inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
DP world wakiwekeza bandari itachangia 67% ya bajeti badala 30+ za Sasa,gesi ya Lindi ikianza itachangia 6tr kwa mwaka,ukombozi toka kwa mabeberu hauwezi kua wa usiku mmojaIfikie wakati tuache kushangilia misaada.
Toka mwaka 1961 nchi inapata misaada.
Adui yenu mkubwa ni IMF, msipojua hilo tutaendelea kushangilia misaada.
Kila nchi ikikaribia kulipa madeni wanadevalue currency yao ili kuendelea katika circe.
imf sijui wb angalieni interest nchi masikini zinazochajiwa zikikopa na nchi tajiri interest compare uone.
Duh hii nchi hatari sana, pole kwa wanafamiliaBREAKING: Mmoja wa wanafamilia ya Wangwe aishiye jijini Mwanza amevamiwa usiku wa leo na kuuwawa na watu wasiojulikana kwa kukatwakatwa na mapanga. Familia ya Wangwe inahusika na waliofungua kesi kupinga mkataba wa DP World.
Sent using Jamii Forums mobile app
Still uvccm na walinda legacy wanawaita mabeberu 🤣🤣🤣 while mpaka budget ya Nchi mabeberu ndio wanasapoti miaka yote!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka Umoja wa Ulaya (EU) katika Ukumbi wa Karambarage Hazina (Treasury Square) jini Dodoma.
===
View attachment 2678276
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.
View attachment 2678277View attachment 2678278Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka Umoja wa Ulaya (EU) katika Ukumbi wa Karambarage Hazina (Treasury Square) jini Dodoma.
===
View attachment 2678276
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.
View attachment 2678277View attachment 2678278Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.
Mkuu ni huzuni sanaTunaachia chanzo cha mapato kwa wageni muda huo huo tunakinga bakuli.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Hafla ya Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka Umoja wa Ulaya (EU) katika Ukumbi wa Karambarage Hazina (Treasury Square) jini Dodoma.
===
View attachment 2678276
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.
View attachment 2678277View attachment 2678278Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.
Kupokea Fedha za Msaada wa Bajeti ya Serikali kutoka Umoja wa Ulaya (EU)
Alinunua mabasi ya EstherHivi kwenye hotuba ya Waziri wa fedha. Waziri alianisha ni kiasi gani cha tozo kilikusanywa kwenye miamala ya simu kwa mwaka wa fedha uliopita. Na matumizi yake yalikuwaje?