Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 3,506
- 2,606
Yaani majanga kibao nchini, mafuriko, watu wamekufa, wngi hawana makazi halafu rais baada ya kujificha siku 10 na kitu toka alipokwenda ufaransa anaibukia kwa Harmonize....dah....Mungu aturehemu