benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa uzinduzi wa Hoteli ya Kimataifa ya Kwanza Wilaya ya Kusini Unguja visiwani Zanzibar amesema kuwa akiwa mkoani Arusha hivi karibuni amerekodi filamu ya kutangaza utalii wa Tanzania nchini China kwa kushirikiana na msanii maarufu nchini China Jin Dong aliyekuwa hapa nchini ili kuvutia watalii kutoka nchini China.
China inatajwa kuwa na watalii wanaotembelea nchi mbalimbali duniani wanaofikia Milioni 10.
=====
"Hivi karibuni nilikuwa Arusha Park na mtu anaitwa Jin Dong ni Mchina, huyu ni mcheza sinema maarufu sana kule China, nilikuwa naye Arusha Park "tuka-shoot" (tukarekodi) video pamoja inaitwa Karibu "Kijiji cha Milele", itakwenda kutafsriwa Kichina itaoneshwa kwao, itaingizwa maneno ya Kiswahili itaoneshwa kwetu na tunategemea itavuta wageni wengi Wachina.
Wachina wana watalii kama milioni 10 kwa mwaka wanaotoka kwenda kutembea, kati ya hao tukipata Milioni 3 tu si haba, lakini sasa tufanye kazi ya kujega mahoteli ili wakifika wahisi wako nyumbani." Rais Samia Suluhu Hassan.
China inatajwa kuwa na watalii wanaotembelea nchi mbalimbali duniani wanaofikia Milioni 10.
=====
"Hivi karibuni nilikuwa Arusha Park na mtu anaitwa Jin Dong ni Mchina, huyu ni mcheza sinema maarufu sana kule China, nilikuwa naye Arusha Park "tuka-shoot" (tukarekodi) video pamoja inaitwa Karibu "Kijiji cha Milele", itakwenda kutafsriwa Kichina itaoneshwa kwao, itaingizwa maneno ya Kiswahili itaoneshwa kwetu na tunategemea itavuta wageni wengi Wachina.
Wachina wana watalii kama milioni 10 kwa mwaka wanaotoka kwenda kutembea, kati ya hao tukipata Milioni 3 tu si haba, lakini sasa tufanye kazi ya kujega mahoteli ili wakifika wahisi wako nyumbani." Rais Samia Suluhu Hassan.