Rais Samia ashiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka EU, leo Julai 4, 2023

Rais Samia ashiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka EU, leo Julai 4, 2023

Ifikie wakati tuache kushangilia misaada.
Toka mwaka 1961 nchi inapata misaada.
Adui yenu mkubwa ni IMF, msipojua hilo tutaendelea kushangilia misaada.
Kila nchi ikikaribia kulipa madeni wanadevalue currency yao ili kuendelea katika circe.

imf sijui wb angalieni interest nchi masikini zinazochajiwa zikikopa na nchi tajiri interest compare uone.
DP world wakiwekeza bandari itachangia 67% ya bajeti badala 30+ za Sasa,gesi ya Lindi ikianza itachangia 6tr kwa mwaka,ukombozi toka kwa mabeberu hauwezi kua wa usiku mmoja
 
Ajisikii hata aibu🤔🤔 miaka zaidi ya 60 ya uhuru bado mtawala anapata ujasiri wa kwenda kupokea misaada tuu 🤔🤔🤔 kulikua na maana gani ya kumuondoa mkoloni 🤔🤔si bora mkoloni angebaki tuu, Kila siku Wana mrudisha kwa mlango wa nyuma🤔🤔 amaa kweli bongo bahati mbaya🚶🚶🚶🚶
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka Umoja wa Ulaya (EU) katika Ukumbi wa Karambarage Hazina (Treasury Square) jini Dodoma.



===

View attachment 2678276
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.

View attachment 2678277View attachment 2678278Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.

Still uvccm na walinda legacy wanawaita mabeberu 🤣🤣🤣 while mpaka budget ya Nchi mabeberu ndio wanasapoti miaka yote!!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka Umoja wa Ulaya (EU) katika Ukumbi wa Karambarage Hazina (Treasury Square) jini Dodoma.



===

View attachment 2678276
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.

View attachment 2678277View attachment 2678278Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka Umoja wa Ulaya (EU) katika Ukumbi wa Karambarage Hazina (Treasury Square) jini Dodoma.



===

View attachment 2678276
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.

View attachment 2678277View attachment 2678278Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.
 

Attachments

  • IMG_1035.MP4
    13.1 MB
Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka Umoja wa Ulaya (EU)

04 July 2023
Dodoma, Tanzania

Tanzania imesaini mikataba na Umoja wa Ulaya ya kiasi cha Shs. 455 bilioni


Serikali ya Tanzania imesaini mikataba mitatu na Umoja wa Ulaya yenye thamani ya zaidi ya Shs. 455 bilioni kwa lengo la kusaidia utekelezaji wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka mpya wa fedha wa 2023/2024.

Mikataba hiyo ni pamoja na ule wa kuimarisha uchumi wa buluu na kuleta mabadiliko ya tabia ya nchi wenye thamani ya Shs. 279.2 bilioni, kuimarisha mifumo ya fedha ya Serikali na kuleta maendeleo kwa sekta binafsi wenye thamani ya Shs 160.79 bilioni.

Pia upo wa kuimarisha uhusiano baina ya Tanzania na Umoja wa Ulaya wenye thamani ya Shs. 15.23 bilioni.

Akizungumza leo siku ya jumanne Julai 4, 2023 katika hafla ya utiaji saini mikataba hiyo iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Dodoma, mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza Tanzania kuendeleza ushirikiano na nchi za Ulaya uliodumu kwa zaidi ya miaka 48 sasa. Amesema msaada huo wa fedha utakwenda kusaidia maeneo muhimu ya utekelezaji wa bajeti
 
Back
Top Bottom