Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Wanasiasa wakajifunze namna ya kuzuia rushwa then wana TAKUKURU??? Tutafika tukiwa tumechoka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazengo wanasema huyo n bloodlineMimi niseme ukweli akili ndogo haiwezi endesha akili kubwa, Hamduni Hana guts kuiendesha PCCB at all, Polisi na rushwa wapi na wapi jamani?
Mama aangalie watu wa kuteua wawe na uzalendo wa juu siyo tu kuwa kamishna au Jaji this is big NOOOOO!!!.
PCCB ifumuliwe iundwe upya tena kuanzia ngazi ya Kata Kama vyombo vingine hapo itakuwa sawa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya kupambana na Rushwa Afrika, leo Julai 11, 2023 jijini Arusha.