Rais Samia ashiriki Halfa ya Utoaji Tuzo za Wasanii wa Uchekeshaji Tanzania. Na kupewa tuzo ya Champion of Comedy

Stop reasoning like class 3 dropout,Idiot
Don't expect anything significant from CCM whose party members have mouth diarrhea just like this Idiot
 
Stop reasoning like class 3 dropout,Idiot
Don't expect anything significant from CCM whose party members have mouth diarrhea just like this Idiot
Mzee nataka niwe naongea kingleza kama Cha kwako! Umesomea wapi? Wivu haujengi Mzee, kuliko kukuonea wivu Bora niwe mkweli unisaidie na Mimi nijue kingleza
 
Makongoro ndiye mtoto mtoto halisi wa Mwalimu Nyerere sio hawa imposters Steve na Yericko.
 
Kwa hiyo Saa 100 ndiye mchekeshaji mkuu wa Taifa!? Ndio maana mambo yanajiendea tu kama wakati wa yyle Vasco Da Gama wa Msoga Chalinze!
 
Nampa pongezi sana Rais kwa kupata tuzo ya Ubingwa wa Kuchekesha. Ni wazi akina Joti na Nanga wamekuwa wakimfuatilia kwa makini na kung'amua kipaji alicho nacho.

Sasa ni watu gani pia wanapaswa kuja mtunuku Cheti kingine ndugu Rais?
 
Hivi sisi madalali na mawinga na sisi tunaruhusiwa kutoa tunzo??
 
Hivi sisi madalali na mawinga na sisi tunaruhusiwa kutoa tunzo??
Nyie ni wafanyabiashara, nishawahi kuwa winga baadae dalali wa simu na magari, ni mfanyabiashara.

Alafu kumjibu mtoa mada. Hiyo tuzo iliitwa Champion of comedy unaweza usijue kwa kiswahili, kwa muktadha wake tunamuita mlezi au mwanaharakati wa ucheshu. Amechampion amewezesha tuzo hizo kuwepo. Ila si ulivyosema umeamua kuwa sarcast.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…