Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
We jamaa Matusi gani Unazungumzia ??Mtu anaimba matusi ujinga ujinga. Rais hakutakiwa hata kukanyaga hapo.
Rutto na Kenya yake watazidi kutupiga gape.
Mbona harmonizer kaimba nyimbo nzurii Sanaa mbele ya mama