Ona nalo hili!! Mimba inakisumbua!!Ndio, yeye sio kibaraka wa watangulizi wake, yeye ni Rais
Nashangaa wanaotaka afuate zile sera mufilisi za jiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona nalo hili!! Mimba inakisumbua!!Ndio, yeye sio kibaraka wa watangulizi wake, yeye ni Rais
Nashangaa wanaotaka afuate zile sera mufilisi za jiwe
Nimeichukuwa fb, nikaitupia ili Wajuzi waliongekee hili, je ni kweli zilikuwa mpya? Na je zimefanikiwa kufanya safari nyingi za kutosha mpaka kufikia hatua hiyo? Wenye utaalamu watujuze.Miaka mitano yote zinapiga kazi, mavyuma yanasagika huko ndani, unataka zisifanyiwe ukarabati?
Anagonjeka binadamu sembuse hivyo vyuma vinavyolika Kwa kitu?
Yule jamaa ni mbishi hata huko kuzimu lazima adhibitiwe kwa mustakabali wa taifa Letu.Umuache usimuache, kazi unayojipa ni ya kipumbavu Kwa sababu yeye hatoi ushauri Kwa Rais sasa!
Unataka kumaanisha kwamba, JPM amekuwa akitoa ushauri Kwa Rais ktk mazingira yepi na wakati yeye hayuko duniani?
Jipige kifua mara 3 mfululizo ukisema walaaniwe walioni-brain wash kuwa chuki ni faida kiafya kumbe ni chanzo cha sonona, vidonda vya tumbo, kansa, stroke na hata kuparalaizi [emoji1787]
Nani aliyekudanganya nchi inadidimia kiuchumi?, hakuna kitu kama hicho, Uchumi unaimarika kidogo kidogo ona fremu zinavyofunguliwa kila pahala athari za awamu ya tano kuzikava kwa mara moja ni ngumu sana ukizingatia miradi mingi iliachwa ikiwa chini ya 25% ya ukamilishaji wake almost mingi kwa sasa ipo kwenye 75%and above, fanya tafiti mkuu.Toka lini kaacha kufuata ushauri wa msoga geng?kama hafuati ushauri wa msoga gang kwa nini Nchi inazidi kudidimia kila siku kiuchumi,kisiasa na kijamii?
Mkuu panua mdomo nikujambie mbrr mbrrrr mbrrrr mbrrrr. Pata uhondo wa ushuz nyau wewee.Jipige kifua mara 3 mfululizo ukisema walaaniwe walioni-brain wash kuwa chuki ni faida kiafya kumbe ni chanzo cha sonona, vidonda vya tumbo, kansa, stroke na hata kuparalaizi [emoji1787]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ndo inavyotakiwa SasaRaisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania naona kashaanza kushituka juu ya wastaafu hasa wanaopenda kumpa ushauri ambao hauna afya katika kuendesha nchi kwa maneno hayo huenda alishaanza kuona yule mtu wa msoga anamsumbuasumbua maana ni miongoni mwa wastaafu wenye nguvu na ushawishi ndani ya ccm aliyebaki hata kwa wafanyabiashara pia ambao mfano mzuri ni Ristam azizi! kwa hali hii naona kuna kitu hakipo sawa sasa ni wakati raisi ajue yeye ndiye raisi asiwepo kama nembo tu ni vizuri asikilize watu wake na achuje yale wanayomshauri hii nikutokana kwamba tangu aingie madarakani ni kama chombo kinaendeshwa na mtu aliye nje ya serikali
Kwa maneno hayo hapo chini kuna kitu hakipo sawa mambo yanazidi kubadilika siku hadi siku tunapoelekea 2025[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2434531
Kwa hiyo huyo jiwe yupo na anaenda kumpa ushauri huyo mama au ni chuki binafsiNdio, yeye sio kibaraka wa watangulizi wake, yeye ni Rais
Nashangaa wanaotaka afuate zile sera mufilisi za jiwe
Hata sura yake siikumbukiHivi kuna mtu ana tune tv au radio kumsikiliza huyu