Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe chafu hizo zimeshakuwehushaMoja ya kazi za Wanasiasa ni kuchekesha Ndio sababu Mwalimu Nyerere na Mzee Makamba walipendelea kutoa vichekesho
Kwanini Chadema imekosa Tuzo?
Au wameonewa?
Huyo anakula pombe inaitwa visunguraYohana mbatizajii mwenzio alikuwa anakula nzige na asalii anakaa nyikani, wewe sijui unakula Nini mpaka unataka kukwaza tu watu 😂😂😂
Anakula uduviYohana mbatizajii mwenzio alikuwa anakula nzige na asalii anakaa nyikani, wewe sijui unakula Nini mpaka unataka kukwaza tu watu 😂😂😂
Mzee nataka niwe naongea kingleza kama Cha kwako! Umesomea wapi? Wivu haujengi Mzee, kuliko kukuonea wivu Bora niwe mkweli unisaidie na Mimi nijue kinglezaStop reasoning like class 3 dropout,Idiot
Don't expect anything significant from CCM whose party members have mouth diarrhea just like this Idiot
Uduvi na kinywaji Gani? Au BUTUA 😂Anakula uduvi
johnthebaptist domo lake linaharisha tu humu.Stop reasoning like class 3 dropout,Idiot
Don't expect anything significant from CCM whose party members have mouth diarrhea just like this Idiot
Watapata ya uropokaji.Moja ya kazi za Wanasiasa ni kuchekesha Ndio sababu Mwalimu Nyerere na Mzee Makamba walipendelea kutoa vichekesho
Kwanini Chadema imekosa Tuzo?
Au wameonewa?
Rais Samia akishiriki Halfa ya Utoaji Tuzo za Wasanii wa Uchekeshaji Tanzania Ukumbi wa The Super Dome Februari 22, Dar es Salaam.
Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kwenye tuzo za Tanzania Comedy Awards
Updates....
- Rais Samia apewa tuzo ya Champion of Comedy; nami nasema anafaa
-Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Charles Makongoro Nyerere ameshinda tuzo ya Kiongozi Mcheshi katika Usiku wa Tuzo za Ucheshi (TCA) Zilizofanyika katika Ukumbi wa Super Dome Jijini Dar es salaam.
Katika Kinyanganyiro hicho Makongoro alikuwa akichuana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila, Mchingaji Hananja, Mkuu wa Mkoa Mstaafu Aggrey Mwanri na Sheikh Kipozeo.
-Wachekeshaji Steve Mweusi na Ndaro wameibuka washindi katika kipengele cha Best Comedy Duo katika tuzo za wachekeshaji Tanzania.
-Mchekeshaji maarufu Bongo, TX Dullah ameibuka mshindi katika kipengele cha Best Male Digital Comedian of The Year (Mchekeshaji Bora wa Kiume wa Kidijitali wa Mwaka) katika Tuzo za Wachekeshaji Bongo.
-Leonardo ameibuka Mshindi wa Jumla akinyakua Tuzo kubwa ya Overall best comedian of the year kwa wanaume na wanawake.
-Mama Mawigia ameshinda Tuzo ya Best Female Digital Comedy of the Year leo Februari 22, 2025 jijini Dar es Salaam.
-Msanii wa Muziki, Omary Nyembo maarufu Ommy Dimpoz amesema kuanzia siku ya leo Februari 22, 2025, wachekeshaji (comedians) wa Tanzania, hashtag yao ni "Cheka na Samia" na popote alipo Rais Samia Suluhu Hassan nao wapo!
"Kwa hiyo, sisi wenyewe kwa kufurahi na kufurahishwa na uwepo wa Mheshimiwa Rais (Samia Suluhu Hassan), leo tukasema kuanzia leo tutaita wachekeshaji wote kuhakikishia kwamba tunamsapoti Rais na tutaenda kama 'Cheka na Samia'.
- Eliud Samwel amenyakua tuzo ya mchekeshaji bora wa jukwaani maarufu kama Stand Up Comedy.
- Lucas Mhuvile, maarufu kama Joti, ameshinda tuzo ya The Best Actor Comedian of The Year
- Dogo Sele amepokea tuzo ya mwaka 2025 kama mchekeshaji bora mtoto
- Neyla Manga Amechukua Tuzo ya Mchekeshaji Bora wa Kike wa Jukwaani kwa mwaka 2025.
-Familia ya marehemu King Majuto imepokea tuzo ya heshima katika Tanzania Comedy Awards, ikitambua mchango wake mkubwa kwenye tasnia ya vichekesho
Katika hali ya utani, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wazo lililotolewa na wachekeshaji la kucheza mchezo wa ‘upatu’ linaweza kuwa zuri endapo likibadilishwa na kutafutiwa namna bora ili kusaidia masuala ya kifedha ya nchi za Kiafrika.
Rais Samia amesema wazo hilo likichukuliwa kitofauti litakuwa na mchango wa kujitegemea kifedha, kama wakikubaliana na viongozi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuunda mfuko wao.
Lucas Mwashambwa ndiye mwenyekiti wa Chawa wa MamaChawa kina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah nao waje na tuzo zao
Nyie ni wafanyabiashara, nishawahi kuwa winga baadae dalali wa simu na magari, ni mfanyabiashara.Hivi sisi madalali na mawinga na sisi tunaruhusiwa kutoa tunzo??