Rais Samia ashiriki Hafla ya Uzinduzi wa Mpango wa Block Farming, Dodoma - Machi 20, 2023

Rais Samia ashiriki Hafla ya Uzinduzi wa Mpango wa Block Farming, Dodoma - Machi 20, 2023

Hii ni Leo katika uzinduzi wa mashamba ya kwanza ya block farming Kwa Ajili ya vijana na wanawake..

Program ya BBT inalenga kutoa Ajira Zaidi ya mil.3 Kwa Vijana na wanawake kwenye Kilimo..


Huu mradi hauwezi kufanikiwa kama hakuna soko wala financing, kwa ufupi ni mradi hewa! Tatizo kubwa lililopo na jambo la kujiuliza je hayo mashamba yanatolewa bure??? Cha pili je fedha za kuendeshea kilimo anatoa nani??? Je masoko ya mazao yapo wazi?? Kitakachotokea ni block farming moja au mbili na vijana watatelekezwa na habari itaishia hapo.
 
Dodoma Ina maji mengi ardhini,watu hawakurupuki,mbona unaumia..una shida gani!?
Wapi naumia? Humu ndio mnasema Dodoma Kuna ukame mkubwa, pia nchi imekumbwa na ukame

Mimi najaribu kukumbusha tu waliosema hivyo
 
Huu mradi hauwezi kufanikiwa kama hakuna soko wala financing, kwa ufupi ni mradi hewa! Tatizo kubwa lililopo na jambo la kujiuliza je hayo mashamba yanatolewa bure??? Cha pili je fedha za kuendeshea kilimo anatoa nani??? Je masoko ya mazao yapo wazi?? Kitakachotokea ni block farming moja au mbili na vijana watatelekezwa na habari itaishia hapo.
Kwa hiyo serikali ni wajinga sana Hadi wewe unayajua hayo si ndio?

Mzee hapo ni Mwanzo tuu Hadi ajenda 10/30 ifikiwe kule Bashe huku Samia mwezeshaji..

Hayo unayoyaongea Yako addressed zamani sana,kabla ya kilimo.umaanzisa Sokoni mzee
 
Huu mradi hauwezi kufanikiwa kama hakuna soko wala financing, kwa ufupi ni mradi hewa! Tatizo kubwa lililopo na jambo la kujiuliza je hayo mashamba yanatolewa bure??? Cha pili je fedha za kuendeshea kilimo anatoa nani??? Je masoko ya mazao yapo wazi?? Kitakachotokea ni block farming moja au mbili na vijana watatelekezwa na habari itaishia hapo.
Ukiufuatilia vizuri huo mradi katika maelezo yao, vitu vyote ulivyovigusia hapo juu wamevieleza na viko covered.
 
Huo mradi hautegemei mvua. Ni mradi wa umwagiliaji.
Mkuu Mwanamaji, hebu fafanua kidogo! Unaposema "hautegemei mvua" kwa kumpinga aliyetoa hoja kwamba mvua hakuna.. ambaye alimaanisha kwamba kama hakuna mvua na hivyo kutakuwa na ukame kwenye vyanzo vya maji kama mito na mabwawa na hivyo kutatiza hiyo miradi. Ebu fafanua.
 
Huu ni mkopo mkuu 'Mr Devil', tutakaoulipa walipa kodi wote.
Mkuu huu mradi ni muhimu sana kwa uchumi wa Taifa. Kwa mtazamo wangu naona utekelezaji wake uta-tatiza kidogo ama zitatumika nguvu nyingi hadi kupata mafanikio.
Nilizani ingekuwa bora kuwatumia mabwana na mabibi shamba kupitia Halmashauri hao kuwatambua vijana ambao tayari ni wakuliwa huko vijijini na kuwapatia hiyo mitaji na nyenzo za kufanyia kazi. Vijana hawa tayari wana maarifa na ujuzi wa kilimo ila wanakosa mitaji.. Hivyo naamini kabisa wakiwezeshwa kwanza hawa wa vijijini na kwa vile wana ujuzi na uzoefu wa kilimo watafanya kazi mzuri, ambayo itawaingizia fedha nyingi na hivyo kutatua matatizo yao ya kimaendeleo kama kujenga nyumba bora, kusomesha watoto wao kwenye shule bora, kununua tractor ama gari n.k; Hivyo basi kama hawa watakuwa wamepata mafanikio hiyo, basi pasipo na shaka hao wa mjini, wenyewe wataipenda kazi ya kilimo, na wataanza mikakati ya kurudi vijijini ili wakaungane na wenzao katika kilimo.
 
Mkuu huu mradi ni muhimu sana kwa uchumi wa Taifa. Kwa mtazamo wangu naona utekelezaji wake uta-tatiza kidogo ama zitatumika nguvu nyingi hadi kupata mafanikio.
Nilizani ingekuwa bora kuwatumia mabwana na mabibi shamba kupitia Halmashauri hao kuwatambua vijana ambao tayari ni wakuliwa huko vijijini na kuwapatia hiyo mitaji na nyenzo za kufanyia kazi. Vijana hawa tayari wana maarifa na ujuzi wa kilimo ila wanakosa mitaji.. Hivyo naamini kabisa wakiwezeshwa kwanza hawa wa vijijini na kwa vile wana ujuzi na uzoefu wa kilimo watafanya kazi mzuri, ambayo itawaingizia fedha nyingi na hivyo kutatua matatizo yao ya kimaendeleo kama kujenga nyumba bora, kusomesha watoto wao kwenye shule bora, kununua tractor ama gari n.k; Hivyo basi kama hawa watakuwa wamepata mafanikio hiyo, basi pasipo na shaka hao wa mjini, wenyewe wataipenda kazi ya kilimo, na wataanza mikakati ya kurudi vijijini ili wakaungane na wenzao katika kilimo.
Mkuu umepogilia penyewe. Bahati mbaya wana JF tunajadili tu habari eti Dkt Magufuli alikuwa Dikteta au Rais Dkt Samia serikali yake imerejesha rushwa mpaka tunapitwa na mambo muhimu kama haya. Kwa kuongezea tu hakuna benki inayojitambua itatoa mkopo kwa hizi block farming kwa sababu risk ni nyingi mno, ukiachana tu na risk ya hali ya hewa masoko ya mazao ya kilimo kwa nchi yetu hayatabiliki, kuna cartel inanunua lumbesa ya kil 150 kwa bei ya kilo 100 halafu uje uiambie inunue lumbesa ya kilo 100 kwa bei halisi lazima wakuue. The idea ni nzuri sana shida ipo kwenye mambo mengi yanapaswa kufanyiwa kazi kizalendo tena kwa roho ngumu.
 
Dhamira ni nzuri.
Walengwa wanaotajwa ni hadaa kama sio ni wachache watakaofaidika.

Historia inaonyesha hivyo.

Sita shangaa kuona wimbi la vijana[Viongozi wa Serikali?] na wawekezaji-Ulaya na Uarabuni kuhodhi mashamba hayo tena kwa fedha za walipa kodi wa Tanzania.
Only time will tell.
 
Mkuu huu mradi ni muhimu sana kwa uchumi wa Taifa. Kwa mtazamo wangu naona utekelezaji wake uta-tatiza kidogo ama zitatumika nguvu nyingi hadi kupata mafanikio.
Nilizani ingekuwa bora kuwatumia mabwana na mabibi shamba kupitia Halmashauri hao kuwatambua vijana ambao tayari ni wakuliwa huko vijijini na kuwapatia hiyo mitaji na nyenzo za kufanyia kazi. Vijana hawa tayari wana maarifa na ujuzi wa kilimo ila wanakosa mitaji.. Hivyo naamini kabisa wakiwezeshwa kwanza hawa wa vijijini na kwa vile wana ujuzi na uzoefu wa kilimo watafanya kazi mzuri, ambayo itawaingizia fedha nyingi na hivyo kutatua matatizo yao ya kimaendeleo kama kujenga nyumba bora, kusomesha watoto wao kwenye shule bora, kununua tractor ama gari n.k; Hivyo basi kama hawa watakuwa wamepata mafanikio hiyo, basi pasipo na shaka hao wa mjini, wenyewe wataipenda kazi ya kilimo, na wataanza mikakati ya kurudi vijijini ili wakaungane na wenzao katika kilimo.
Ninakubaliana na mawazo yako.

Kwa hiyo tayari mradi umeanza na makosa, na tutegemee makosa mengi zaidi kwenda mbele.

Kama ilivyo kwa mipango yetu mingi yenye malengo mazuri, lakini inapofika kwenye utekelezaji, hapo ndipo hatuna uwezo kabisa.

Nadhani kuna umuhimu kuanza kutazama matatizo haya ya utekelezaji na kuyatilia mkazo katika kuyatatua.
 
Ninakubaliana na mawazo yako.

Kwa hiyo tayari mradi umeanza na makosa, na tutegemee makosa mengi zaidi kwenda mbele.

Kama ilivyo kwa mipango yetu mingi yenye malengo mazuri, lakini inapofika kwenye utekelezaji, hapo ndipo hatuna uwezo kabisa.

Nadhani kuna umuhimu kuanza kutazama matatizo haya ya utekelezaji na kuyatilia mkazo katika kuyatatua.
Unakumbuka Big Result Now ilivyofeli???
 
Ni mradi wa UVCCM. Nawafahamu Jamaica kama 10 having wa UVCCM walioenda kwenye BBT pia wamo Makatibu waenezi,wajumbe wa Mkutano mkuu na wajumbe wa NEC ambao wengi wao want uchumi mzuri. Hii nchi inanyonya sana watu maskini kwa mgongo wa chamade.
 
Ni mradi wa UVCCM. Nawafahamu Jamaica kama 10 having wa UVCCM walioenda kwenye BBT pia wamo Makatibu waenezi,wajumbe wa Mkutano mkuu na wajumbe wa NEC ambao wengi wao want uchumi mzuri. Hii nchi inanyonya sana watu maskini kwa mgongo wa chamade.
Hili ni tatizo linalohitaji kushikiwa bango.
Nchi haiwezi kuwa mali ya watu wa kundi maalum. Hili linafaa kupigiwa kelele watu walitambue vizuri.
 
Mkuu huu mradi ni muhimu sana kwa uchumi wa Taifa. Kwa mtazamo wangu naona utekelezaji wake uta-tatiza kidogo ama zitatumika nguvu nyingi hadi kupata mafanikio.
Nilizani ingekuwa bora kuwatumia mabwana na mabibi shamba kupitia Halmashauri hao kuwatambua vijana ambao tayari ni wakuliwa huko vijijini na kuwapatia hiyo mitaji na nyenzo za kufanyia kazi. Vijana hawa tayari wana maarifa na ujuzi wa kilimo ila wanakosa mitaji.. Hivyo naamini kabisa wakiwezeshwa kwanza hawa wa vijijini na kwa vile wana ujuzi na uzoefu wa kilimo watafanya kazi mzuri, ambayo itawaingizia fedha nyingi na hivyo kutatua matatizo yao ya kimaendeleo kama kujenga nyumba bora, kusomesha watoto wao kwenye shule bora, kununua tractor ama gari n.k; Hivyo basi kama hawa watakuwa wamepata mafanikio hiyo, basi pasipo na shaka hao wa mjini, wenyewe wataipenda kazi ya kilimo, na wataanza mikakati ya kurudi vijijini ili wakaungane na wenzao katika kilimo.
Uko sahihi mkuu.
Ila kwasababu mipango hii huwa inahusishwa na fedha nyingi sana, na mara nyingi wale walio karibu na mipango hii i.e watu serikalini ndio wanaojua details zake basi wanateka haya na kuyafanya iwe miradi yao kwa urahisi na kuwaruka wale walengwa in the original plan

Wafanye kwa umakini mkubwa sana au watakaribisha utekaji wa ardhi kutoka kwa wazawa.
 
Back
Top Bottom