John Sule
Member
- Feb 24, 2014
- 85
- 97
Hiyo ni kazi ya political Science! Kila ulichofikiria kishafikiriwa na kufanyiwa udadavuzi yakinifu na majubu.....yalikuwa ni kuhudhuria hiyo Event!Ningekua katibu mkuu kiongozi nisingeruhusu hii!!
Ni udhalilishaji wa taasisi ya urais!
Maoni huru ya mlipakodi asiekwepa!!