Rais Samia ashiriki Halfa ya Utoaji Tuzo za Wasanii wa Uchekeshaji Tanzania. Na kupewa tuzo ya Champion of Comedy

Rais Samia ashiriki Halfa ya Utoaji Tuzo za Wasanii wa Uchekeshaji Tanzania. Na kupewa tuzo ya Champion of Comedy

Wewe ni kajinga, michezo na burudani tangu jakaya serikali imekua ikitazama namna gani itaweza kuikuza kwa kuwa inaajiri watu wengi,alianza jakaya kuilea,samia anaendeleza,wewe unataka aende kwenye madini tu huko kazi yenu kuambukizana ukimwi na kuitia serikali hasara ya kuwanunulia ARV,huko kwenye kilimo na ufugaji rais hajaweka nguvu,au umekunywa kangara unafikiri uharo tu kichwani mwako!?
Unaweza kujiona wewe ndio kilaza Tanzania nzima ila unapoingia JF na kukutana na post kama ya huyu jamaa lazima ufarijike.
 
Rais Samia akishiriki Halfa ya Utoaji Tuzo za Wasanii wa Uchekeshaji Tanzania Ukumbi wa The Super Dome Februari 22, Dar es Salaam.

Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kwenye tuzo za Tanzania Comedy Awards

Updates....
- Rais Samia apewa tuzo ya Champion of Comedy; nami nasema anafaa

-Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Charles Makongoro Nyerere ameshinda tuzo ya Kiongozi Mcheshi katika Usiku wa Tuzo za Ucheshi (TCA) Zilizofanyika katika Ukumbi wa Super Dome Jijini Dar es salaam.

Katika Kinyanganyiro hicho Makongoro alikuwa akichuana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila, Mchingaji Hananja, Mkuu wa Mkoa Mstaafu Aggrey Mwanri na Sheikh Kipozeo.

-Wachekeshaji Steve Mweusi na Ndaro wameibuka washindi katika kipengele cha Best Comedy Duo katika tuzo za wachekeshaji Tanzania.

-Mchekeshaji maarufu Bongo, TX Dullah ameibuka mshindi katika kipengele cha Best Male Digital Comedian of The Year (Mchekeshaji Bora wa Kiume wa Kidijitali wa Mwaka) katika Tuzo za Wachekeshaji Bongo.

-Leonardo ameibuka Mshindi wa Jumla akinyakua Tuzo kubwa ya Overall best comedian of the year kwa wanaume na wanawake.

-Mama Mawigia ameshinda Tuzo ya Best Female Digital Comedy of the Year leo Februari 22, 2025 jijini Dar es Salaam.

-Msanii wa Muziki, Omary Nyembo maarufu Ommy Dimpoz amesema kuanzia siku ya leo Februari 22, 2025, wachekeshaji (comedians) wa Tanzania, hashtag yao ni "Cheka na Samia" na popote alipo Rais Samia Suluhu Hassan nao wapo!

"Kwa hiyo, sisi wenyewe kwa kufurahi na kufurahishwa na uwepo wa Mheshimiwa Rais (Samia Suluhu Hassan), leo tukasema kuanzia leo tutaita wachekeshaji wote kuhakikishia kwamba tunamsapoti Rais na tutaenda kama 'Cheka na Samia'.

- Eliud Samwel amenyakua tuzo ya mchekeshaji bora wa jukwaani maarufu kama Stand Up Comedy.

- Lucas Mhuvile, maarufu kama Joti, ameshinda tuzo ya The Best Actor Comedian of The Year

- Dogo Sele amepokea tuzo ya mwaka 2025 kama mchekeshaji bora mtoto

- Neyla Manga Amechukua Tuzo ya Mchekeshaji Bora wa Kike wa Jukwaani kwa mwaka 2025.

-Familia ya marehemu King Majuto imepokea tuzo ya heshima katika Tanzania Comedy Awards, ikitambua mchango wake mkubwa kwenye tasnia ya vichekesho

Katika hali ya utani, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wazo lililotolewa na wachekeshaji la kucheza mchezo wa ‘upatu’ linaweza kuwa zuri endapo likibadilishwa na kutafutiwa namna bora ili kusaidia masuala ya kifedha ya nchi za Kiafrika.

Rais Samia amesema wazo hilo likichukuliwa kitofauti litakuwa na mchango wa kujitegemea kifedha, kama wakikubaliana na viongozi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuunda mfuko wao.





🤮🤮
 
Wana upeo mdogo sana....

Nimetoka kuongea na msomi wa kiwango cha "masters"...huyu naye pia anasema kuwa rais hakustahili kuhudhuria tukio hilo la Masaki....kwa kweli nimejichokea mno kwa kuona kama taifa tuna baadhi ya wasomi wenye kufikiri kidogo mno...

Watanzania wanalalamika ajira ni chache.....

Tasnia ya sanaa imesababisha maelfu kwa Malaki ya vijana wenzetu kupata riziki ya kila uchao ,leo unapingaje rais asihudhurie kuwaunga mkono watanzania wenzake hao ?!!

Niwapongeze waandazi wa shughuli hii ya leo ,ikihusisha wasanii wetu na wasaidizi wa mh.Rais Samia Suluhu Hassan....

#Taifa Kwanza!
#JMT milele dumu !
#Samia ni MFARIJI WETU MKUU !
Nchi itajaa wasanii soon mnakuwa kama kongo

Ova
 
Mama mawiigii hongera sana na Leonard

Ila hiyo hashtag ni njaa tupu

Mama chanja na Asma hongereni
 
Acha ujinga commedy imeajili nn badala ajikite na miradi kama ufugaji samaki na uchimbaji madin yuko kwenye ujinga huu
Punguza uchawi kijana. Una aidia nzuri ila umelala nayo fofo. Ibua uone kama hato jikita nayo. Angalia utaenda nayo mu kaburi ndugu acha uchawi. IGA ya Omi dimpo😁😁😁
 
Rais Samia akishiriki Halfa ya Utoaji Tuzo za Wasanii wa Uchekeshaji Tanzania Ukumbi wa The Super Dome Februari 22, Dar es Salaam.

Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kwenye tuzo za Tanzania Comedy Awards

Updates....
- Rais Samia apewa tuzo ya Champion of Comedy; nami nasema anafaa

-Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Charles Makongoro Nyerere ameshinda tuzo ya Kiongozi Mcheshi katika Usiku wa Tuzo za Ucheshi (TCA) Zilizofanyika katika Ukumbi wa Super Dome Jijini Dar es salaam.

Katika Kinyanganyiro hicho Makongoro alikuwa akichuana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila, Mchingaji Hananja, Mkuu wa Mkoa Mstaafu Aggrey Mwanri na Sheikh Kipozeo.

-Wachekeshaji Steve Mweusi na Ndaro wameibuka washindi katika kipengele cha Best Comedy Duo katika tuzo za wachekeshaji Tanzania.

-Mchekeshaji maarufu Bongo, TX Dullah ameibuka mshindi katika kipengele cha Best Male Digital Comedian of The Year (Mchekeshaji Bora wa Kiume wa Kidijitali wa Mwaka) katika Tuzo za Wachekeshaji Bongo.

-Leonardo ameibuka Mshindi wa Jumla akinyakua Tuzo kubwa ya Overall best comedian of the year kwa wanaume na wanawake.

-Mama Mawigia ameshinda Tuzo ya Best Female Digital Comedy of the Year leo Februari 22, 2025 jijini Dar es Salaam.

-Msanii wa Muziki, Omary Nyembo maarufu Ommy Dimpoz amesema kuanzia siku ya leo Februari 22, 2025, wachekeshaji (comedians) wa Tanzania, hashtag yao ni "Cheka na Samia" na popote alipo Rais Samia Suluhu Hassan nao wapo!

"Kwa hiyo, sisi wenyewe kwa kufurahi na kufurahishwa na uwepo wa Mheshimiwa Rais (Samia Suluhu Hassan), leo tukasema kuanzia leo tutaita wachekeshaji wote kuhakikishia kwamba tunamsapoti Rais na tutaenda kama 'Cheka na Samia'.

- Eliud Samwel amenyakua tuzo ya mchekeshaji bora wa jukwaani maarufu kama Stand Up Comedy.

- Lucas Mhuvile, maarufu kama Joti, ameshinda tuzo ya The Best Actor Comedian of The Year

- Dogo Sele amepokea tuzo ya mwaka 2025 kama mchekeshaji bora mtoto

- Neyla Manga Amechukua Tuzo ya Mchekeshaji Bora wa Kike wa Jukwaani kwa mwaka 2025.

-Familia ya marehemu King Majuto imepokea tuzo ya heshima katika Tanzania Comedy Awards, ikitambua mchango wake mkubwa kwenye tasnia ya vichekesho

Katika hali ya utani, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wazo lililotolewa na wachekeshaji la kucheza mchezo wa ‘upatu’ linaweza kuwa zuri endapo likibadilishwa na kutafutiwa namna bora ili kusaidia masuala ya kifedha ya nchi za Kiafrika.

Rais Samia amesema wazo hilo likichukuliwa kitofauti litakuwa na mchango wa kujitegemea kifedha, kama wakikubaliana na viongozi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuunda mfuko wao.





Tuzo ya kwanza alipaswa apewe Samia, maana naye ni msanii sawa na hawa wasanii. Nani anakula vicheko hata hivyo?
 
Rais Samia akishiriki Halfa ya Utoaji Tuzo za Wasanii wa Uchekeshaji Tanzania Ukumbi wa The Super Dome Februari 22, Dar es Salaam.

Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kwenye tuzo za Tanzania Comedy Awards

Updates....
- Rais Samia apewa tuzo ya Champion of Comedy; nami nasema anafaa

-Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Charles Makongoro Nyerere ameshinda tuzo ya Kiongozi Mcheshi katika Usiku wa Tuzo za Ucheshi (TCA) Zilizofanyika katika Ukumbi wa Super Dome Jijini Dar es salaam.

Katika Kinyanganyiro hicho Makongoro alikuwa akichuana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila, Mchingaji Hananja, Mkuu wa Mkoa Mstaafu Aggrey Mwanri na Sheikh Kipozeo.

-Wachekeshaji Steve Mweusi na Ndaro wameibuka washindi katika kipengele cha Best Comedy Duo katika tuzo za wachekeshaji Tanzania.

-Mchekeshaji maarufu Bongo, TX Dullah ameibuka mshindi katika kipengele cha Best Male Digital Comedian of The Year (Mchekeshaji Bora wa Kiume wa Kidijitali wa Mwaka) katika Tuzo za Wachekeshaji Bongo.

-Leonardo ameibuka Mshindi wa Jumla akinyakua Tuzo kubwa ya Overall best comedian of the year kwa wanaume na wanawake.

-Mama Mawigia ameshinda Tuzo ya Best Female Digital Comedy of the Year leo Februari 22, 2025 jijini Dar es Salaam.

-Msanii wa Muziki, Omary Nyembo maarufu Ommy Dimpoz amesema kuanzia siku ya leo Februari 22, 2025, wachekeshaji (comedians) wa Tanzania, hashtag yao ni "Cheka na Samia" na popote alipo Rais Samia Suluhu Hassan nao wapo!

"Kwa hiyo, sisi wenyewe kwa kufurahi na kufurahishwa na uwepo wa Mheshimiwa Rais (Samia Suluhu Hassan), leo tukasema kuanzia leo tutaita wachekeshaji wote kuhakikishia kwamba tunamsapoti Rais na tutaenda kama 'Cheka na Samia'.

- Eliud Samwel amenyakua tuzo ya mchekeshaji bora wa jukwaani maarufu kama Stand Up Comedy.

- Lucas Mhuvile, maarufu kama Joti, ameshinda tuzo ya The Best Actor Comedian of The Year

- Dogo Sele amepokea tuzo ya mwaka 2025 kama mchekeshaji bora mtoto

- Neyla Manga Amechukua Tuzo ya Mchekeshaji Bora wa Kike wa Jukwaani kwa mwaka 2025.

-Familia ya marehemu King Majuto imepokea tuzo ya heshima katika Tanzania Comedy Awards, ikitambua mchango wake mkubwa kwenye tasnia ya vichekesho

Katika hali ya utani, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wazo lililotolewa na wachekeshaji la kucheza mchezo wa ‘upatu’ linaweza kuwa zuri endapo likibadilishwa na kutafutiwa namna bora ili kusaidia masuala ya kifedha ya nchi za Kiafrika.

Rais Samia amesema wazo hilo likichukuliwa kitofauti litakuwa na mchango wa kujitegemea kifedha, kama wakikubaliana na viongozi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuunda mfuko wao.





Hizi, kitchen party, goli la bibi ndiyo haswa kabobea
 
Punguza uchawi kijana. Una aidia nzuri ila umelala nayo fofo. Ibua uone kama hato jikita nayo. Angalia utaenda nayo mu kaburi ndugu acha uchawi. IGA ya Omi dimpo😁😁😁
hahaha we jamaa,kwanza kwenye dunia serious unataka mawazo mazuri unategemea uyapate kwa steve nyerere au huyo bwabwa ,tuzo kuanzisha huhitaji serikal kuhusika ila tuna ceremonial leadership watu wanaopenda uongozi wa kimasherehe ndo maana kila siku uzinduzi,tamasha ,warsha etc

Ndo madhara ya kuwapa political power watu waliosomea arts ,rais ni mtu mkuu sana na serious kuhudhuria hutu tushughul twa kipumbafu sio vyema huo muda angeutumia kuitisha wataalamu wa tesla waone jinsi gan waishawishi kununua kampuni zote za simu na wao kuwa dominant kwa kuipa 35% hisa government na kushusha gharama za internet kwa 50% yenye 6G hayo ndo level ya rais kujadil
 
Kama Mh Hangaya anakubaliki hivi na kila kundi, aruhusu sasa Uchaguzi HURU na wa HAKI..HOFU YA NINI?
 
20250223_111503.jpg

20250223_111751.jpg

20250223_111459.jpg
 
Moja ya kazi za Wanasiasa ni kuchekesha Ndio sababu Mwalimu Nyerere na Mzee Makamba walipendelea kutoa vichekesho

Kwanini Chadema imekosa Tuzo?

Au wameonewa?
 
Mlishaambiwa, msivute bang**ii kabla ya kula.
Ona sasa unavyojiaibisha hadharani, moja kati ya kazi za wanasiasa ni nini?
 
Back
Top Bottom