Rais Samia ashindwa kujizuia hisia zake za furaha. Awashukuru wana CCM na viongozi kwa kumtakia heri ya Siku yake ya Kuzaliwa

Rais Samia ashindwa kujizuia hisia zake za furaha. Awashukuru wana CCM na viongozi kwa kumtakia heri ya Siku yake ya Kuzaliwa

Ila tukiachana na yote wewe jamaa inabidi ifike mahali uanze kujistukia, yaaani kila mtu alieweka comment yake yupo against na wewe! Hata kustuka hustuki? Basi shikwa hata aibu...

Nadhani utakua na changamoto ya afya ya akili ndugu (Samahani kama nimetumia maneno makali)

Kwa hizo sifa unazompa huyu mama, basi nakuhakikishia mwenzio anaziona kama dhihaka! Hapo sahau kuhusu teuzi kaka haitokaa itokee kamwe!

Yaani kuna vitu ambavyo wewe huvioni lakini mbele ya jamii inakuona ndugu yetu una matatizo kichwani
 
Ila tukiachana na yote wewe jamaa inabidi ifike mahali uanze kujistukia, yaaani kila mtu alieweka comment yake yupo against na wewe! Hata kustuka hustuki? Basi shikwa hata aibu...

Nadhani utakua na changamoto ya afya ya akili ndugu (Samahani kama nimetumia maneno makali)

Kwa hizo sifa unazompa huyu mama, basi nakuhakikishia mwenzio anaziona kama dhihaka! Hapo sahau kuhusu teuzi kaka haitokaa itokee kamwe!

Yaani kuna vitu ambavyo wewe huvioni lakini mbele ya jamii inakuona ndugu yetu una changamoto ya afya ya akili.
Umewahi kusoma habari za Galileo? KwA hiyo wewe kaa akili zako hizo ulizonazo unapima jambo kwa kuangalia watu wangapi wanalipinga au kuliunga mkono? Ndio akili zako hizo? Kwanini unawaza kijinga kiasi hicho?
 
1737891975782.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa Wanachama na viongozi wa CCM kwa Upendo wao Mkubwa walio uonyesha katika siku ya Leo .Ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Miaka 65 iliyopita .

Ambapo ilikuja kama Bahati kwa Taifa letu kwa Kuzaliwa kwake Hapa Nchini. Ambapo ni katika kuzaliwa kwake hapa Nchini Tumeona na kushuhudia watu wakipata tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana katika Maisha Yao.

Ni kwa kuzaliwa kwake katika ardhi ya Tanzania tumeshuhudia namna ambavyo Taifa letu limepata heshima ya kipekee sana katika anga la kimataifa katika wakati huu wa uongozi wake. Ambapo tumeona ushawishi wa Tanzania ukiwa huu sana .

Ndio Maana leo imekuwa ni kama siku ya kipekee sana hapa Nchini. Kuanzia mitandaoni,kwenye vyombo vya habari mpaka mitaani ni furaha tupu na wananchi wakisherehekea kwa bashasha na tabasamu kubwa sana siku hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wetu Mpendwa aliye chaguo la Mungu.

Imefikia watu wanatamani kuona siku hii ikiazimishwa kitaifa kila mwaka .kama Sehemu ya kukumbuka Maendeleo na mafanikio makubwa na ya ajabu ambayo yamekuwa kama miujiza hapa Nchini yaliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.

Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Huyu Mama ni wa kipekee kabisa. Amepewa kibali na Mungu Mwenyewe.kila anachogusa na kuweka mikono yake ni lazima pafanikiwe. Mungu yupo upande wake na uongozi wake unazo baraka na kibali cha Mungu Mwenyewe.

Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.View attachment 3215822

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
ogopa machawa ukiwa Raisi kila mtu "anakupenda" awe makini na machawa. Mbona hatujawahi kusikia sikukuu yake ya kuzaliwa kwa miaka 60 sasa . Yaani akiwa VP hataja
 
ogopa machawa ukiwa Raisi kila mtu "anakupenda" awe makini na machawa. Mbona hatujawahi kusikia sikukuu yake ya kuzaliwa kwa miaka 60 sasa . Yaani akiwa VP hataja
Naona unaona wivu sana kuona Rais wetu akipendwa na kukubalika kwa watanzania
 
Kuna wakati huwa nafikiria hili linawezekana likawa ni Robot la Mama Abdul analikontrol akiwa ikulu. Haiwezekani nakataa mtu mzima kichwani akawa na akili za uchawa hivi. Mimi nakataa niko tayari kubishana na yeyote yule hadi mwisho hili robot i swear.

Kwanza hushangai halijawahi kukosea spelling hata siku moja, liko so perfect likiandika uchawa wake kwa kuwa liko programmed. Nyie msibishane nalo ni Robot hata uliambie nini utasikia"mama ametufikia, blaah blas....." halina hisia
 
Naona unaona wivu sana kuona Rais wetu akipendwa na kukubalika kwa watanzania

Wivu gani msijifanye mnampenda Mama leo wakati hatujawahi kuwasikia huko nyuma. Yaani unasubiri mpaka awe Raisi!!!! hata aibu hamna. Na yeye alivyolewa hata haoni wanafiki
 
Heri ya siku ya kuzaliwa Honorable Doctor
Samia Suluhu Hassan. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 27th.January.2025
 

Attachments

  • Happy Birthdat President Samia Suluhu Hassan_20250128_002638_0000.png
    Happy Birthdat President Samia Suluhu Hassan_20250128_002638_0000.png
    554 KB · Views: 2
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa Wanachama na viongozi wa CCM kwa Upendo wao Mkubwa walio uonyesha katika siku ya Leo .Ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Miaka 65 iliyopita .

Ambapo ilikuja kama Bahati kwa Taifa letu kwa Kuzaliwa kwake Hapa Nchini. Ambapo ni katika kuzaliwa kwake hapa Nchini Tumeona na kushuhudia watu wakipata tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana katika Maisha Yao.

Ni kwa kuzaliwa kwake katika ardhi ya Tanzania tumeshuhudia namna ambavyo Taifa letu limepata heshima ya kipekee sana katika anga la kimataifa katika wakati huu wa uongozi wake. Ambapo tumeona ushawishi wa Tanzania ukiwa huu sana .

Ndio Maana leo imekuwa ni kama siku ya kipekee sana hapa Nchini. Kuanzia mitandaoni,kwenye vyombo vya habari mpaka mitaani ni furaha tupu na wananchi wakisherehekea kwa bashasha na tabasamu kubwa sana siku hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wetu Mpendwa aliye chaguo la Mungu.

Imefikia watu wanatamani kuona siku hii ikiazimishwa kitaifa kila mwaka .kama Sehemu ya kukumbuka Maendeleo na mafanikio makubwa na ya ajabu ambayo yamekuwa kama miujiza hapa Nchini yaliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.

Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Huyu Mama ni wa kipekee kabisa. Amepewa kibali na Mungu Mwenyewe.kila anachogusa na kuweka mikono yake ni lazima pafanikiwe. Mungu yupo upande wake na uongozi wake unazo baraka na kibali cha Mungu Mwenyewe.

Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.View attachment 3215822

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Pumbavu kabisa wewe.
 
Ila tukiachana na yote wewe jamaa inabidi ifike mahali uanze kujistukia, yaaani kila mtu alieweka comment yake yupo against na wewe! Hata kustuka hustuki? Basi shikwa hata aibu...

Nadhani utakua na changamoto ya afya ya akili ndugu (Samahani kama nimetumia maneno makali)

Kwa hizo sifa unazompa huyu mama, basi nakuhakikishia mwenzio anaziona kama dhihaka! Hapo sahau kuhusu teuzi kaka haitokaa itokee kamwe!

Yaani kuna vitu ambavyo wewe huvioni lakini mbele ya jamii inakuona ndugu yetu una matatizo kichwani
Atajistukiaje na yeye kwenye hilo fuvu lake amejaza kamasi tu.
 
Wenzie umri huo wanakua wamestaafu,yeye bado anang'ang'ania madaraka.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amejikuta akishindwa kujizuia hisia zake za furaha na shukurani kwa Wanachama na viongozi wa CCM kwa Upendo wao Mkubwa walio uonyesha katika siku ya Leo .Ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake Miaka 65 iliyopita .

Ambapo ilikuja kama Bahati kwa Taifa letu kwa Kuzaliwa kwake Hapa Nchini. Ambapo ni katika kuzaliwa kwake hapa Nchini Tumeona na kushuhudia watu wakipata tabasamu,furaha na matumaini makubwa sana katika Maisha Yao.

Ni kwa kuzaliwa kwake katika ardhi ya Tanzania tumeshuhudia namna ambavyo Taifa letu limepata heshima ya kipekee sana katika anga la kimataifa katika wakati huu wa uongozi wake. Ambapo tumeona ushawishi wa Tanzania ukiwa huu sana .

Ndio Maana leo imekuwa ni kama siku ya kipekee sana hapa Nchini. Kuanzia mitandaoni,kwenye vyombo vya habari mpaka mitaani ni furaha tupu na wananchi wakisherehekea kwa bashasha na tabasamu kubwa sana siku hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wetu Mpendwa aliye chaguo la Mungu.

Imefikia watu wanatamani kuona siku hii ikiazimishwa kitaifa kila mwaka .kama Sehemu ya kukumbuka Maendeleo na mafanikio makubwa na ya ajabu ambayo yamekuwa kama miujiza hapa Nchini yaliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.

Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Huyu Mama ni wa kipekee kabisa. Amepewa kibali na Mungu Mwenyewe.kila anachogusa na kuweka mikono yake ni lazima pafanikiwe. Mungu yupo upande wake na uongozi wake unazo baraka na kibali cha Mungu Mwenyewe.

Mama ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.View attachment 3215822

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hajabubujikwa na machozi kweli?
 
Back
Top Bottom