Hivi huyu askofu Severine Niwemugizi si ndiye aliyemzika JPM?Dah!
Baada ya askofu Niwemugizi kukosoa jiwe kwa uonevu wa raia wema akaambiwa yeye siyo raia wa Tanzania, akatakiwa awasilishe cheti cha kuzaliwa chake, cha baba yake, mama yake, bibi na babu zake..
Msimamo wako si msimsmo - hiyo Biblia bado ni ya madhehebu, unless uisome kwako au Tanganyika Library kujifurahisha. Rais ni Rais wa watu wote, Askofu ni Askofu wa watu wote Jimboni kwake, hawawezi kuchagua wamwalike nani asimwalike nani, amuone nani asimuone nani.Mimi siku hizi kidogokidogo naanza kukosa imani na haya madhehebu yetu...bora ni stick tu kwenye kuielewa Bibilia...unamualika mtu kama huyu ili iweje kwa mfano? na kwanini wanapenda sana kuwaalika viongozi wa siasa wanaotesa watu wasio na hatia?
Huwa inanikera sana hii kitu
Inaonekana aliumizwa psychologically na muzee ya burigi..riehKwanini huyu mama maadui wa JPM ndio marafiki zake anataka kutuma message gani. Angalia Mange Kimambi, Lissu, Zuhura Yunus nk.
😀😀😀😀Kwani askofu alikuwa adui wa jpm mkuu?!Kwanini huyu mama maadui wa JPM ndio marafiki zake anataka kutuma message gani. Angalia Mange Kimambi, Lissu, Zuhura Yunus nk.
Jifunze kuwa na kiasi,Aisee hawa viongozi wa kiimani wanatufunza mengi!
...huyu askofu aliteswa na lile jitu katili lililodhani litaishi milele lakini yeye akalisalia sala ya mwisho na kulirushia mavumbi ya mwisho akaamuru jitu katili lifukiwe.
What is your message?Tatizo hapa sio SSH kuhudhiria sherehe au uongozi wa kanisa kumwalika Rais,tatizo ni mzee wa katiba kuwa Rumande.Hii inawafanya watu wachanganye mambo.Kanisa haliko mbinguni liko ardhini na viongozi hawapo mbinguni wako duniani.Kanisa halijawahi kua na ugomvi na kiti cha Rais daima hukialika inapobidi kwa kuwa linajua kiti cha Rais ni kiti kitakatifu japo anayekalia anaweza asiwe mtakatifu lakini kiti kibaki hivyo daima,Kanisa katoliki ni taasisi imara pengine kuliko dhehebu lolote au Imani nyingine kutokana muundo wake wa kuanzia juu hadi chidi kabisa.Unaweza kusema kutoka kwa Rais hadi kwa balozi.Kanisa katoliki haliendehwi kwa mihemko japo wachache wanaweza kuzama huko lakini hatua huchukuliwa.
Hakuna tofauti ya RC na CCM wazaziAmpe za uso huyu Hangaya...
Hawezi kuongea jambo la maana zaidi ya kuchekacheka na kuvuta bahashaMchango na harambee kwanza. Lakini pia Askofu anapata kanafasi ka kuteta naye kwa faragha.
Dikteta alikuwa anapenda mabifu snDuh...!. Huyu Mhashamu Baba Askofu Niwemugizi huyu...
sio mtu wa mchezo mchezo!.
Ni huyu ndie alikuwa Rector wa Katoke seminary enzi zile wanafunzi mmoja mtundu akiwa form IV, akavunja kioo cha dirisha la bwenini, bila kujali mtihani ni karibu!, Niwemugizi alimtimua bila huruma!. Mungu bariki Lake Secondary School, walimpokea!, hivyo kufanikiwa kufanya mtihani wa form IV!.
Ni Father huyu ndie aliyemtimua upadiri Padri Kalugendo.
Hata baada ya yule mwanafunzi mtukutu kuja kuwa somebody big, bado Niwemugizi aliendelea kuchonga, mara paap... Baba Askofu akahojiwa uraia!.
Baada ya kuibuka janga la Corona, na Shujaa wetu wa Corona akapiga kambi Jimboni kwake na kutangaza no lock down kwasababu ka Corona ni kaugonjwa kadogo, tusikaogope!, Baba Askofu alitangaza lock down jimboni kwake, this made shujaa wetu to be very furios kumhusu Baba Askofu na akampaka...
Mwisho wa siku, ni Baba Askofu huyu huyu alimsindikiza ile safari yake ya ...
P
Hamna kitu RC ya sasa na UVCCM tofauti yao ni mavazi pekeeMarafiki wa awamu ya nne waligeuka maadui wa awamu ya tano, kutwa walishinda mahakamani. Ni kawaida ya tawala za kiafrika, kila mtu na mtuwe..
Mayalla nami naongeza nyama, Marehemu Padre Karugendo alikuwa rafiki yangu mkubwa sana:Aliwai kuniambia magomvi yake makubwa na Askofu wake ni Niwemugizi ni kwamba Askofu alitumia maungamo ya Karugendo kama fimbo kumuadhibu popote akijisikiaDuh...!. Huyu Mhashamu Baba Askofu Niwemugizi huyu...
sio mtu wa mchezo mchezo!.
Ni huyu ndie alikuwa Rector wa Katoke seminary enzi zile wanafunzi mmoja mtundu akiwa form IV, akavunja kioo cha dirisha la bwenini, bila kujali mtihani ni karibu!, Niwemugizi alimtimua bila huruma!. Mungu bariki Lake Secondary School, walimpokea!, hivyo kufanikiwa kufanya mtihani wa form IV!.
Ni Father huyu ndie aliyemtimua upadiri Padri Kalugendo.
Hata baada ya yule mwanafunzi mtukutu kuja kuwa somebody big, bado Niwemugizi aliendelea kuchonga, mara paap... Baba Askofu akahojiwa uraia!.
Baada ya kuibuka janga la Corona, na Shujaa wetu wa Corona akapiga kambi Jimboni kwake na kutangaza no lock down kwasababu ka Corona ni kaugonjwa kadogo, tusikaogope!, Baba Askofu alitangaza lock down jimboni kwake, this made shujaa wetu to be very furios kumhusu Baba Askofu na akampaka...
Mwisho wa siku, ni Baba Askofu huyu huyu alimsindikiza ile safari yake ya ...
P
Msimamo wako si msimsmo - hiyo Biblia bado ni ya madhehebu, unless uisome kwako au Tanganyika Library kujifurahisha. Rais ni Rais wa watu wote, Askofu ni Askofu wa watu wote Jimboni kwake, hawawezi kuchagua wamwalike nani asimwalike nani, amuone nani asimuone nani. Utakuta akilifyatu kama Tundu Lissu inajaribu kujimwambafy ili ionekane kama ina ushawishi lakini ukweli unabaki pale pale Rais ni Rais na Askofu ni Askofu. Hakuna lililoharibika. Askofu inasemekana ni Mhutu wa nchi jirani (na tabia zake ni za Kihutu, wewe unaonaje?), lakini vyombo vilichunguza vikamsafisha. Samia naye kajikuta ni Rais kwa minajili ya Katiba, aliyoyakuta ameyakuta, hawezi kumtenga ni raia wake.
Duuh ... iko deep sanaDuh...!. Huyu Mhashamu Baba Askofu Niwemugizi huyu...
sio mtu wa mchezo mchezo!.
Ni huyu ndie alikuwa Rector wa Katoke seminary enzi zile wanafunzi mmoja mtundu akiwa form IV, akavunja kioo cha dirisha la bwenini, bila kujali mtihani ni karibu!, Niwemugizi alimtimua bila huruma!. Mungu bariki Lake Secondary School, walimpokea!, hivyo kufanikiwa kufanya mtihani wa form IV!.
Ni Father huyu ndie aliyemtimua upadiri Padri Kalugendo.
Hata baada ya yule mwanafunzi mtukutu kuja kuwa somebody big, bado Niwemugizi aliendelea kuchonga, mara paap... Baba Askofu akahojiwa uraia!.
Baada ya kuibuka janga la Corona, na Shujaa wetu wa Corona akapiga kambi Jimboni kwake na kutangaza no lock down kwasababu ka Corona ni kaugonjwa kadogo, tusikaogope!, Baba Askofu alitangaza lock down jimboni kwake, this made shujaa wetu to be very furios kumhusu Baba Askofu na akampaka...
Mwisho wa siku, ni Baba Askofu huyu huyu alimsindikiza ile safari yake ya ...
P
Love your enemyKwanini huyu mama maadui wa JPM ndio marafiki zake anataka kutuma message gani. Angalia Mange Kimambi, Lissu, Zuhura Yunus nk.
Labda mmoja kawahi kuanza na mwingine kachelewa kuanzaSema unajuaga kunogesha genge. Yaan magu azaliwe 1959 niwemugizi azaliwe 1956 af unakuja kutuambia ni mtu na rector wake kweli? Tena akiwa form 4.