Rais Samia ashiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka EU, leo Julai 4, 2023

Rais Samia ashiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka EU, leo Julai 4, 2023

Tunaachia chanzo cha mapato kwa wageni muda huo huo tunakinga bakuli.
Nchi hii tumelaaniwa.

Kwanza huo umati wote wa nini....!!? Watu wote hao wanaachishwa kazi zao kuja hapo kusiki;iza porojo na kupokea msaada. Halafu hii ni kila second week. Lazima waje na kaiisue, sherehe au mkusanyiko wa aina hii. Sasa watu wanafanya kazi saa ngapi..... No wnder wakiletewa mikataba wanaisaini tu bila kuisoma maana hawana muda. Muda wao umeelekezwa kwnyw hivi visherehe uchwara.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka Umoja wa Ulaya (EU) katika Ukumbi wa Karambarage Hazina (Treasury Square) jini Dodoma.

BREAKING: Mmoja wa wanafamilia ya Wangwe aishiye jijini Mwanza amevamiwa usiku wa leo na kuuwawa na watu wasiojulikana kwa kukatwakatwa na mapanga. Familia ya Wangwe inahusika na waliofungua kesi kupinga mkataba wa DP World.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taifa lenye viongozi ombaomba, ni taifa maskini. Wao wamepata wapi mpaka wakupe, maana duniani hakuna vya bure au kuna kingine mnataka kupiga bei?
 
Hivi kwa nini mama hauzi bandali za Zanzibar? Au wazanzibari hawataki manufaa ya bandali zao?
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka Umoja wa Ulaya (EU) katika Ukumbi wa Karambarage Hazina (Treasury Square) jini Dodoma.


safi sana wazungu wanaona juhudi za mama
 
makubwa!tumefika hapa?unapanga bajeti HELA HUNA?kumbe ndo maana mrad wa mto msimbazi hela zake zimepotea
tuambie serikali moja tu africa inayopanga bajeti ya pesa za ndani bila kupata msaada kutoka mataifa ya nje nchi moja tu niambie
 
Hivi kwa nini mama hauzi bandali za Zanzibar? Au wazanzibari hawataki manufaa ya bandali zao?
hawayataki, wanataka kubaki na bandari zao na umaskini wao kama kweli kuziuza ni kuondoa umaskini!
 
They are Pushing for The European Partnerships Agreements - Dunia hii ya sasa ni Sio tu Quid pro Qou ukicheza na usipokuwa makini ni mwisho wa siku wewe ndio umeshika makali wakati mwenzako ameshika mpini
ole wao hizo agreements ziki- conflict na DPW
 
Ni swala la tengua, teua

Kuhudhuria mikutano na halfa

Sasa hivi tena kuhudhuria sherehe ya kupokea msaada wa budget

Muda si mrefu wataanza kumpa kazi ya kwenda kukata utepe wa miradi mipya.
Ndicho anachokiweza huyo mzanzibari
 
Rais Samia atekeleze hilo alilosema la kuifanya mwanza kuwa na kiwanja cha ndege cha kimataifa, siyo watu wanakuja na kushangaa zile stendi za mabasi za Nyegezi na kule sijui nyakato wakidhani ndiyo majengo ya uwanja wa ndege.

Ulipotaja mkoa wa Mwanza nikakumbuka jiji hilo lilivyosahaulika likiwa ndilo hub kwa ukanda wa maziwa makuu, jiji ambalo limekosa hata Chuo kikuu kimoja cha Serikali.
 
Tunaachia chanzo cha mapato kwa wageni muda huo huo tunakinga bakuli.
Na tunatoka hapo tunashangilia kama mazuzu. EU, WB, IMF na wengineo wanaofanana ni mpango wa nchi za magharibu kuendelea kutufanya makoloni yao.... hatutakaa tuishi bila kuwanyenyekea kisa misaada ya kijinga kama hii.
 
Back
Top Bottom