tunachosema ni kwamba bandari haiuzwi"Tumeruhusu mikutano ya hadhara tukiwa na nia vyama vya siasa vizungumze, wananchi wasikie sera zao, mipango yao, mada zao ili vyama vikue na virudishe wale waliowapoteza. Viweze kurudisha, vyama visimame viwe madhubuti tukienda kwenye uchaguzi kila chama kimejijenga vya kutosha na ndio maana ya kutoa fursa hii ya mikutano ya hadhara.
"Hatukutoa fursa ile watu wakavunje sheria, watu wakasimame kutukana, watu wakasimame kukashifu, watu wakasimame kuchambua dini za watu, lakini sishangangai kwanini haya yanatokea kwasabbu ya kuzungumzwa hakuna!.
"Tulianza oh na katiba, tukaenda ikakatika katikati... bandari, imeenda ah sasa imerudi tena katiba, inapokuwa hakuna na unalazimisha lazima ufanye jambo utazungumza yasiyokuwepo au yasiyo katika muelekeo huo." - Rais Samia
wanatamani wapate lile nyomi la mwamposa...Hii mikutano imewatisha sana ccm, hawakutegemea kama hali itakua hivi
Kutoka au kuingia?2025 IKULU Iko wazi kwako mama
Mmetangaziwa gati 8 hadi 11 linahitaji muwekezaji na tpa aliyeuza anaweza kutangaza tenda ya kutafuta mwekezaji ,nendeni mkawekeze acheni vimanenoKwa hiyo kuuza bandari za Tanganyika na kuacha za Zanzibar siyo kuvunja sheria?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mafuta yamefanyaje bwana mfuasi wa Mr.Lisu haambiliki 🤣🤣Nchi ishamshinda anatapa tapa bdala ya kucheki ishu ya mafuta tunafanyaje yeye ana ongea pumba wananchi mitaani tushamchoka arudi kwao pemba akauze pemba yao
Sawa chawa wa mamaMafuta yamefanyaje bwana mfuasi wa Mr.Lisu haambiliki 🤣🤣
🗑️👇Sawa chawa wa mama